DIAMOND, VANESSA WASHINDA TUZO ZA 2014 AFRIMA HUKO NIGERIA
![](http://api.ning.com:80/files/kdMiOwfaxve7ykrcsaRm3CZHyRkpBBgCR4UgDB8ykNZkFupjz*IjlVzlAbEv7BHpAaAXj4nFY5uvTMC0-bo7zFPdZ04kGuNm/msechu.jpg)
Peter Msechu akiwa amebeba tuzo ya Diamond Platnumz. Peter Msechu, Vanessa Mdee na Victoria Kimani katika pozi huko Lagos, Nigeria. MWANAMUZIKI Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' usiku wa kuamkia leo ametwaa tuzo ya Best Male Artist in East Africa kutoka Tuzo za 2014 AFRIMA zilizofanyika huko jijini Lagos nchini Nigeria. Mwanadada Vanessa Mdee yeye ameshinda tuzo ya Best Female… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo516 Nov
Diamond Platnumz na Vanessa Mdee washinda tuzo 4 za AFRIMA 2015 Nigeria
![d n v](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/d-n-v-300x194.jpg)
Tuzo za All Afrika Music Awards 2015 (AFRIMA) zimetolewa usiku wa Jumapili November 15 jijini Lagos, Nigeria ambapo Tanzania imetoa washindi wawili.
Diamond Platnumz aliyekuwa akiwania tuzo hizo ameibuka mshindi wa vipengele 3 kikiwemo kipengele muhimu cha Msanii Bora Wa Mwaka (Artist Of The Year) ambayo ilikuwa ikiwaniwa na Alikiba, Davido, Jose Chameleone, Wizkid, Yemi Alade, Sarkodie na Flavour.
Vipengele vingine alivyoshinda Diamond ni Msanii Bora wa Kiume Afrika Mashariki (Best...
10 years ago
Bongo503 Oct
BASATA lawapongeza Diamond, Msechu na Vanessa kwa kutajwa kuwania tuzo za AFRIMA 2014
10 years ago
Bongo528 Dec
Diamond na Vanessa Mdee waing’arisha tena Tanzania kwa kushinda tuzo za Afrima Nigeria
9 years ago
Bongo511 Oct
Diamond, Vanessa Mdee na Ommy Dimpoz washinda tuzo za Afrimma
11 years ago
Bongo527 Jul
Diamond na Lady Jaydee washinda tuzo za AFRIMMA 2014 zilizofanyika Marekani
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OhtEB7mGo6I/VIVN-war4wI/AAAAAAAG15s/iz6kv6XfHsQ/s72-c/diamond21%2B(1).jpg)
Diamond Platnumz alamba tuzo nyingine huko Nigeria
![](http://2.bp.blogspot.com/-OhtEB7mGo6I/VIVN-war4wI/AAAAAAAG15s/iz6kv6XfHsQ/s1600/diamond21%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-n8Oa1thY_0k/VIVJ8sjCoLI/AAAAAAAG15U/zRZiNAbCLbQ/s1600/Screen%2BShot%2B2014-12-08%2Bat%2B9.47.17%2BAM.png)
9 years ago
Bongo509 Dec
Diamond na Vanessa watajwa kuwania tuzo za ‘TooXclusive Awards 2015’ za Nigeria
![Diamond Platnumz na Vanessa Mdee](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Diamond-Platnumz-na-Vanessa-Mdee-300x194.jpg)
Mtandao wa ku-download muziki tooXclusive.com wa Nigeria ambao ndio waandaaji wa tuzo za ‘TooXclusive Awards 2015’ wametangaza majina ya nominees wa mwaka huu.
Kuna jumla ya vipengele 18 vinavyoshindaniwa, na kipengele cha ‘African Artiste Of The Year’ ndio kinachowahusu wasanii wa nje ya Nigeria ikiwemo Tanzania.
Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ndio wasanii wa Tanzania wanaoshindana na Sauti Sol (Kenya), Sarkodie (Ghana), Cassper Nyovest na AKA (South Africa).
AFRICAN ARTISTE OF THE...
9 years ago
Bongo514 Dec
Alikiba na Vanessa washinda tuzo za Nzumari 2015 Kenya
![ali na vee](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/ali-na-vee-300x194.jpg)
Tuzo za Nzumari 2015 zimetolewa Ijumaa iliyopita (Dec.11) huko Mombasa, Kenya.
Kutoka Tanzania, Alikiba ameshinda kipengele cha ‘Male Artist Tanzania’ alichokuwa akishindana na Ommy Dimpoz, AY, Rich mavoko na Shetta. Vanessa Mdee ameshinda kipengele cha ‘Female Artist Tanzania’ alichokuwa akishindana na Lady Jaydee, Shilole, Linah na Shaa.
Nzumari Awards 2015… Classic Edition
Winners as per the votes from the people not as per the management:
Male Artist Mombasa
Sudi Boy 9 votes
Dazlah...
10 years ago
Bongo526 Sep
Vanessa Mdee atajwa kuwania ‘All Africa Music Awards’ AFRIMA 2014, kuchuana na 2 Face na Maurice Kirya