DIAMOND, ZARI WFANYA BONGE LA PATI!
![](http://api.ning.com:80/files/vJSFiOyZSXWrKq2UsRt2QvMLbtVnuN3vLoVYnMEthF847obH*aHyIjMBS1x0n71cB3-9TbeltZSNWoZKqExt1AI8eucP3H2k/ZARI.jpg?width=650)
Mwandishi wetu Mastaa wawili wakubwa Afrika Mashariki, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mwandani wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ wanadaiwa kuangusha bonge la pati yenye kila aina ya viashiria vya ufuska, Risasi Jumamosi limeinyaka. Pati hiyo ya aina yake ilifanyika ndani ya mjengo wa Diamond (white house) uliopo pande za Madale-Tegeta jijini Dar, usiku wa kuamkia siku ya Sikukuu ya Idd El Hajj...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo01 Apr
DIAMOND THE PLATNUMZ NA ZARI WAHUDHURIA KWENYE MSIBA WA ABDUL BONGE JIJINI MOROGORO MKUYUNI
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Flh5.ggpht.com%2F-tAX_nlQFQwI%2FVRphrmI4keI%2FAAAAAAAART0%2FTbz7m6aHZps%2Fs640%2FPhotoGrid_1427792477433.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Diamond Platinum akiwa kweny mazishi ya Abdu Bonge Mkoani Morogoro leo.Diamond Platinum Ameongozana na Mpenzi wake Zari the Big boss kwenye Mazishi ya Aliyekuwa Mwanzilishi wa Kundi la Tip top Marehemu Abdul Bonge Aliyefariki Majuzi na Mwili wake kusafirishwa kwenda Morogoro Tayari kwa Mazishi yanayofanyika Mkuyuni Mkoani Morogoro.
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Flh5.ggpht.com%2F-4BRzPB77vNw%2FVRphxYRVDMI%2FAAAAAAAART8%2F2cK-3J7IlGw%2Fs640%2FPhotoGrid_1427792497346.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
GPLSHILOLE AFANYA BONGE LA PATI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lfASdeYLW4cvPRsQZxTPCxcvyaJIbJznlhD4i7bvHxUTiH*BjDzww*iOyXW-OGo7VqH8EGXabMgbTXUK3zFvWnjsSKGinn5S/lowasaaacopy.jpg?width=650)
LOWASSA AANGUSHA BONGE LA PATI NYUMBANI KWAKE
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/wopa-2.jpg)
WOLPER MUME WA MTU WAANGUSHA BONGE LA PATI!
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-la0tboz_faA/VPMBpzp1ExI/AAAAAAAAbRA/3nGX7BuJ5pY/s72-c/1.jpg)
UHURU FM 95.7 FM WAFANYA BONGE LA PATI KUUKARIBISHA MWAKA MPYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-la0tboz_faA/VPMBpzp1ExI/AAAAAAAAbRA/3nGX7BuJ5pY/s1600/1.jpg)
Tafrija hiyo iliyoongozwa na Kaimu Mkurugenzi wao Angela Akilimali ilifana na kupongezwa na kila mfanyakazi kwa jambo hilo jema la kuwakutanisha wafanykazi na kufurahi pamoja.
![](http://3.bp.blogspot.com/-cS9YKk6SlTc/VPMGxjSApdI/AAAAAAAAbSA/6Y5s5kPDBJ8/s1600/1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Mar
Uhuru FM 95.7 wafanya bonge la pati kuukaribisha mwaka mpya
![](http://3.bp.blogspot.com/-la0tboz_faA/VPMBpzp1ExI/AAAAAAAAbRA/3nGX7BuJ5pY/s1600/1.jpg)
Wafanyakazi wa Uhuru FM, Redio ya wananchi wakiongozwa na Dj Fast Edie (kushoto) wakishow love wakati wa tafrija yao ya kuukaribisha mwaka mpya iliyofanyika Februari 27, 2015 katika ukumbi wa Tukuyu katika Hoteli ya Land Mark jijini Dar es Salaam.
Tafrija hiyo iliyoongozwa na Kaimu Mkurugenzi wao Angela Akilimali ilifana na kupongezwa na kila mfanyakazi kwa jambo hilo jema la kuwakutanisha wafanykazi na kufurahi pamoja.
![](http://3.bp.blogspot.com/-cS9YKk6SlTc/VPMGxjSApdI/AAAAAAAAbSA/6Y5s5kPDBJ8/s1600/1.jpg)
Kaimu Mkurugenzi wa Uhuru FM, Angela Akilimali akizungumza machache...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-4AWazcB9U-I/VUONB6vGraI/AAAAAAAABbc/BDzktArlrlE/s72-c/Africanjam2.jpg)
TANZANIA: KUELEKEA ZARI WHITE PARTY, DIAMOND AFUNGUKA KUHUSU NDOA YAKE NA ZARI
![](http://2.bp.blogspot.com/-4AWazcB9U-I/VUONB6vGraI/AAAAAAAABbc/BDzktArlrlE/s1600/Africanjam2.jpg)
Diamond Platnumz ambae ni miongoni mwa wasanii wa muziki wanaofanya vizuri sana Africa amefunguka kuhusu Ndoa yake na mwanamama Zari, Diamond amesema kwamba atakuwa ndani ya ndoa kabla ya mwaka huu kuisha.Diamond alifunguka hayo asubuhi ya tar 1 May. 2015 katika kuipigia promo Event ya Zari All All White Party itakayofanyika tar 1 May. Tamasha hilo linatarajiwa kuacha historia ya kipekee kwa kua na kiingilio cha gharama kubwa zaidi kwani ticket za VIP zimeuzwa kwa Millioni tatu na mpaka...
10 years ago
Vijimambo08 Jan
DIAMOND APEWA OFA YA $40,000 AMWACHE ZARI, NJEMBA LAPOST SCREENSHOT YA ZARI AKILIOMBA MKWANJA!
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/10888399_10205933029869831_1858120712732123108_n.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/1b.jpg)
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/01/1a.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzpyBuuTZWvi3e9ek3Zlu3gzR0*hLn-2UJNOOxzbOeo5e-w75XRZ3ZNNbtVW*xwH398yBc3HqAY9YC8pygLaue0w/diamond.jpg?width=650)
DIAMOND AFANYA PATI YA UFUSKA!