Diaspora watakiwa kuchochea maendeleo
WATANZANIA wanaoishi ughaibuni (diaspora) wametakiwa kuwa kichocheo cha kuleta maendeleo ya biashara na uwekezaji katika nchi yao ili kuongeza Pato la Taifa na kuboresha maisha ya mwananchi wa kawaida.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo22 May
'Tumieni maonesho ya utamaduni kuchochea maendeleo'
JAMII imetakiwa kutumia maonesho ya utamaduni kupata elimu jinsi ya kuingia katika soko la biashara la ndani na nje ya nchi na kuchochea maendeleo. Hayo yalisemwa leo, Dar es Salaam na Mratibu wa Biashara wa Tan-Tanzania, Deusdedit Kizito, kwenye maonesho ya Utamaduni yaliyozinduliwa juzi na yanayoendelea hadi Mei 25, Siku ya Uhuru wa Afrika.
10 years ago
Vijimambo
WANADIASPORA WAHIMIZWA KUCHOCHEA MAENDELEO, BALOZI MULAMULA

10 years ago
Mwananchi27 Aug
JK : Maadili kwenye mifumo ya maendeleo Ni njia ya kuchochea ukuaji wa uchumi
5 years ago
CCM Blog
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF) KWA MWAKA 2015/16 — 2018/19
10 years ago
MichuziKATIBU KIONGOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA KIKAO KAZI CHA WADAU WA KUCHOCHEA MAENDELEO
10 years ago
Habarileo23 Sep
Diaspora watakiwa kujiunga na Westad
WATANZANIA wanaoishi nje ya nchi, wametakiwa kujiunga na huduma ya WESTAD, inayotolewa na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kuchangia kiasi cha dola 300 kwa mwaka na kupata huduma za msingi kutoka mfuko huo.
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Diaspora, Serikali kujadili maendeleo katika kongamano
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Watakiwa kuchangia maendeleo yao
9 years ago
StarTV13 Nov
Uwekezaji wa mapato ya mafuta, gesi watakiwa maendeleo ya watanzania
Kuongezeka kwa uwezo wa kiuchumi wa kuzalisha na kuwahudumia watanzania katika sekta ya elimu, afya na maendeleo ya jamii kutategemea uwekezaji wa mapato yanayotokana na rasilimali za mafuta na gesi.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Adolf Mkenda amesema ili rasilimali hizo ziwe endelevu na zenye manufaa kwa watanzania ni lazima zibadilishwe na kuwekezwa katika mitaji mingine.
Katika mkutano wa wadau wa gasi na mafuta jijini Dar es salaam Adolf Mkenda Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha...