Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dida na Edzen Mambo Safi Tena..Wapenzi Wakigombana Shika Jembe Ukalime

Unaambiwa Ndugu Ama wapenzi wawili wagombanapo Shika Jembe Ukalime...Usiingilie na kujifanya wajua sana itakutokea puani na kuonekana mchonganishi.
Hahaha Wambea Sisi tulivyoshupalia ugomvi wa Wapenzi wawili Dida na Edzen Mpaka wakaachana Utafikiri tunahusika kwa Vijembe na Meneno mengi mtandaoni..Unaambiwa Kwa sasa wawili Hao Mambo safi wameshapata ugomvi umeisha na mamba ni kama dhamani ng'are ng'are , Wenyewe wanawasiliana kama kawa na kusaidiana katika vitu vidogo vidogo japo kila mmoja...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DIDA NDOA TENA!

Stori: Waandishi wetu
SIKU chache baada ya kudai hawezi kuolewa kwa sasa, mtangazaji wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kupitia Radio Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’, ameonesha matumaini mapya ya kuolewa baada ya kumwanika mchumba’ke mpya. Mtangazaji wa Kipindi wa Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida' akimlisha keki Shemeji yake, Feisal. Dalili za matumaini hayo mapya zilionekana usiku wa kuamkia Alhamisi...

 

11 years ago

GPL

Haaa! Kumbe Dida, Kaseja, mambo kwa zamu

Juma Kaseja.  Na Khadija Mngwai
IMEBAINIKA kuwa, kumbe Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, amempangia mechi za kudaka kipa wa timu hiyo, Juma Kaseja, ambapo atapokezana na wenzake kwa kila mmoja kupewa mechi tatu huku yeye akiwa wa mwisho katika orodha hiyo.…

 

9 years ago

GPL

MAMBO 12 WASIYOPENDA WANAUME KWA WAPENZI/ WAKE ZAO!

Assalam aleikum msomaji wangu, bila shaka unaendelea vema na maisha yako sambamba na maandalizi ya kuelekea uchaguzi mkuu ambao zimebaki siku chache ili kumchagua yule unayeona anafaa kuliongoza taifa hili.Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye mada ya wiki hii ambayo inahusu mambo 12 wasiyoyapenda wanaume kwa wapenzi au wake zao.
Kujipamba kupitiliza Mwanamke kama mwanamke ni mapambo na ili awe mwanamke anao ulazima wa...

 

9 years ago

Habarileo

Rollball mambo safi safari India

SAFARI ya kikosi cha timu ya taifa ya mchezo wa Rollball kwenye mashindano ya dunia imeiva na inatarajiwa kuondoka Desemba 14, mwaka huu kuelekea India.

 

10 years ago

Vijimambo

MSUVA MAMBO SAFI AFRIKA KUSINI, YANGA WALETEWA OFA RASMI YA KUMUUZA


Simon Msuva amefaulu majaribio Afrika Kusini
MFUNGAJI bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Simon Msuva anarejea jioni ya leo Dar es Salaam na tabasamu ‘kuubwa’ baada ya kufaulu majaribio ya kucheza soka ya kulipwa Afrika Kusini.
Winga huyo wa mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga SC jana amekamilisha majaribio yake ya siku tatu Bidvest Wits ya Ligi Kuu nchini humo na matokeo ni ‘safi’.
BIN ZUBEIRY inafahamu Bidvest Wits wameridhika na uwezo Msuva na sasa wanafungua majadiliano na klabu yake,...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMBO YA WIKIEND HAYO KAMA WEWE KAPO YA NGUVU HII INAKUHUSU UNAWEZA KUTUPIA HIVI KIROHO SAFI TU


Kama wewe couple ya nguvu weekend hii unaweza kutupia kama hivi ukiwa na mama mwenye nyumba wako kiroho safi. Wale wenye wivu wajinyoge na toilet paper  habari ndiyo hii jipendeni kwani maisha ni hapa hapa dunia.

Weekend yako fanya kama unasahau stress za schedule vile na tupieni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani