Dida na Edzen Mambo Safi Tena..Wapenzi Wakigombana Shika Jembe Ukalime
![](http://4.bp.blogspot.com/-sfy9Pl-AqRk/VLSqTA5LEcI/AAAAAAAAmaI/8jKEaB0iL0M/s72-c/dida%2Bna%2Bmumwewe.jpg)
Unaambiwa Ndugu Ama wapenzi wawili wagombanapo Shika Jembe Ukalime...Usiingilie na kujifanya wajua sana itakutokea puani na kuonekana mchonganishi.
Hahaha Wambea Sisi tulivyoshupalia ugomvi wa Wapenzi wawili Dida na Edzen Mpaka wakaachana Utafikiri tunahusika kwa Vijembe na Meneno mengi mtandaoni..Unaambiwa Kwa sasa wawili Hao Mambo safi wameshapata ugomvi umeisha na mamba ni kama dhamani ng'are ng'are , Wenyewe wanawasiliana kama kawa na kusaidiana katika vitu vidogo vidogo japo kila mmoja...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-CPc1ecL0OYcTjYOwBgXhZ69uWaIS42wyohB-VmkWItCadhwZcIhlXqNB70AmkfREk3P83*GVTy0cmPPHnPjpF1/dida.jpg)
DIDA NDOA TENA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcKjtjvnMeQckt6-bmQX-CwHWLeeBe6YhJDjjY8XeyNde*fNLLWUB87Qry4TjC2AYaf5AgRnyzKWNOTEQXC-5BJd/haaaaaaaaaaa.jpg?width=650)
Haaa! Kumbe Dida, Kaseja, mambo kwa zamu
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JgWHSTt60euZkcdX1iehPlEX6KKFjNdVjq5c9FOn1zYZX5GHd7kQDCYk0bkiiBBVh1KD8dD77CuKZP*isJjWJuPn5xPDMZoc/31393__MAPENZI1111.jpg)
MAMBO 12 WASIYOPENDA WANAUME KWA WAPENZI/ WAKE ZAO!
9 years ago
Habarileo05 Dec
Rollball mambo safi safari India
SAFARI ya kikosi cha timu ya taifa ya mchezo wa Rollball kwenye mashindano ya dunia imeiva na inatarajiwa kuondoka Desemba 14, mwaka huu kuelekea India.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4E69b26xL0g/VJq9H--_LmI/AAAAAAAArSA/J2wYpQc1Hu0/s72-c/ali%2Bkiba%2Bhela.png)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-g2pP1C2HSZk/VRDdLO7DQEI/AAAAAAADdiI/r7Ql43JeoEs/s72-c/11069632_10206310467030453_1686959676035690769_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MQUK68_pfIM/VU2tIpE8jpI/AAAAAAABiAk/bzpKWMFhO6k/s72-c/SIMON%2BMSUVA.jpg)
MSUVA MAMBO SAFI AFRIKA KUSINI, YANGA WALETEWA OFA RASMI YA KUMUUZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-MQUK68_pfIM/VU2tIpE8jpI/AAAAAAABiAk/bzpKWMFhO6k/s1600/SIMON%2BMSUVA.jpg)
Simon Msuva amefaulu majaribio Afrika Kusini
MFUNGAJI bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Simon Msuva anarejea jioni ya leo Dar es Salaam na tabasamu ‘kuubwa’ baada ya kufaulu majaribio ya kucheza soka ya kulipwa Afrika Kusini.
Winga huyo wa mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga SC jana amekamilisha majaribio yake ya siku tatu Bidvest Wits ya Ligi Kuu nchini humo na matokeo ni ‘safi’.
BIN ZUBEIRY inafahamu Bidvest Wits wameridhika na uwezo Msuva na sasa wanafungua majadiliano na klabu yake,...
9 years ago
Vijimambo16 Oct
MAMBO YA WIKIEND HAYO KAMA WEWE KAPO YA NGUVU HII INAKUHUSU UNAWEZA KUTUPIA HIVI KIROHO SAFI TU
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/10/16/20/2D69540600000578-3276444-image-m-18_1445024476540.jpg)
Kama wewe couple ya nguvu weekend hii unaweza kutupia kama hivi ukiwa na mama mwenye nyumba wako kiroho safi. Wale wenye wivu wajinyoge na toilet paper habari ndiyo hii jipendeni kwani maisha ni hapa hapa dunia.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/10/14/16/2D611DED00000578-0-Cute_The_Project_Runway_star_was_also_checking_out_her_art_deale-a-8_1444834902461.jpg)