Rollball mambo safi safari India
SAFARI ya kikosi cha timu ya taifa ya mchezo wa Rollball kwenye mashindano ya dunia imeiva na inatarajiwa kuondoka Desemba 14, mwaka huu kuelekea India.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-g2pP1C2HSZk/VRDdLO7DQEI/AAAAAAADdiI/r7Ql43JeoEs/s72-c/11069632_10206310467030453_1686959676035690769_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MQUK68_pfIM/VU2tIpE8jpI/AAAAAAABiAk/bzpKWMFhO6k/s72-c/SIMON%2BMSUVA.jpg)
MSUVA MAMBO SAFI AFRIKA KUSINI, YANGA WALETEWA OFA RASMI YA KUMUUZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-MQUK68_pfIM/VU2tIpE8jpI/AAAAAAABiAk/bzpKWMFhO6k/s1600/SIMON%2BMSUVA.jpg)
Simon Msuva amefaulu majaribio Afrika Kusini
MFUNGAJI bora wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Simon Msuva anarejea jioni ya leo Dar es Salaam na tabasamu ‘kuubwa’ baada ya kufaulu majaribio ya kucheza soka ya kulipwa Afrika Kusini.
Winga huyo wa mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga SC jana amekamilisha majaribio yake ya siku tatu Bidvest Wits ya Ligi Kuu nchini humo na matokeo ni ‘safi’.
BIN ZUBEIRY inafahamu Bidvest Wits wameridhika na uwezo Msuva na sasa wanafungua majadiliano na klabu yake,...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sfy9Pl-AqRk/VLSqTA5LEcI/AAAAAAAAmaI/8jKEaB0iL0M/s72-c/dida%2Bna%2Bmumwewe.jpg)
Dida na Edzen Mambo Safi Tena..Wapenzi Wakigombana Shika Jembe Ukalime
![](http://4.bp.blogspot.com/-sfy9Pl-AqRk/VLSqTA5LEcI/AAAAAAAAmaI/8jKEaB0iL0M/s640/dida%2Bna%2Bmumwewe.jpg)
Hahaha Wambea Sisi tulivyoshupalia ugomvi wa Wapenzi wawili Dida na Edzen Mpaka wakaachana Utafikiri tunahusika kwa Vijembe na Meneno mengi mtandaoni..Unaambiwa Kwa sasa wawili Hao Mambo safi wameshapata ugomvi umeisha na mamba ni kama dhamani ng'are ng'are , Wenyewe wanawasiliana kama kawa na kusaidiana katika vitu vidogo vidogo japo kila mmoja...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar29 Sep
Nassra safari India kwa matibabu
Alhamdulilah,nineno la shukrani ambalo mja humshukuru Mola wake kwa kila jambo.Kwa upande wangu nimeamua kutumia neno hili leo baada ya kufanikiwa kile ambacho kilikuwa kimenikaa rohoni juu ya mtoto huyu pichani (Nassra)anaesumbuliwa na mguu tangia akiwa […]
The post Nassra safari India kwa matibabu appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Vijimambo16 Oct
MAMBO YA WIKIEND HAYO KAMA WEWE KAPO YA NGUVU HII INAKUHUSU UNAWEZA KUTUPIA HIVI KIROHO SAFI TU
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/10/16/20/2D69540600000578-3276444-image-m-18_1445024476540.jpg)
Kama wewe couple ya nguvu weekend hii unaweza kutupia kama hivi ukiwa na mama mwenye nyumba wako kiroho safi. Wale wenye wivu wajinyoge na toilet paper habari ndiyo hii jipendeni kwani maisha ni hapa hapa dunia.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/10/14/16/2D611DED00000578-0-Cute_The_Project_Runway_star_was_also_checking_out_her_art_deale-a-8_1444834902461.jpg)
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Ndege ya India yakatiza safari kwa sababu ya panya
10 years ago
VijimamboWIZARA YA MAMBO YA NJE YAMUAGA BALOZI WA INDIA ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
Balozi wa India nchini Tanzania anayemaliza muda wake wa kazi, Mhe.Debnath Shaw akitoa hotuba yake ya kuaga mbele ya wageni waalikwa wakiwemo baadhi ya Mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini wakiongozwa na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya wakati wa hafla ya chakula cha mchana iliyofanyika katika Hoteli ya New Afrika Jijini Dar es Salaam tarehe 29 Julai, 2015.
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
11 years ago
Dewji Blog12 Apr
Mambo shwaaaari -ufunguzi wa Safari Restaurant Washington DC April 11- Ahsanteni Sana DMV !
![](http://4.bp.blogspot.com/-_Gz_B7M4GNM/U0kLUp4VlxI/AAAAAAAANjk/27cQFoVk1oU/s400/20140411_180343.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3doLFakUClA/U0kLSqbtFPI/AAAAAAAANjQ/ocX8YKsOFoA/s400/20140411_175854.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-sUNNMXVKWZ8/U0kLTt7-GfI/AAAAAAAANjc/QzhlG5-uBZc/s400/20140411_180306.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cFLYczLa-m8/U0kLVp0h-wI/AAAAAAAANjs/_qV8cUdih2A/s400/20140411_184825.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7M6Q2Ec8MGU/U0kLVw22MOI/AAAAAAAANjw/aqUhdZSF8hA/s400/20140411_235458.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2UJ6e1wnJUw/U0kLWgAD7HI/AAAAAAAANj8/uS0E1SwJnfA/s400/20140412_000056.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-GZKIAgbir98/U0kLYYfExcI/AAAAAAAANkI/b3xDjhJOysg/s400/20140412_002731.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-fGOMtKXckRM/U0kNcrVDXCI/AAAAAAAANkY/YS3Ry7_gZxs/s1600/Screenshot_2014-04-12-05-52-15-1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/--3pTUYMynz4/U0kLYC6BXfI/AAAAAAAANkE/VnT4vc8MgWo/s400/20140412_002542.jpg)
MAKAMANDA WA DC WALIWAKILISHA VYEMA UFUNGUZI
Management Mpya ya Safari Unapenda kutoa Shukrani kwa wale wote walioweza Kupata nafasi ya kufika katika siku hii ya ufunguzi wa New Safari Restaurant DC,”Words...