Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dihile: Uchovu umetuponza

>Kipa wa JKT Ruvu, Shaban Dihile amesema kipigo walichokipata cha mabao sita kutoka Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Sokoine kimetokana na uchovu wa safari.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

UMASIKINI WA TANZANIA: Uchovu wa akili ya uongozi

KWA miaka 50 sasa, Tanzania imeshuhudia kushindwa kwa uongozi kufikia utashi wa uhuru katika kuleta mujtamaa wa kichumi, kijamii na kisiasa. Mwalimu Julius K. Nyerere alifundisha kwamba, ili nchi yetu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wenger:Sanchez ana ishara za uchovu

Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amekiri kwamba mshambuliaji wake nyota Alexi Sanchez huenda ameanza kuonyesha ishara za uchovu.

 

10 years ago

Vijimambo

SHOGA: MFANYIE MASAJI MUMEO KUMUONDOA UCHOVU!

Shoga, kwa uweza wa Mwenyezi Mungu anayetupenda licha ya sisi kutompendeza kutokana na mambo tunayoyafanya kwa makusudi na kutokukusudia, naamini u bukheri wa afya.Kwa upande wangu naendelea vizuri na kazi na familia yangu haina tatizo isipokuwa nasikitishwa na ajali zinazotokea mara kwa mara katika nchi yetu na kuua watu wengi kwa sababu ya uzembe wa madereva.

Shoga, baada ya kusema hayo ngoja nirejee kwenye mada yangu ya leo inayohusiana na kuwafanyia masaji waume zetu kwa lengo la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

YA KIKWETE, KARUME NA LUKUVI: Ni ghiliba, woga au uchovu kisiasa?

NAANZA kushindwa kuandika mara kwa mara. Kama ulimi unavyokwama ndivyo mkono unavyotetemeka. Hasa juu ya hili la watawala kusingizia jeshi kuwa litapindua serikali pindi nchi ikiwa na utawala wa mfumo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Alichokisema JB kuhusu soka la bongo. Asikitishwa na uchovu wa wachezaji.

Kupitia mtandao mmoja wa kijamii nchini, mwigizaji nguli Jacob Steven – JB ameamua kufunguka haya yake ya moyoni kuhusu mpira wa kibongobongo

“Wapenda kandanda kama mimi hembu tujadili kidogo nyinyi mnaonaje? hivi mbona mimi sielewi? ni kweli hata mimi nafurahia ujio wa wachezaji wa kigeni kwamba wataleta changamoto lakini hawa wa kwetu wamekumbwa na nini? mbona mchezaji anacheza msimu mmoja tu kwisha? leo hii angalia timu ya taifa ukiacha kina Samatta hatuna mshambuliaji, hamuoni wivu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani