Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wenger:Sanchez ana ishara za uchovu

Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amekiri kwamba mshambuliaji wake nyota Alexi Sanchez huenda ameanza kuonyesha ishara za uchovu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wenger: Welbeck ana kasi ya umeme

Mkufunzi wa kilabu ya Arsenal nchini Uingereza amemtaja mshambuliaji wake Danny Welbeck kama mchezaji mwenye kasi ya 'umeme

 

11 years ago

Mwananchi

Dihile: Uchovu umetuponza

>Kipa wa JKT Ruvu, Shaban Dihile amesema kipigo walichokipata cha mabao sita kutoka Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Sokoine kimetokana na uchovu wa safari.

 

10 years ago

Michuzi

MDAU PALLA ANA KWA ANA NA RAIS MSTAAF BENJAMINI MKAPA

Mwandishi wa habari wa kituo cha uhuru Fm Athumani Palla na mkewe Rukia Bakari wakiwa katika picha ya pamoja na Rais mstaafu Mh.Benjamin Mkapa Ofisini kwake Upanga hapo jana jijini Dar.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UMASIKINI WA TANZANIA: Uchovu wa akili ya uongozi

KWA miaka 50 sasa, Tanzania imeshuhudia kushindwa kwa uongozi kufikia utashi wa uhuru katika kuleta mujtamaa wa kichumi, kijamii na kisiasa. Mwalimu Julius K. Nyerere alifundisha kwamba, ili nchi yetu...

 

9 years ago

Michuzi

ANKAL ANA KWA ANA NA MBUNGE WA MAFINGA MJINI MHE. COSATO CHUMI

Ankal akila pozi na Mbunge wa Mafinga Mjini Mhe. Cosato Chumi kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma. Globu ya Jamii inampongea sana Mhe. Chumi kwa ushindi wa kishindo alioupata katika kinyang'anyiro cha jimbo hilo, na kumtakia mafanikio katika kuendeleza jimbo katika miaka mitano ijayo. Pia inampongeza si tu kwa kuwa mmoja wa wadau wakubwa wa Globu ya Jamii,  bali pia amekuwa mchangiaji wa mawazo kwa muda mrefu.

 

10 years ago

Vijimambo

SHOGA: MFANYIE MASAJI MUMEO KUMUONDOA UCHOVU!

Shoga, kwa uweza wa Mwenyezi Mungu anayetupenda licha ya sisi kutompendeza kutokana na mambo tunayoyafanya kwa makusudi na kutokukusudia, naamini u bukheri wa afya.Kwa upande wangu naendelea vizuri na kazi na familia yangu haina tatizo isipokuwa nasikitishwa na ajali zinazotokea mara kwa mara katika nchi yetu na kuua watu wengi kwa sababu ya uzembe wa madereva.

Shoga, baada ya kusema hayo ngoja nirejee kwenye mada yangu ya leo inayohusiana na kuwafanyia masaji waume zetu kwa lengo la...

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan.K :Mahasimu kuonana ana kwa ana

Mazungumzo ya ana kwa ana kati ya viongozi wanaozozana nchini Sudan Kusini Rais Salva Kiir na kiongozi wa waasi Riek Machar, yanatarajiwa kuanza tena mjini Addis Ababa Ethiopia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ana kwa ana na mwana wa gwiji wa taarab Tz

Mohammed Issa Matona ambaye ni mtoto wa gwiji wa taarabu Issa Matona anacheza karibu ala zote zinazojumuishwa kwenye taarab.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani