Wenger: Welbeck ana kasi ya umeme
Mkufunzi wa kilabu ya Arsenal nchini Uingereza amemtaja mshambuliaji wake Danny Welbeck kama mchezaji mwenye kasi ya 'umeme
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili15 Feb
Wenger:Sanchez ana ishara za uchovu
10 years ago
Habarileo26 Jun
Kinana akiri kuridhishwa na kasi ya kusambaza umeme
SERIKALI imepongezwa kwa kasi yake kubwa ya kusambaza umeme vijijini.
10 years ago
Dewji Blog13 Oct
Mkalama washukuru serikali kwa kasi ya kuwaletea umeme
Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Edward Ole Lenga.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Mkalama
SERIKALI wilaya mpya ya Mkalama mkoani Singida, imeishukuru serikali kuu kwa hatua yake ya kuipatia huduma ya nishati ya umeme kwa kipindi kifupi mno.
Shukrani hizo zimetolewa na mkuu wa wilaya hiyo, Edward Ole Lenga wakati akizungumza na Mwakilishi wa MOBlog, juu ya maendeleo ya usambazaji wa huduma hiyo ya umeme kupitia matokeo makubwa sasa (BRN)katika vijiji mbalimbali vya...
10 years ago
Habarileo27 Jan
Simbachawene, Mwijage wasema watasambaza umeme kwa kasi
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene na Naibu wake, Charles Mwijage waliripoti katika ofisi zao mpya jana na kuahidi kuwatumikia wananchi kwa uadilifu na kuhakikisha wanasambaza umeme vijijini kwa kasi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tHw2hIw4wVs/XqgNi9V7LHI/AAAAAAALod0/uLwPxuYwzVsb25DrU0FrI-orGASA_GkuACLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-3-7-768x512.jpg)
DKT. KALEMANI HARIDHISHWI NA KASI NDOGO YA MATUMIZI YA UMEME TABORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tHw2hIw4wVs/XqgNi9V7LHI/AAAAAAALod0/uLwPxuYwzVsb25DrU0FrI-orGASA_GkuACLcBGAsYHQ/s640/PICHA-3-7-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-4-4-1024x683.jpg)
Viongozi wa Kijiji cha Mizanza wilayani Igunga Mkoani Tabora wakimsikiliza Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani, hayupo pichani baada ya kufanya ziara kijijini hapo ya kukagua shughuli za usambazaji umeme vjijini, Aprili 27, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/PICHA-1-10-1024x755.jpg)
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani( kulia)...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PZVUHzKZqZc/XlTx7eKbYQI/AAAAAAALfNk/BEPLF--6Q-07uBza0KcV5KCMU3Dz1ObnQCLcBGAsYHQ/s72-c/f65321cf-c7c2-4f72-a715-a945ddc987fd.jpg)
NAIBU WAZIRI ARIDHISHWA NA KASI YA USAMBAZAJI UMEME KWENYE TAASISI ZA UMMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PZVUHzKZqZc/XlTx7eKbYQI/AAAAAAALfNk/BEPLF--6Q-07uBza0KcV5KCMU3Dz1ObnQCLcBGAsYHQ/s640/f65321cf-c7c2-4f72-a715-a945ddc987fd.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/f85eba1f-68c0-46bb-a08d-de33611ff0f9.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NqHBDzUcZJk/XmM2YtPXebI/AAAAAAALhqk/x4rkyzZIuWIhLG86pFQ6ptVzx7S05VomACLcBGAsYHQ/s72-c/963931f9-fe8e-4984-ab0c-c8ee1bd6686f.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YARIDHISHWA NA KASI UTEKELEZAJI MRADI WA UMEME WA JULIUS NYERERE
![](https://1.bp.blogspot.com/-NqHBDzUcZJk/XmM2YtPXebI/AAAAAAALhqk/x4rkyzZIuWIhLG86pFQ6ptVzx7S05VomACLcBGAsYHQ/s640/963931f9-fe8e-4984-ab0c-c8ee1bd6686f.jpg)
…………………………………………………………………Na Farida Said, Morogoro
Kamati ya Kudumu ya Bajeti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepewa wasilisho juu ya maendeleo ya utekelezaji mradi Julius Nyerere (Mw 2115).
Wasilisho hilo limetolewa Mkoani Morogoro kwenye ukumbi wa bwalo la JKT Umwema na kuhudhuriwa na Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani,...
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AFURAHISHWA NA KASI YA UJENZI MRADI MKUBWA WA UMEME WA JULIUS NYERERE WA MW 2115
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo Mei 14, 2020, baada ya kufanya ziara kwenye eneo la mradi unaotarajiwa kuzalisha jumla ya Megawati 2115“ utakapokamilika 2022.
Waziri Mkuu ambaye alifuatana na Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo mhandisi Zena Said watendaji wa...