Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wenger: Welbeck ana kasi ya umeme

Mkufunzi wa kilabu ya Arsenal nchini Uingereza amemtaja mshambuliaji wake Danny Welbeck kama mchezaji mwenye kasi ya 'umeme

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wenger:Sanchez ana ishara za uchovu

Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger amekiri kwamba mshambuliaji wake nyota Alexi Sanchez huenda ameanza kuonyesha ishara za uchovu.

 

10 years ago

Habarileo

Kinana akiri kuridhishwa na kasi ya kusambaza umeme

SERIKALI imepongezwa kwa kasi yake kubwa ya kusambaza umeme vijijini.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mkalama washukuru serikali kwa kasi ya kuwaletea umeme

DSC00871

Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Edward Ole Lenga.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Mkalama

SERIKALI  wilaya mpya ya Mkalama mkoani Singida, imeishukuru serikali kuu kwa hatua yake ya kuipatia huduma ya nishati ya umeme kwa kipindi kifupi mno.

Shukrani hizo zimetolewa na mkuu wa wilaya hiyo, Edward Ole Lenga wakati akizungumza na Mwakilishi wa MOBlog, juu ya maendeleo ya usambazaji wa huduma hiyo ya umeme kupitia matokeo makubwa sasa (BRN)katika vijiji mbalimbali vya...

 

10 years ago

Habarileo

Simbachawene, Mwijage wasema watasambaza umeme kwa kasi

WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene na Naibu wake, Charles Mwijage waliripoti katika ofisi zao mpya jana na kuahidi kuwatumikia wananchi kwa uadilifu na kuhakikisha wanasambaza umeme vijijini kwa kasi.

 

5 years ago

Michuzi

DKT. KALEMANI HARIDHISHWI NA KASI NDOGO YA MATUMIZI YA UMEME TABORA

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani akizungumza na Viongozi wa Kijiji cha Busomeke katika Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, alipofanya ziara ya kukagua shughuli za usambazaji umeme vjijini, Aprili 27, 2020.
Viongozi wa Kijiji cha Mizanza wilayani Igunga Mkoani Tabora wakimsikiliza Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani, hayupo pichani baada ya kufanya ziara kijijini hapo ya kukagua shughuli za usambazaji umeme vjijini, Aprili 27, 2020.

Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani( kulia)...

 

5 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI ARIDHISHWA NA KASI YA USAMBAZAJI UMEME KWENYE TAASISI ZA UMMA


Naibu Waziri wa Nishati, akipata taarifa wa hali ya umeme ya Wilaya ya Liwale kutoka kwa Meneja Tanesco wa Wilaya ya Liwale Festo Nhembo wakati akiwa kwenye ziara ya kazi ya ukaguzi wa kazi ya usambazaji umeme.Naibu Waziri wa Nishati,Subira Mgalu,akiongea na wananchi wa kata ya Liwale mjini kabla ya kuwasha umeme kwenye shule ya msingi ya kata hiyo, kulia Mkuu...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YARIDHISHWA NA KASI UTEKELEZAJI MRADI WA UMEME WA JULIUS NYERERE

Waziri wa Nishati Dkt Medadi Kalemani akizungumza na waandishi wa Habari baada ya kikao na kamati ya Bunge ya Bajeti Mokoani Morogoro Leo March 6,2020.

…………………………………………………………………Na Farida Said, Morogoro

Kamati ya Kudumu ya Bajeti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepewa wasilisho juu ya maendeleo ya utekelezaji mradi Julius Nyerere (Mw 2115).

Wasilisho hilo limetolewa Mkoani Morogoro kwenye ukumbi wa bwalo la JKT Umwema na kuhudhuriwa na Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani,...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AFURAHISHWA NA KASI YA UJENZI MRADI MKUBWA WA UMEME WA JULIUS NYERERE WA MW 2115

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Kassim Majaliwa ameridhishwa na hatua mbalimbali za ujenzi wa Mradi mkubwa wa Kufua Umeme kwa maji wa Julius Nyerere (JNHPP) unaotekelezwa kwenye mto Rufiji.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo Mei 14, 2020, baada ya kufanya ziara kwenye eneo la mradi unaotarajiwa kuzalisha jumla ya Megawati 2115“ utakapokamilika 2022.
Waziri Mkuu ambaye alifuatana na Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo mhandisi Zena Said watendaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani