DILI LA kutafsiri Video za mkutano wa TED kwenda Kiswahili
Habari zenu wadau,
Kwa wale ambao hawalifahamu hili ni kwamba kuna mkutano ambao umekuwa maarufu sana duniani unaitwa TED(TED: Ideas worth spreading), mkutano huu unakusanya wataalamu wa kada mbalimbali kujadiliana kuhusu jinsi ya kutatua na kukabiliana na changamoto mbalimbali za maisha.
mijadala hii inarekodiwa katika video ambazo mtu yeyote anaweza kuziangalia, lakini mara nyingi lugha inayotumika katika mijadala hii ni kiingereza ,ili kuweza pia kuwafikia watu wengine duniani ambao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Hashim Rungwe: Sigombei kwenda Ikulu kupiga ‘dili’
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Lilipofikia dili la Mbwana Samatta kwenda Ulaya January 2016, hii ndio kauli ya meneja wake …
Usiku wa December 24 ulikuwa ni usiku ambao zilizagaa au kuvuja habari za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta kutajwa kwenda kucheza soka la kulipwa katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji. Stori zilianza kama tetesi na baadae mmoja kati ya mitandao […]
The post Lilipofikia dili la Mbwana Samatta kwenda Ulaya January 2016, hii ndio kauli ya meneja wake … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Mkutano wa Kiswahili wa utalii kufanyika Dar Octoba
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-NwD6p9-fkyM/VMg3oD1NbEI/AAAAAAAAH1A/RCdzK9vDd3A/s72-c/logochaukidu1.png)
Mkutano Mkuu wa CHAUKIDU na Tamasha la ukuzaji Kiswahili kufanyika Washington DC
![](http://2.bp.blogspot.com/-NwD6p9-fkyM/VMg3oD1NbEI/AAAAAAAAH1A/RCdzK9vDd3A/s1600/logochaukidu1.png)
Hayo yatafanyika hapa Washington DC.
Septemba mwaka jana nilipata fursa ya kuhudhuria mkutano wa awali uliojadili mikakati ya mkutano na tamasha lijalo.
Baada ya hapo nilipata fursa kuzungumza na viongozi wa CHAUKIDU
Dr Leornard Muaka. Yeye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Chaudiku. Na ni mwalimu wa lugha katika Chuo Kikuu cha Wiston Salem jimbo...
10 years ago
VijimamboMkutano na Viongozi wa Chama cha Ukuzaji wa Kiswahili Duniani (CHAUKIDU)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_-wTNNcyhEI/VH_cJj9LsPI/AAAAAAAG1FM/gKf5-D6cpV8/s72-c/319804_2170215351771_2109605734_n.jpg)
wazo la kutafsiri kitabu cha CHANGAMOTO: Insha za Jamii.
![](http://3.bp.blogspot.com/-_-wTNNcyhEI/VH_cJj9LsPI/AAAAAAAG1FM/gKf5-D6cpV8/s1600/319804_2170215351771_2109605734_n.jpg)
Nawazia kuzirekebisha insha zilizomo, na kuchapisha kitabu cha ki-Ingereza. Kufanya hivyo kutakipa kitabu hadhira kubwa zaidi kuliko ile ya wajuao ki-Swahili. Nina hakika, kwa mfano, kuwa wa-Marekani watakitafuta na kukisoma. Kwa ujumla wasomaji wa vitabu vyangu ni wa-Marekani.
Ninaposhiriki matamasha hapa Marekani,...
10 years ago
Bongo504 Nov
Fid Q kwenda kushoot video mpya nje ya nchi, atoa sababu za kwanini alikuwa hafanyi video
9 years ago
Bongo530 Oct
Video: Belle 9 adai waongozaji wa Bongo na location nzuri za nyumbani zinamshawishi kutofikiria kwenda kufanya video nje
![_K0A1374](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/K0A1374-94x94.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MR5NliRr-gM/VMJScMBy5rI/AAAAAAAG_J0/4sWO5j4TsT8/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
Nikiri kuwa ni makosa kutafsiri Filamu bila idhini ya mmiliki —Mzee Lufufu
![](http://1.bp.blogspot.com/-MR5NliRr-gM/VMJScMBy5rI/AAAAAAAG_J0/4sWO5j4TsT8/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mukandala Lufufu inayojishughulisha na kazi ya kutafsiri Filamu kwa Lugha ya Kishwahili Bw. Derick Mukandala maarufu kwa jina la Mzee Lufufu (pichani kulia) amekiri kuwa kazi yake anaifanya kienyeji ili hali akifahamu ni makosa.
Kauli hiyo ameitoa leo katika kikao baina yake na Bodi ya Filamu ambapo alieleza kuwa amekuwa akifanya kazi hiyo kwa muda mrefu bila kuzingatia utaratibu huku akijua kuwa ni makosa kwa mtu kutumia kazi ya msanii...