Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DILI LA kutafsiri Video za mkutano wa TED kwenda Kiswahili

Habari zenu wadau,
Kwa wale ambao hawalifahamu hili ni kwamba kuna mkutano ambao umekuwa maarufu sana duniani unaitwa TED(TED: Ideas worth spreading), mkutano huu unakusanya wataalamu wa kada mbalimbali kujadiliana kuhusu jinsi ya kutatua na kukabiliana na changamoto mbalimbali za maisha.  mijadala hii inarekodiwa katika video ambazo mtu yeyote anaweza kuziangalia, lakini mara nyingi lugha inayotumika katika mijadala hii ni kiingereza ,ili kuweza pia kuwafikia watu wengine duniani ambao...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Hashim Rungwe: Sigombei kwenda Ikulu kupiga ‘dili’

Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chauma), Hashim Rungwe amesema ameamua kugombea urais ili kutengeneza ajira kwa Watanzania wanaohitimu elimu katika ngazi mbalimbali na hakimbilii Ikulu kujinufaisha binafsi.

 

9 years ago

MillardAyo

Lilipofikia dili la Mbwana Samatta kwenda Ulaya January 2016, hii ndio kauli ya meneja wake …

Usiku wa December 24 ulikuwa ni usiku ambao zilizagaa au kuvuja habari za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta kutajwa kwenda kucheza soka la kulipwa katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji. Stori zilianza kama tetesi na baadae mmoja kati ya mitandao […]

The post Lilipofikia dili la Mbwana Samatta kwenda Ulaya January 2016, hii ndio kauli ya meneja wake … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mkutano wa Kiswahili wa utalii kufanyika Dar Octoba

 SHIRIKA la Kimataifa la utalii “Swahili International Tourism Expo (SITE)” limeandaa mkutano wa masuala ya utalii kwa lugha ya Kiswahili utakaofanyika Tanzania, Octoba 1 hadi 3 mwaka huu.

 

10 years ago

Vijimambo

Mkutano Mkuu wa CHAUKIDU na Tamasha la ukuzaji Kiswahili kufanyika Washington DC

Aprili 23 mwaka huu, Chama cha Ukuzaji Kiswahili Duniani (chaukidu) kinategemea kufanya mkutano mkuu wake, pamoja na tamasha la ukuzaji wa lugha ya Kiswahili.
Hayo yatafanyika hapa Washington DC.
Septemba mwaka jana nilipata fursa ya kuhudhuria mkutano wa awali uliojadili mikakati ya mkutano na tamasha lijalo.
Baada ya hapo nilipata fursa kuzungumza na viongozi wa CHAUKIDU
Dr Leornard Muaka. Yeye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Chaudiku. Na ni mwalimu wa lugha katika Chuo Kikuu cha Wiston Salem jimbo...

 

10 years ago

Vijimambo

Mkutano na Viongozi wa Chama cha Ukuzaji wa Kiswahili Duniani (CHAUKIDU)

KAMATI YA LUGHA NA UTAMADUNIKamati ya Lugha na utamaduni, Jumuiya ya Watanzania Washington DC, Maryland na Virginia (DMV) inapenda kuwaalika wana DMV na wadau wote wa Lugha ya Kiswahili kwenye mkutano na viongozi wa Chama cha Ukuzaji wa Kiswahili Duniani (CHAUKIDU) utakaofanyika siku ya Ijumaa Septemba 26, 2014 kuanzia saa nane mchana. Hii ni Fursa ya kukutana wa Wahadhiri wa lugha ya Kiswahili kutoka Vyuo mbali mbali hapa Marekani kwa lengo moja la kuendeleza lugha yetu ya Kiswahili. Anuani...

 

10 years ago

Michuzi

wazo la kutafsiri kitabu cha CHANGAMOTO: Insha za Jamii.

Na Prof. Joseph Mbele
Kwa wiki kadhaa, nimekuwa nikiwazia kutafsiri kitabu cha CHANGAMOTO: Insha za Jamii. Siku chache zilizopita, niliandika kuhusu kitabu hiki katika blogu hii. 

Nawazia kuzirekebisha insha zilizomo, na kuchapisha kitabu cha ki-Ingereza. Kufanya hivyo kutakipa kitabu hadhira kubwa zaidi kuliko ile ya wajuao ki-Swahili. Nina hakika, kwa mfano, kuwa wa-Marekani watakitafuta na kukisoma. Kwa ujumla wasomaji wa vitabu vyangu ni wa-Marekani. 

Ninaposhiriki matamasha hapa Marekani,...

 

10 years ago

Bongo5

Fid Q kwenda kushoot video mpya nje ya nchi, atoa sababu za kwanini alikuwa hafanyi video

Fareed Kubanda a.k.a Fid Q amesema anatarajia kwenda nje ya nchi kushoot video yake mpya. Rapper huyo wa Rock City amesema amedhamiria kuanza kufanya video nzuri baada ya kukaa muda mrefu bila video nzuri au wakati mwingine kutofanya kabisa licha ya kutoa hits nyingi. “Nimedhamiria kufanya video nzuri, kwahiyo kiukweli nashindwa kusema itakuwa ni aina […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Belle 9 adai waongozaji wa Bongo na location nzuri za nyumbani zinamshawishi kutofikiria kwenda kufanya video nje

_K0A1374Belle 9 anadhani Tanzania ina waongozaji wakali na location za kuvutia kufanya video za muziki kiasi ambacho haoni sababu ya kusafiri kwenda kufanya video zake nje ya nchi.  Muimbaji huyo aliyeachia video ya wimbo wake ‘Shauri Zao’ hivi karibuni, amesema uwezo wa waongozaji wa Tanzania akiwemo Hanscana unatosha kabisa kumpa video yenye ubora. Amesema kama […]

 

10 years ago

Michuzi

Nikiri kuwa ni makosa kutafsiri Filamu bila idhini ya mmiliki —Mzee Lufufu

 Na Frank Shija.WHVUM
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mukandala Lufufu inayojishughulisha na kazi ya kutafsiri Filamu kwa Lugha ya Kishwahili Bw. Derick Mukandala maarufu kwa jina la Mzee Lufufu (pichani kulia) amekiri kuwa kazi yake anaifanya kienyeji ili hali akifahamu ni makosa.
Kauli hiyo ameitoa leo katika kikao baina yake na Bodi ya Filamu ambapo alieleza kuwa amekuwa akifanya kazi hiyo kwa muda mrefu bila kuzingatia utaratibu huku akijua kuwa ni makosa kwa mtu kutumia kazi ya msanii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani