Dini kupambana na utumwa mamboleo
Mpango wa pamoja kukabiliana na utumwa mamboleo umezinduliwa na Kanisa Katoliki, Kanisa la kianglikana na Uongozi wa Waislam wa Ki-sunni
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Mar
Mugabe: Vijana pingeni ukoloni mamboleo
Arusha. Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe ametoa wito kwa vijana barani Afrika kupinga dhana ya ukoloni mamboleo pamoja na kulinda rasilimali zilizopo ndani ya bara hili kwa masilahi ya vizazi vijavyo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QGAL97PIhPA/VLpX0nISEgI/AAAAAAAG9-w/giB02-NwJuY/s72-c/DSC_0801.jpg)
VIONGOZI WA DINI WAKEMEA MAOVU YANAYOFANYWA KWA MGONGO WA DINI
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii Dar
Viongozi wa dini za kiislaam na kikristo wamesema dini ni za unyenyekevu na sio za kufanya maovu,ikitokea mtu mmoja katika imani anafanya maovu ni lazima akemewe ndani ya imani yake kwanza.
Wameyasema hayo leo katika kongamano la kujadili madhara ya misimamo mikali ya imani za kidini (Tafkiri) katika jamii na taifa lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa kufungua kongamano hilo Katibu wa Taasisi za...
Viongozi wa dini za kiislaam na kikristo wamesema dini ni za unyenyekevu na sio za kufanya maovu,ikitokea mtu mmoja katika imani anafanya maovu ni lazima akemewe ndani ya imani yake kwanza.
Wameyasema hayo leo katika kongamano la kujadili madhara ya misimamo mikali ya imani za kidini (Tafkiri) katika jamii na taifa lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa kufungua kongamano hilo Katibu wa Taasisi za...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
Mangula awataka viongozi wa dini wasiwapotoshe wananchi kuhusiana na kuwapo kwa masuala ya dini katika katiba pendekezwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ypr5eRsgCsY/VSacSUg99UI/AAAAAAAHP4E/fhX5DK68_QQ/s1600/unnamed%2B(71).jpg)
Na Furaha Eliab, Njombe
MAKAMU mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) - Bara, Philip Mangula amesema kuwa viongozi...
10 years ago
Habarileo25 Mar
UN kuadhimisha siku ya utumwa
UMOJA wa Mataifa leo unaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kumbukumbu ya Waathirika wa Utumwa na Biashara ya Utumwa kupitia Bahari ya Atlantiki.
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Utumwa wa soka unaitesa Afrika
Bila wasiwasi, soka ni mchezo mkubwa Afrika, na katika bara hilo siyo lazima uwe na uwanja wenye nyasi ndiyo soka lichezwe, soka linachezwa hata kwenye viwanja vyenye vumbi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wBi6IgNyVl8QWKkC3cFeqGzjzb4T6PJy0ivnL8ifu*mXPqtFgwvQU1n8k1NqvjVwz2KNyAFA4nKY9LfRzMmvmxlQf-*yDzgP/Romantic_love_romantic_couple_wallpaper_download_free27.jpg?width=650)
UNYENYEKEVU KWA MWENZI WAKO NI UTUMWA?
NINA kila sababu ya kumshukuru Muumba wangu kwakuwa yeye ndiye mlinzi na kiongozi wa maisha yangu, bila yeye mimi na wewe tusingekuwepo hivyo basi tuna wajibu wa kumshukuru kila wakati. Leo nitazungumza moja kwa moja na wanandoa. Nitazungumza juu ya jambo muhimu sana, unyenyekevu na uvumilivu katika ndoa bila kujali jinsi, je ni utumwa? Hapa kila mmoja atakuwa na jibu lake, lakini leo nataka kuwapa ukweli wa kitaalam. Kuna usemi...
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Ripoti: Tanzania kinara wa utumwa A.Mashariki
Ripoti mpya ya kimataifa kuhusu hali ya utumwa duniani imeitajaTanzania kuongoza Afrika Mashariki kwa kuwa na zaidi ya watu 350,000 wanaotumikishwa maeneo mbalimbali nchini.
10 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0048.jpg?width=650)
UN YAADHIMISHA KUMBUKUMBU YA WAATHIRIKA WA BIASHARA YA UTUMWA
Ofisa Habari wa UNIC, Stella Vuzo akisoma hotuba ya ujumbe wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-moon kwenye maadhimisho ya kumbukumbu kuwakumbuka waathirika wa utumwa na biashara zake zilizoendeshwa eneo la Bahari ya Atlantiki. Mshauri wa Masuala ya Haki za Binadamu wa UN nchini Tanzania, Chitralekha Massey akizungumza na vyombo vya habari katika maadhimisho ya kuwakumbuka waathirika wa utumwa na biashara zake. Ofisa...
10 years ago
Vijimambo26 Mar
UN Kuainisha Eneo Kukumbuka Biashara ya Utumwa
![Ofisa Habari wa UNIC, Stella Vuzo akisoma hotuba ya ujumbe wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-moon kwenye maadhimisho ya kumbukumbu kuwakumbuka waathirika wa utumwa na biashara zake zilizoendeshwa eneo la Bahari ya Atlantiki.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0048.jpg)
![Mshauri wa Masuala ya Haki za Binadamu wa UN nchini Tanzania, Chitralekha Massey akizungumza na vyombo vya habari katika maadhimisho ya kuwakumbuka waathirika wa utumwa na biashara zake.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0062.jpg)
![Ofisa Habari wa Umoja wa Mataifa Tanzania, Bi. Usia Nkhoma akiwasilisha mada kwa washiriki wa maadhimisho ya kuwakumbuka waathirika wa utumwa na biashara zake.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0017.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania