Dk. Daftari awapiga ‘stop’ UKAWA
MJUMBE wa Bunge Maalumu, Dk. Maua Daftari, amewapiga marufuku wajumbe wa Bunge Maalumu, wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wasiendeshe mikutano na maandamano. Dk. Daftari alitoa kauli hiyo juzi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BDlvIDeZhzhZd4XKUXZXYV1VsPEx0ij5ki8jFMjs2MFF6ZBTFfbEDl1rZim2nScFhGyAcJNmEEKlIbEul6kEHOf1EuSvZUP*/zari.gif?width=650)
ZARI AWAPIGA ‘STOP’ NDUGU WA DIAMOND!
10 years ago
Mwananchi08 Nov
Mangungu awapiga madongo Ukawa
9 years ago
Mzalendo Zanzibar16 Oct
Ukawa waibua madudu 17 daftari la kura.
Friday, October 16, 2015 NA SALOME KITOMARY Waitaka Tume ya Uchaguzi (Nec) kuacha mchezo na daftari hilo kwa kuwa kufanya hivyo ni kutaka kusababisha machafuko nchini. Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umeibua madudu 17 katika […]
The post Ukawa waibua madudu 17 daftari la kura. appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Habarileo03 Nov
Polisi yapiga ‘stop’ maandamano ya Ukawa
POLISI mkoani hapa imepiga marufuku maandamano ya wafuasi wa vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), yaliyolenga kushinikiza aliyekuwa mgombea urais, Edward Lowassa kutangazwa kuwa ndiye mshindi halali wa kiti hicho.
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Polisi yawapiga ‘stop’ tena Ukawa Zanzibar
11 years ago
TheCitizen04 Apr
Stop Ukawa, ruling party campaigns on Katiba: call
10 years ago
IPPmedia13 Aug
Ukawa to hold nationwide demos if JK fails to stop CA meetings
IPPmedia
IPPmedia
Leaders of the Coalition of Defenders of People's Constitution (UKAWA) have threatened to conduct countrywide demonstrations should President Jakaya Kikwete refuse to suspend the ongoing constitution review process. They are also alleging ...
More from 'Group of 201' rejoin CA Katiba processDaily News
all 3
9 years ago
Mzalendo Zanzibar12 Oct
WATANZANIA: Tunaiomba UKAWA Kususia Uchaguzi Iwapo NEC na ZEC itashindwa Kuweka Wazi Daftari la Wapiga Kura.
Nategemea habari hizi zitawafika Wahusika wakuu wa Vyama vya Vinavounda UKAWA.. Kama sisi no Wazalendo ambao Tuna kiu ya Mabadiliko ya Uongozi katika Serikali. Mara hii tumejitokeza Vijana wengi kutafuta Vichinjio ya Kuiondoa Serikali ya CCM […]
The post WATANZANIA: Tunaiomba UKAWA Kususia Uchaguzi Iwapo NEC na ZEC itashindwa Kuweka Wazi Daftari la Wapiga Kura. appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar11 Oct
Mpaka hivi sasa tume ya Taifa NEC imeshindwa kuweka Daftari la Wapiga kura hadharani, Jee UKAWA wamejipanga vipi?
Huku kukiwa na wasiwasi mkubwa kwa Vyama vya Upinzani kuhusu Daftari la wapiga kura kutokuwekwa hadharani ili vyama vya siasa kupata nafasi ya kulipitia, Vyama vilivyo ungana UKAWA wamekuwa na shaka kubwa kuwa Tume ya Taifa […]
The post Mpaka hivi sasa tume ya Taifa NEC imeshindwa kuweka Daftari la Wapiga kura hadharani, Jee UKAWA wamejipanga vipi? appeared first on Mzalendo.net.