Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi yawapiga ‘stop’ tena Ukawa Zanzibar

Jeshi la Polisi Zanzibar limeendelea kuuchelewesha mkutano wa wanachama wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kwa madai kwamba hakuna askari wa kutosha kuulinda.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Polisi yapiga ‘stop’ maandamano ya Ukawa

POLISI mkoani hapa imepiga marufuku maandamano ya wafuasi wa vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), yaliyolenga kushinikiza aliyekuwa mgombea urais, Edward Lowassa kutangazwa kuwa ndiye mshindi halali wa kiti hicho.

 

11 years ago

GPL

BASATA YAWAPIGA STOP BONGO MOVIE

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan
BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limewapiga stop waigizaji wa filamu nchini kuacha mara moja tabia ya kuendesha miradi ya uibuaji wa vipaji (Talent Search) bila kwanza kupata kibali kutoka kwa taasisi hiyo ya serikali. Steve Nyerere. Hatua hiyo imekuja siku chache tu baada ya wasanii kadhaa wa filamu kwenda mkoani Mwanza na kuendesha ‘project’ hiyo zenye lengo la kuibua...

 

10 years ago

Mwananchi

Chadema yawapiga "stop" wanaotaka kuwang'oa Lema na Nassari

Chama cha Demokrasia na Maendeleo(chadema), mkoa wa Arusha “kimewapiga stop” wanachama wake, kutangaza nia ya kugombea ubunge katika majimbo matatu, yanayoshikiliwa na wabunge wa chama hicho,hadi hapo Bunge litakapovunjwa rasmi julai 2 mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi, Ukawa wavutana Zanzibar

Jeshi la Polisi limepiga marufuku kufanyika kwa mkutano wa Umoja wa Katiba ya Wananchi(Ukawa) uliotarajiwa kufanyika leo mjini Zanzibar kwa madai ya kiusalama.

 

10 years ago

Dewji Blog

ZAPDD yawapiga msasa wanahabari Zanzibar juu ya kutete watu wenye ulemavu wa akili PDD

TWOOOO (1)

 

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Zanzibar Ally Uki katikati akitoa mada katika Semina ya kuwajengea Uwezo Wanahabari. Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Watu wenye Ulemavu wa Akili Zanzibar (ZAPDD) Juma Salim Juma na kulia ni Mdau kutoka ZAPDD Khalid A Omar.  Semina hiyo ilidhaminiwa na Mwenvuli wa Asasi za Kiraia.

Na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar

Waandishi wa habari nchini wameazimia kuboresha Fani ya Uandishi na Utayarishaji wa Vipindi Vinavyohusu Watu wenye Ulemavu wa Akili ili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Daftari awapiga ‘stop’ UKAWA

MJUMBE wa Bunge Maalumu, Dk. Maua Daftari, amewapiga marufuku wajumbe wa Bunge Maalumu, wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wasiendeshe mikutano na maandamano. Dk. Daftari alitoa kauli hiyo juzi...

 

9 years ago

Michuzi

STOP PRESS: TANZANIA YAPETA TENA KATIKA MPANGO WA KUPATA MABILIONI YA MCC

·          Tanzania imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia la Millennium Challenge Corporation (MCC) la Marekani na itaanza kupata na kunufaika na mabilioni hayo ya fedha baada ya wajumbe wa Bodi ya MCC kupiga kura ya kuidhinisha kutolewa kwa fedha hizo chini ya Mpango wa MCC-2.Habari hizo njema zimetangazwa Jumamosi, Septemba 26, 2015, kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, na...

 

11 years ago

TheCitizen

Stop Ukawa, ruling party campaigns on Katiba: call

Two members of the Constituent Assembly (CA) now want the government to stop politicians from discussing the second Draft Constitution in their public rallies.

 

10 years ago

IPPmedia

Ukawa to hold nationwide demos if JK fails to stop CA meetings


IPPmedia
Ukawa to hold nationwide demos if JK fails to stop CA meetings
IPPmedia
Leaders of the Coalition of Defenders of People's Constitution (UKAWA) have threatened to conduct countrywide demonstrations should President Jakaya Kikwete refuse to suspend the ongoing constitution review process. They are also alleging ...
More from 'Group of 201' rejoin CA Katiba processDaily News

all 3

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani