DK EMMANUEL NCHIMBI Mbunge wa Songea Mjini
Dk Emmanuel Nchimbi alizaliwa Desemba 24, 1971 mkoani Mbeya, (atafikisha miaka 44 Desemba mwaka huu). Elimu yake ya Msingi aliianzia jijini Dar es Salaam katika Shule ya Msingi Oysterbay kati ya mwaka 1980 – 1986.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-59AAqYuuq9o/UuvUAI477TI/AAAAAAAFJ9I/URFXWteKT-8/s72-c/unnamed+(19).jpg)
MBUNGE WA SONGEA MJINI, DK EMMANUEL NCHIMBI APATA MAPOKEZI MAKUBWA JIMBONI KWAKE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-59AAqYuuq9o/UuvUAI477TI/AAAAAAAFJ9I/URFXWteKT-8/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yf3zBtYuylU/UuvUAWYGlEI/AAAAAAAFJ9M/uASLv7pnc_Y/s1600/unnamed+(20).jpg)
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Maswali Kumi kwa Mbunge wangu:Dk Emmanuel Nchimbi
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Nchimbi arudi Songea, aomba ushirikiano
MBUNGE wa Songea Mjini, Dk. Emmanuel Nchimbi (CCM), amewataka madiwani na wananchi wa jimbo hilo kumpa ushirikiano wa dhati ili akamilishe ahadi alizozitoa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita. Wito...
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Nchimbi mgeni rasmi Tamasha la Pasaka Songea
ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Emmanuel Nchimbi, anatarajia kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la Pasaka linalotarajia kufanyika Aprili 26 mjini Songea mkoani Ruvuma. Mwenyekiti wa Kamati ya...
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Nchimbi ampamba Bashe Nzega Mjini
MJI wa Nzega mkoani Tabora wiki iliyopita ulitawaliwa na nderemo za aina yake wakati mgombea ubun
Christopher Gamaina
10 years ago
Dewji Blog02 Feb
Miaka 38 ya CCM mjini Songea
![](http://4.bp.blogspot.com/-NxE-RcM6vMg/VM5JKzQoEKI/AAAAAAAAWgs/CItB0GKOU5Q/s1600/01.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi wakati akiingia kwenye uwanja wa Maji Maji mjini Songea kwenye sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM ambapo kitaifa zimefanyika mkoa wa Ruvuma.
![](http://1.bp.blogspot.com/-GkDgmWMsJu8/VM5JLbs4G6I/AAAAAAAAWg0/YPzUSnWG2Bk/s1600/04.jpg)
Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akivishwa skafu na kijana wa chipukizi mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Maji Maji mjini Songea kwenye sherehe za maadhimisho ya miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lv9pyCtVqqY/VM5JSas1qGI/AAAAAAAAWiM/kNXGI5Kpjog/s1600/4.jpg)
Baadhi ya viongozi wakiwasili kwenye uwanja wa Maji...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/OQ2vvYDlH6c/default.jpg)