Nchimbi mgeni rasmi Tamasha la Pasaka Songea
ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Emmanuel Nchimbi, anatarajia kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la Pasaka linalotarajia kufanyika Aprili 26 mjini Songea mkoani Ruvuma. Mwenyekiti wa Kamati ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMEMBE MGENI RASMI TAMASHA LA PASAKA
10 years ago
MichuziMH. MEMBE KUWA MGENI RASMI TAMASHA LA PASAKA
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Mambo ya Nje na...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-eMYj6Ts8F-0/Uzozc1CjxZI/AAAAAAAFXoA/EfZVwlOWqbs/s72-c/mh-william-ngeleja-waziri-wa-nishati-na-madini-akihutubia-pic-by-baraka-baraka.jpg)
Ngeleja mgeni rasmi tamasha la Pasaka jijini Mwanza
![](http://2.bp.blogspot.com/-eMYj6Ts8F-0/Uzozc1CjxZI/AAAAAAAFXoA/EfZVwlOWqbs/s1600/mh-william-ngeleja-waziri-wa-nishati-na-madini-akihutubia-pic-by-baraka-baraka.jpg)
Mang’era alisema tamasha hilo litakuwa ni la aina yake ambako alitoa wito kwa wakazi wa Kanda ya ziwa kujitokeza kwa wingi katika tamasha...
9 years ago
Habarileo28 Sep
JK mgeni rasmi Tamasha la Amani
RAIS Jakaya Kikwete amekubali kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la Kuombea Amani nchini litakalofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Jumapili wiki hii. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, Rais Kikwete amekubali kuwa mgeni rasmi siku hiyo katika tamasha la kuombea amani Tanzania kuelekea katika Uchaguzi Mkuu mwezi ujao.
9 years ago
Habarileo22 Dec
Nape mgeni rasmi tamasha la Krismasi
WAZIRI wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye anatarajiwa kumwakilisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwenye Tamasha la Krismasi litakalofanyika Desemba 25 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee ,Dar es Salaam.
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Makamu wa Rais mgeni rasmi Tamasha la Amani
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Kinondoni wakati alipomtangaza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Samia Hassan Suluhu kuwa mgeni rasmi wa Tamasha la Kushukuru kufuatia kufanyika kwa uchaguzi wa amani na utulivu tarehe 25 mwezi Oktoba mwaka huu nchini kote huku nchi ikiendelea kuwa na utulivu na amani ya hali ya juu. Kushoto ni Mratibu Tamasja la Kushukuru masuala ya usalama Bw. Hamisi Pembe
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Nehemia Mchechu mgeni rasmi tamasha la ‘mateja’
NA MWANDISHI WETU
MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la kwaya mbalimbali lenye lengo la kuchangia uanzishwaji wa Kituo cha kusaidia vijana walioathirika na dawa za kulevya.
Tamasha hilo lililoandaliwa na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kigogo, litafanyika Jumapili ya Oktoba 18, katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam.
Msanii kutoka Kenya, Solomoni Mukubwa, kwaya ya...
9 years ago
Michuzi10 Dec
MAKAMU WA RAIS MGENI RASMI TAMASHA LA AMANI
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/msa1.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Kinondoni wakati alipomtangaza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Samia Hassan Suluhu kuwa mgeni rasmi wa Tamasha la Kushukuru kufuatia kufanyika kwa uchaguzi wa amani na utulivu tarehe 25 mwezi Oktoba mwaka huu nchini kote huku nchi ikiendelea kuwa na utulivu na amani ya hali ya juu. Kushoto ni Mratibu Tamasja la Kushukuru masuala ya usalama Bw. Hamisi Pembe.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10