Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Magufuli nguvu ya soda?

RAIS Dk.

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Magufuli ni nguvu ya soda au moto wa gesi?

WIKI iliyopita imekwisha kwa mambo mengi na sijui hadi leo hii mangapi mengine yamefanyika tangu

Lula wa Ndali Mwananzela

 

9 years ago

Raia Mwema

Tuone kweli kama ni nguvu ya soda au nguvu ya jua

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

 

9 years ago

Raia Mwema

Nani nguvu ya soda?

WAKATI bado Rais Dk.

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Raia Mwema

Magufuli ana nguvu gani Zanzibar?

KUNA msomaji wangu mmoja ambaye kwa muda mrefu nikifikiri ni mwanachuoni au, pengine, mhamiaji tu

Ahmed Rajab

 

10 years ago

Habarileo

Magufuli aapa kulinda Muungano kwa nguvu

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli na mgombea mwenza, Samia Suluhu Hassan wakiwapungia mamia ya wananchi waliojitokeza kuwapokea walipokwenda kutambulishwa kwenye ofisi ya CCM Zanzibar jana. (Na Mpigapicha Wetu).MGOMBEA wa Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli amesema ataulinda Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa mwaka 1964 kwa lengo la kuleta mshikamano na maendeleo kwa wananchi wa pande mbili za muungano wa Tanzania.

 

9 years ago

Mwananchi

TAFAKURI YA ABDU IDD :Tutafakari nguvu na udhaifu wa Dk Magufuli

Wadau wa tafakuri leo nataka tutafakari juu kuhusu uwezekano wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushinda ama kushindwa katika kinyang’anyiro cha urais mwaka huu.

 

9 years ago

Michuzi

KIMBISA AMNADI MAGUFULI KWA NGUVU, MAMA PINDA ANOGESHA...!

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa akicheza wimbo wa hamasa wa kampeni za CCM kabla ya kuanza kumnadi Dk. Magufuli kwa wanaUWT, Mkoa wa Dodoma. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa akicheza wimbo wa hamasa wa kampeni za CCM kabla ya kuanza kumnadi Dk. Magufuli kwa wanaUWT, Mkoa wa Dodoma.'...Na wapigwe tu maana hamna namna nyingine..' Mke wa Waziri Mkuu wa Tanzania, Mama Tunu Pinda akizungumza na akinamama wa UWT Mkoa wa Dodoma. '.Na wapigwe tu maana hamna namna nyingine..' Mke wa Waziri Mkuu wa Tanzania, Mama Tunu Pinda akizungumza na akinamama wa UWT Mkoa wa Dodoma.
 Na Mwandishi Wetu, DodomaMWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa ameweka kando msimamo aliyokuwa nao awali na kuanza kumnadi kwa nguvu mgombea wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Dk Magufuli atoa mpya tena afanya mazoezi ya nguvu jukwaani Makambako

  Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akifanya mazoezi jukwaani akijiandaa kujinadi kwa wananchi katika Mji wa  Makambako, mkoani Njombe leo,  jambo ambalo lilizua vifijo, nderemo na vigelegele kutoka kwa wananchi waliofurika kwenye mkutano huo wa kampeni.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akijinadi kwa wananchi  kwa kuwaomba ifikapo Oktoba 25, mwaka huu wakati wa Uchaguzi Mkuu, waende...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kanisa la Pentekoste Singida lamuombea Rais Magufuli nguvu ya kuendelea kutumbua majipu nchini

pic+magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.

Na Nathaniel Limu, Singida

KANISA la Pentekoste (FPCT) Tanzania la mjini kati Singida limetumia maadhimisho ya siku ya kuzaliwa (krismasi) kwa Yesu Kristo, kumwombea Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Mungu aendelee kumpa afya,nguvu na ujasiri wa kutumbua majipu.

Maombi hayo maalum,yalifanywa na waumini wa kanisa hilo wakiongozwa na mchungaji Philipo Sospeter,kwa kile kilichodaiwa kuwa Rais Magufuli ameanza vizuri kuwatumikia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani