Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Mwakyembe alivyohenyeshwa na wabunge

 Hitimisho la makadirio ya matumizi ya Wizara ya Uchukuzi, juzi lilizua sintofahamu bungeni, baada ya wabunge kupishana kauli na kurushiana vijembe, huku Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe akiwekwa kikaangoni kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu wizara yake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Upatikanaji wabunge wa Afrika Mashariki ubadilishwe-Mwakyembe

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Harison Mwakyembe.WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Harrison Mwakyembe, amependekeza mfumo wa kupata wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania, ubadilishwe.

 

10 years ago

GPL

CHEKA ALIVYOHENYESHWA MAHAKAMANI

Stori: Dustan  Shekidele/Risasi Mchanganyiko BONDIA bingwa wa dunia wa WBF uzani wa Kati, Francis Cheka ambaye juzi alihukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa la kumpiga mtu ngumi, alihenyeshwa kiasi cha kutosha kabla ya kupandishwa kwenye karandinga la Magereza lililompeleka kuanza maisha mapya katika gereza la Manispaa ya mkoa.
Awali, baada ya hukumu hiyo, Cheka alipelekwa katika chumba ambacho mahabusu hukaa...

 

11 years ago

GPL

YANGA (WABUNGE) WALIVYOISAMBARATISHA SIMBA (WABUNGE) KATIKA TAMASHA LA MATUMAINI 2014

Mbunge wa Jimbo la Chalinze ambaye ni shabiki wa Yanga, Ridhiwan Kikwete akivua jezi yake kwa ajili ya mashabiki mara baada ya ushindi wa timu yake wa mabao 3-2 dhidi ya Simba leo. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akishangilia na shabiki wake baada ya ushindi wa…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani