Upatikanaji wabunge wa Afrika Mashariki ubadilishwe-Mwakyembe
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Harrison Mwakyembe, amependekeza mfumo wa kupata wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania, ubadilishwe.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo30 Jan
Waziri Mwakyembe tayari ndani ya Bunge la Afrika Mashariki leo January 29
![](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/01/Mwakyembe-I.jpg?resize=551%2C366)
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Wabunge Afrika Mashariki waache kumghasi Spika
10 years ago
Michuzi08 Dec
MASHINDANO YA MICHEZO YA WABUNGE WA AFRIKA MASHARIKI YAANZA JIJINI ARUSHA
![SAM_0498](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/KzIMOo_jFNAtQPudRZua0bAZpZ4mQOzMr3bMvlTGRalhIQTKmHO0ZgNm-kzCbCZCHuxIYz6RWS3ePJ1Roo-aBkpe0LfGxAftJnsqAw914F7M6mA-cd_enEM=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/12/sam_0498.jpg?w=660)
![SAM_0469](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/ihmSIo4XwcdB2dbWy6E6oN4CAoXHrhZNKbm-7RV0tGInTe4RuOukO9Zgu0gg5-KUDwcaMk3Z7rGfF8gm09TNDER5sZmIkV4QL_fKx_M-4amzEm_4CXUPdQM=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/12/sam_0469.jpg?w=660)
![SAM_0470](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Mqc9J2CNbw6TfMKQCEkY8yUqJAcNYDWzGWybDHW8UpTSHJKZZ8x6K1rRf6FQ4-Mnjr7mKp4_2Cr2Rzmqcn57NXASpNDXnryLPwufh3rE0PLKr5wh66faxoM=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/12/sam_0470.jpg?w=660)
![SAM_0440](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/h_d6iLldgfyloRTXUNf9CUvl_5mHjwAx02gFEypbB-DwUdxf4o2G6Nynxb7p1rDoZLf2wp9hHnxUERv9_zk-q92sHtDUjgpGQ1zlWX83zwUGleuRkqeexS4=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/12/sam_0440.jpg?w=660)
![SAM_0452](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/1OaH3Dj_6CL4aYFygVknAw4XZ5Fj9Ck8vIBNN6U35vUnnoAUI5eAtFcexoUfn2REhQ7fiyvMebF_wUIGrMPzvymgUavIsGOjSJoJMvhMP0eGppl5MH0uCbU=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/12/sam_0452.jpg?w=660)
![SAM_0495](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/RJ4AOopZY8aFDtEzDilUJGTSw87AZyRZnx6lkQ40hHZ-Qn03Z5hOn89iWwaplQGXvONuKFh_PHgwnuL_Ekj3EBS-_h4dOx9GmLMHoYoedgVhrw9O8IND23s=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/12/sam_0495.jpg?w=660)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RHaP_Xfzgz8/VDecvKsfrfI/AAAAAAAGo9o/_l-MHChO7pA/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA WABUNGE WA BUNGE LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-RHaP_Xfzgz8/VDecvKsfrfI/AAAAAAAGo9o/_l-MHChO7pA/s1600/unnamed%2B(29).jpg)
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Tamko la wabunge Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki EALA — TZ
Mwenyekiti wa wabunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki(EALA) Mh. Adam Kimbisa akitoa tamko la wabunge wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki kwa waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu sakata la kumvua madaraka spika wa bunge hilo wakati wa Mkutano uliofanyika katikamukumbi wa Idara ya Habari(MAELEZO).Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Bw. Assah Mwambene.
Katibu wa wabunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki(EALA) Mh. Shy-rose Bhanji akieleza...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W6xTlaG2Irs/VAN0PdupDgI/AAAAAAAGYnw/I9QixX8_gq0/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
Wabunge Afrika Mashariki watembelea Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSuBa)
![](http://3.bp.blogspot.com/-W6xTlaG2Irs/VAN0PdupDgI/AAAAAAAGYnw/I9QixX8_gq0/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kcJ12wU78Ug/VAN0QGCHlkI/AAAAAAAGYn4/Yse08ZLzTJg/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
10 years ago
Dewji Blog30 Aug
Wabunge wa bunge Jumuiya ya Afrika Mashariki watembelea bandari ya Dar es salaam
Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) Dkt. Margaret Zziwa (wa pili kulia) akipewa maelezo na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya TICS Paul Wallace namna kampuni yake inavyofanyakazi ya kupakua na kupakia mizigo katika bandari ya Dar es salaam wakati wa ziara ya Wabunge wa bunge hilo walipotembelea ofisi za Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) jana jijini Dar es salaam.(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO).
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Jumuiya ya Afrika Mashariki iko makini katika kutekeleza...
10 years ago
Dewji Blog28 Sep
Komu aibwaga Serikali, wabunge Afrika Mashariki wakalia kuti kavu
Na Mwandishi wetu
ALIYEKUWA Mgombea ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki, (EALA), kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema), Anthony Komu (pichani), ameibwaga Serikali kwenye kesi aliyoifungua Mahakama ya Afrika Mashariki, (EACJ), baada ya maombi yake mawili kukubaliwa huku moja likitupwa.
Mahakama hiyo, imesema kuwa kuwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilikiuka kipengele cha 50 (1) cha uanzishwa wa jumuiya ya Afrika Mashariki kwenye uchaguzi uliofanyika Aprili...
11 years ago
Dewji Blog23 Jun
Wabunge wapata semina ya Itifaki ya Umoja wa Fedha wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki
Mgeni rasmi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwezeshaji wa Uchumi Dkt. Mary Nagu akifungua semina ya Wabunge kuhusu Itifaki ya Umoja wa Fedha wa Jumuiya ya Afrika Mashariki jana katika ukumbi wa Bunge wa Msekwa mjini Dodoma. Kulia ni Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum.
Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akisisitiza umuhimu wa Itifaki ya Umoja wa Fedha wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa Wabunge katika semina iliyofanyika jana ukumbi wa Bunge wa Msekwa mjini Dodoma.
Mkurugenzi Msaidizi...