CHEKA ALIVYOHENYESHWA MAHAKAMANI
![](http://api.ning.com:80/files/sjQ7lRKeVr5A3tCK4pDlkTIfU2FBzq*PZZ5QsMFoZiOR5CVD010BySk5UmTokaYAOmPqNPsSBifIUt-z0x1CTt5PUzwesZyu/5copy.jpg?width=650)
Stori: Dustan Shekidele/Risasi Mchanganyiko BONDIA bingwa wa dunia wa WBF uzani wa Kati, Francis Cheka ambaye juzi alihukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa la kumpiga mtu ngumi, alihenyeshwa kiasi cha kutosha kabla ya kupandishwa kwenye karandinga la Magereza lililompeleka kuanza maisha mapya katika gereza la Manispaa ya mkoa. Awali, baada ya hukumu hiyo, Cheka alipelekwa katika chumba ambacho mahabusu hukaa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 May
Dk Mwakyembe alivyohenyeshwa na wabunge
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7zqEL_P_B4U/default.jpg)
21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza
BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ra5i-k6q4JE/UvZy9S7mOtI/AAAAAAAFLzk/BsCwkNQwAgw/s72-c/81c1f4194740b3ea538ff14ddabd4653.jpg)
11 years ago
Mwananchi18 Dec
‘Cheka atapigwa tu Russia’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCgYt3WP*Y1Fieh26zlBa4HOBMpflr0BUr4d8EhKk35JIH08*WhPYJ5IgG6Il5v3SQFXa9muF4NSSVTfR7KpIELu/CHEKA.jpg)
CHEKA AKIMBIA SHULE
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Cheka apoteza matumaini
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Cheka amtamani Chudnov
PROMOTA maarufu wa masumbwi ya kulipwa nchini, Ally Mwazoa ameanza mipango ya kuwapiganisha bondia Francis Cheka ‘SMG’ dhidi ya Fedor Chudinov wa Urusi. Akizungumza na Tanzania Daima jana, promota huyo...