Cheka amtamani Chudnov
PROMOTA maarufu wa masumbwi ya kulipwa nchini, Ally Mwazoa ameanza mipango ya kuwapiganisha bondia Francis Cheka ‘SMG’ dhidi ya Fedor Chudinov wa Urusi. Akizungumza na Tanzania Daima jana, promota huyo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
ROSE MUHANDO AMTAMANI GWAJIMA
10 years ago
Vijimambo
21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza
BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...
10 years ago
Mtanzania21 Aug
Mo Music amtamani KCEE katika wimbo wake mpya
NA AGNES MHAGAMA
BAADA ya wasanii mbalimbali wa muziki wa Bongo Fleva kufanya vizuri kimataifa kupitia ushirikiano na wasanii wa kimataifa, msanii anayefanya vizuri katika wa muziki huo, Moshi Katemi ‘Mo Music’ naye ana matarajio ya kushirikiana na msanii kutoka Nigeria, KCEE.
Mo Music, anayetamba na wimbo wa ‘Basi Nenda’ na ‘Ntazoea’, alisema ameshafanya mawasiliano na msanii huyo na mipango ikienda kama walivyopanga watakamilisha wimbo huo ndani ya mwaka huu.
“Nimemchagua KCEE kwa sababu...
11 years ago
Michuzi
10 years ago
GPL
CHEKA ALIVYOHENYESHWA MAHAKAMANI
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Cheka apoteza matumaini
11 years ago
GPL
CHEKA AKIMBIA SHULE
11 years ago
Mwananchi18 Dec
‘Cheka atapigwa tu Russia’