CHEKA AKIMBIA SHULE
![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCgYt3WP*Y1Fieh26zlBa4HOBMpflr0BUr4d8EhKk35JIH08*WhPYJ5IgG6Il5v3SQFXa9muF4NSSVTfR7KpIELu/CHEKA.jpg)
Bondia Francis Cheka akitoka shule. BONDIA Francis Cheka anadaiwa kukacha masomo katika Shule ya St. Joseph mjini Morogoro alipokuwa anasomeshwa kwa madai ya ugumu wa maisha. Cheka alikuwa anasoma kidato cha kwanza katika shule hiyo ikiwa ni ofa baada ya kumtwanga Mmarekani Phill Williams. Mmoja wa walimu wa shule hiyo, James Mkisi amedai Cheka alihudhuria masomo shuleni hapo mara mbili tu! Cheka amesema kuwa majukumu ya familia...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7zqEL_P_B4U/default.jpg)
21.12.2013 - Fedor Chudinov vs Francis Cheka huyu ndiyo Cheka aliefungwa miaka 3 magereza
BONDIA maarufu nchini wa ngumi za kulipwa, Francis Cheka amehukumiwa kifungo cha miaka 3 jela na kutakiwa kulipa fidia ya Sh. millioni 1 kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi meneja wa baa yake (Cheka) iitwayo Vijana Social iliyopo Morogoro Mjini.Akimsomea mashitaka, Hakimu wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Said Msuya alisema Cheka alikutwa na hatia ya kumpiga aliyekuwa meneja wa baa yake aitwaye Bahati Kabanda 'Masika'.
Alisema kuwa Cheka alitenda kosa hilo Julai 2, mwaka jana ambapo meneja huyo...
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Kamwaga akimbia ofisi za Simba
9 years ago
Mtanzania04 Nov
Mkandarasi akimbia ujenzi wa mtaro
TUNU NASSOR NA ALLEN MSAPI, DAR ES SALAAM
MKANDARASI aliyepewa zabuni ya ujenzi wa mtaro wa maji uliosababisha mafuriko katika eneo la Buguruni kwa Mnyamani Machi, mwaka huu, ameutelekeza.
Mtaro huo ambao ulisababisha watu kuishi katika mazingira magumu, baada ya kuziba na maji kuingia kwenye makazi yao, ulimfanya Rais Jakaya Kikwete kufika eneo hilo na kutaka baadhi ya nyumba zivunjwe.
Akizungumza na MTANZANIA, Msemaji wa Manispaa ya Ilala, Tabu Shaibu, alisema mkandarasi huyo ambaye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7466U3ZMMqUI7x5pPBeSqxIAOnmCFzTGVXWuxZ8Ngor5mJDH9AgTrP2nlaLGCLfbK98DUKYMuFfBODJOKF6VgnGCodLXLyUT/Sandra.jpg)
SANDRA AKIMBIA UKATA BONGO MUVI!
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Mwandishi akimbia makazi kwa hofu
MWANDISHI wa habari za Haki za Binadamu na Jarida la Kiingereza la ‘Africa Tomorrow’, Christopher Kidanka, amelazimika kukimbia makazi na familia yake baada ya kuwepo watu wanaotishia maisha yake. Hali...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOTW6a5PmQTcU1ydoGE5DQNRUm3XUv92mVJqp-ROminobGl6B09ZYFrC99igbHGtIIUiei4iK0gtY5hSA-Wf3bmiZLQjnZF0/mhhalivyorembwa.jpg?width=650)
KISA VICOBA, MKE AKIMBIA NDOA!
10 years ago
Habarileo06 Sep
Mtoto akimbia kwao viboko, mijeledi
MTOTO mmoja mkazi wa wilayani Bunda mkoani Mara, amelazimika kukimbia kwao na kwenda kwenye nyumba ya mtu mwingine katika mtaa mwingine, kukwepa viboko.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKb27P3JwiGP58buB3cEiQ6bzMgnDvys0ULhmdX1C5ts3JFnEdP*95Nouzv3wBOnFI0gBgg7XOuJHVUQ8xpbj7GdrbJm7Fxy/Kipigo.gif?width=650)
NJEMBA ALA KIPIGO, MKE AKIMBIA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*We1IdhsTbmBR9T2FSJSQWLNPMOtNsKYb2SFXRUU3EzTNsVfJihOXQfGbYhMocTRWH44PbkyO*AorJxus5GQ42T/moro.jpg?width=650)
AFUMWA NA MCHUMBA'KE, AKIMBIA, AGONGWA, AFA