Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto akimbia kwao viboko, mijeledi

MTOTO mmoja mkazi wa wilayani Bunda mkoani Mara, amelazimika kukimbia kwao na kwenda kwenye nyumba ya mtu mwingine katika mtaa mwingine, kukwepa viboko.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MTOTO HAPPY LIMWAMWA (9-10) AKIMBIA KIPIGO ALIPOKUWA AKIFANYA KAZI ZA NDANI NJOMBE

  Happy  Limwamwa (9-10) Pichani.   Happy  Limwamwa 9-10 (kushoto) akizungumza kwa uchungu  kwa Msaidizi wa Kisheria Geophrey Kaduma, (wapili kulia) kwa manyanyaso aliyokuwa akiyapata toka kwa mama aliyekuwa amemtowa kwao Wilaya ya  Mbinga Mkoa wa Ruvuma, kwa malengo ya kufanya kazi za ndani, ndipo alipokutana na kichapo toka kwa mama huyo na mume wake na kumfanya akimbiye na kuishi mitaani.
Happy ambaye  ameokotwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bryceson Mgaya wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto awa mfungwa nyumbani kwao

Mtoto mdogo wa miaka mitano afungiwa chumba cha chini nyumbani kwao,aachwa afe njaa

 

10 years ago

Mwananchi

Migiro, mtoto wa chifu asiyetambulika kwao

Asha - Rose Shaban Mtengeti Migiro ni miongoni mwa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliochukua fomu kwa ajili ya kuomba kuteuliwa na chama hicho tawala kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

SHILOLE KIUNO AJIPA JUKUMU LA KUMLEA MTOTO MDOGO ALIYEKIMBIA KWAO KUOLEWA!




Muimbaji wa ‘Namchukua’ Shilole, ameamua kumchukua binti aitwaye Pendo baada ya kutoroka nyumbani kwao Morogoro akikimbia kuozeshwa kwa lazima. Shilole ameposti picha Instagram na kuandika:Jaman kwa wale mbao leo mmeskiza leo tena ya clouds fm na @dahuucloudsfm milipata kuskia story ya huyo bint hapo kwenye picha! Kuwa ametoroka kwao tanga kuja dar kwA sababu ya kulazimishwa kuolewa akiwa na umri mdogo kiukweli niliposkia hivyo ikaniuma sana nikiwa kama mwanamke kama pia nikaona bora...

 

9 years ago

Vijimambo

MDAU WA VIJIMAMBO AKIWA KIJIJI KWAO MKATAA KWAO MTUMWA

 Ustadh Maftah  wa New York akiwa Kilwa aliturushia hii kuonyesha kuwa mkataa kwao ni mtubwa hapa Ustadh Mafutah akiwa na shangazi yake Zureha bint Maftah wakielekea kisiwani kutoka Kilwa masoko Lindi.
 Hii ni ramani ya kisiwani, kisiwa hiki ni maarufu sana katika karne ya 9 kilikuwa kina milikiwa na sultan Ali bin Al-Hasan hapa ndipo palikuwa makazi yake katika karne hiyo ya 9 hadi karne ya 15.  Alijenga Msikiti mkubwa sana na alifanya kituo kikubwa cha kubairishia watumwa na kuwasafirisha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mijeledi 91 kwa kucheza densi Iran

Watu 6 waliokamatwa kwa kucheza wimbo wa 'Happy' wamehukumiwa kifongo jela na adhabu ya kuchapwa mijeledi 91.

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE AHUKUMIWA KIFO, KUCHAPWA MIJELEDI 100 KWA KUBADILI DINI SUDAN

MAHAKAMA nchini Sudan imemhukumu kifo mwanamke mmoja anayedaiwa kubadili dini yake na kuolewa na mwanamume mkristo. Daktari Mariam Yahya Ibrahim Ishag, ambaye babake ni muislamu alishitakiwa kwa kosa la kuasi dini pamoja na kufanya zinaa kwa kuolewa na mwanamume mkristo, kitu ambacho dini ya kiisilamu imeharamisha kwa wanawake. Mariam mwenye umri wa miaka 27 ambaye ni mjamzito pia atapata adhabu ya mijeledi 100 kwa kosa la zinaa....

 

11 years ago

GPL

CHEKA AKIMBIA SHULE

Bondia Francis Cheka akitoka shule. BONDIA Francis Cheka anadaiwa kukacha masomo katika Shule ya St. Joseph mjini Morogoro alipokuwa anasomeshwa kwa madai ya ugumu wa maisha. Cheka alikuwa anasoma kidato cha kwanza katika shule hiyo ikiwa ni ofa baada ya kumtwanga Mmarekani Phill Williams. Mmoja wa walimu wa shule hiyo, James Mkisi amedai Cheka alihudhuria masomo shuleni hapo mara mbili tu! Cheka amesema kuwa majukumu ya familia...

 

9 years ago

Mtanzania

Mkandarasi akimbia ujenzi wa mtaro

SAM_3627TUNU NASSOR NA ALLEN MSAPI, DAR ES SALAAM

MKANDARASI aliyepewa zabuni ya ujenzi wa mtaro wa maji uliosababisha mafuriko katika eneo la Buguruni kwa Mnyamani Machi, mwaka huu, ameutelekeza.

Mtaro huo ambao ulisababisha watu kuishi katika mazingira magumu, baada ya kuziba na maji kuingia kwenye makazi yao, ulimfanya Rais Jakaya Kikwete kufika eneo hilo na kutaka baadhi ya nyumba zivunjwe.

Akizungumza na MTANZANIA, Msemaji wa Manispaa ya Ilala, Tabu Shaibu, alisema mkandarasi huyo ambaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani