SANDRA AKIMBIA UKATA BONGO MUVI!
![](http://api.ning.com:80/files/7466U3ZMMqUI7x5pPBeSqxIAOnmCFzTGVXWuxZ8Ngor5mJDH9AgTrP2nlaLGCLfbK98DUKYMuFfBODJOKF6VgnGCodLXLyUT/Sandra.jpg)
Brighton Masalu MUIGIZAJI aliyekuza jina kupitia Filamu ya Misukosuko, Salama Salimin ‘Sandra’ amesema sababu iliyomfanya kukaa kimya kwenye uigizaji ni malipo na kipato kidogo hivyo kuamua kutafuta riziki kwa njia nyingine (hakuzitaja). ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1HWVAxk
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoORUJX1ZpgX4NZf5gUDOpccLu-yDH50r85OFQY7Bmay-RNhZoEzN9HFMuR7Z5l*k5-hswzv3R59Ngoy-gjDgVtGV/sandra.jpg?width=650)
SANDRA NA RUSHWA YA NGONO BONGO MOVIE
Stori: Mayasa Mariwata
STAA wa filamu Bongo, Salma Salmini ‘Sandra’ amesema kuwa tangu ajiunge Bongo Movie hakuna manufaa aliyoyapata kwa kuwa chama hicho kinaendekeza ubaguzi kwa kuthamini rushwa ya ngono. Salma Salmini ‘Sandra’. Akipiga stori na paparazi wetu alisema, kikubwa kinachoikwamisha tasnia hiyo ambayo kwa sasa inaongozwa na Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ ni watu kusaidiana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdZPPPBByfAT22W5O61F41zCtmYcl23SzY34F8ewWPA8aW96LBPBXlxPhQAWpdBJkf7qMgQaa1cWKwL2Izl*SYYg/kisomo.jpg)
BONGO MUVI WACHAFUKA!
Na: Gladness Mallya na Imelda Mtema
JAMBO limezua jambo! Baada ya hivi karibuni wasanii wa Bongo Muvi (Movie) kufanya dua kwa ajili ya wenzao waliofariki dunia, baadhi ya ndugu wa marehemu wamecharuka na kudai kuwa waandaaji wa kisomo hicho walifanya kwa manufaa yao binafsi. Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ . Kwa mujibu wa chanzo makini, baadhi ya ndugu wa marehemu wanalalamika kuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9pVNH1qXqqxMr-0sxX9bL0jwABAZzFUcPAQ0V8nUIA84wV5TdbJog1BjXbSxib7NNq0rND*D2K9kuAo1dATKx0iGLAcOjLyi/1...jpg?width=650)
BONGO MUVI KIMENUKA
Na Hamida Hassan
BONGO Muvi kimenuka! Viongozi wapya wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ (mwenyekiti) na William Mtitu (katibu), wametofautiana kauli na kuanza kurushiana maneno mazito wakitaka kukunjana mbele ya wajumbe wa klabu hiyo. Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Chanzo makini kilitonya kuwa, kilichosababisha kuibuka kwa ugomvi huo ni baada ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04auDoHJ1iotM8JfcH5HZrDoTiacfID8M4e5jjUNpZEEqisceksU6hVBOaMtY5NYn-fNWIhDyXkcQbAEscG1yv6w4/bmuvi.jpg?width=650)
BONGO MUVI KWAWAKA MOTO
Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan PENYE wengi pana mengi! Lile kundi la mastaa waigizaji wa Kibongo, Bongo Movie Unity, linadaiwa kuparanganyika baada ya kuwaka moto kufuatia mwenyekiti wao, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ kudaiwa kuwa na upendeleo kwa baadhi ya wanachama wa jinsia ya kike. Mmoja wa waasisi wa Bongo Muvi Jimmy mafufu (kushoto), Mtitu na baadhi ya wadau wa Bongo Muvi pichani. Habari za uhakika...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxgTrYw8IclDhcLMgoatMPY3lU5gTVjZaQGXCDkD896fkZUZgeSqXfejiYcdZjEpnuObbJLiQUw1--GLO15RZzkP9Z-8d9-e/mtandao.jpg?width=650)
MTANDAO WA NGONO BONGO MUVI
Na Waandishi Wetu
NDANI ya klabu ya mastaa wa sinema za Kibongo, Bongo Movie Unity (au Bongo Muvi), kumetibuka upya baada ya mwenyekiti na kiongozi mpya wa kundi hilo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ kuanika makubwa na mazito juu ya uchafu, ufuska na mtandao nzima wa ‘kushea’ wapenzi miongoni mwao, aya zinazofuata zitakupa mwanga. Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ Akiwa amezungukwa na jopo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hdD5k88wRisJV1K8qu0letWRxlssZIakgnya5ta*9ta49eQzb78PamXAfqkWj1nUzj8K1f53YVd9iEN0GC3*xNC/StevenKanumba.jpg?width=650)
WAMEONDOKA NA BONGO MUVI YAO!
Marehemu Steven Charles Kanumba enzi za uahi wake. Kwenye familia yangu mama alipotangulia mbele ya haki, familia ilikuwa juu mno kwa kila kitu lakini ghafla iliyumba vibaya hivyo tukapata kazi ya kuisimamisha upya, jambo ambalo limekuwa gumu kufikia pale tulipokuwa awali. Ishu hapa ni mchango wa mtu katika eneo lake. Anapoondoka ni lazima ‘gepu’ lake huonekana na kuliziba inahitaji nguvu kubwa na ya ziada. Kanumba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYqwsbZOC0lv5wwEkdbgnLL*QVVtcHFQfEIhZRYQJGFEV2bQVY5O1zXBtWP7p-P8NrKnVoewDvkty074dIxR2owp/mastAA.jpg?width=650)
MASTAA WAJIENGUA BONGO MUVI
Stori: Hamida Hassan na Imelda Mtema
HALI bado tete! Siku chache baada ya Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ kujiuzulu, upepo mbaya unaendelea kuitafuna klabu hiyo ambapo sasa wasanii wengine watano wamejiengua, Risasi Mchanganyiko linakupa mchapo kamili. Msanii wa filamu Bongo, Halima Yahya ‘Davina’. Kutokana na wasanii hao kujitoa, klabu hiyo inaonekana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*VIktgDvv6rVrpnFDeACDyql1nbekbRTlYbL4GANU4K1eJCI*vCV6xtpKZz03Q*6j-hiorJJDlq1mbBprImkh1G/steve8.jpg)
MISS BONGO MUVI KUSAKWA
Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steve Nyerere. Stori: Hamida Hassan
MWENYEKITI wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Nyerere’ amesema watafanya shindano la kumsaka mlimbwende wa kundi lao, siku ya sherehe ya kuadhimisha miaka mitatu ya klabu hiyo ambayo itafanyika Machi 28, mwaka huu. Akizungumza na Stori Mix, Nyerere alisema, wana imani ndani ya kundi lao kuna walimbwende wengi hivyo wametoa nafasi ya kuwashindanisha...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i*tFWQTF2R8dKhK8VotocUDh45icBSjElp7osgaji9PtiynZ9fMHizcFGbFn73lgMwlKqrRq-fotFieE45FlhUeI8m3aFCEE/RISASI.jpg?width=650)
BONGO MUVI KUNA MASHOGA!
IMEBAINIKA kuwa ndani ya tasnia ya filamu Bongo kuna baadhi ya wasanii wanaofanya mapenzi ya jinsia moja yaani mashoga, Risasi Mchanganyiko limenyetishwa. Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Hilo limeibuka ikiwa ni siku chache baada ya Rais wa Uganda, Yoweri Museven, kupitisha sheria nchini mwake ya kupiga marufuku mavazi yasiyo na staha, uvunjifu wa maadili na mapenzi ya jinsia moja.
...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania