Mwandishi akimbia makazi kwa hofu
MWANDISHI wa habari za Haki za Binadamu na Jarida la Kiingereza la ‘Africa Tomorrow’, Christopher Kidanka, amelazimika kukimbia makazi na familia yake baada ya kuwepo watu wanaotishia maisha yake. Hali...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Mke auawa kwa mapanga, mume akimbia
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
George Floyd: Mwandishi aelezea kwa nini ilikuwa vigumu kwa yeye kutazama video ya mauaji.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FIaywUYlZAU/VfmluBizCqI/AAAAAAAH5Yc/pTVN97u__oQ/s72-c/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
Taarifa kwa Umma kutoka kwa Angellah Kairuki, Naibu Waziri wa Ardhi, nyumba na Maendeleo ya Makazi
![](http://1.bp.blogspot.com/-FIaywUYlZAU/VfmluBizCqI/AAAAAAAH5Yc/pTVN97u__oQ/s400/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
Tarehe 14 Septemba 2015 ulisambazwa ujumbe kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ukidai kuonyesha mawasiliano ya Makada wa Chama cha Mapinduzi nikiwamo mimi (Angellah Kairuki), Nd. January Makamba, Nd.Mwigu Nchemba na Nd.Livingstone Lusinde. Wakati ujumbe huo umeanza kusambazwa nilikuwa kwenye mikutano ya Kampeni ya Mgombea Mwenza wa CCM Mhe.Samia Suluhu Hassan Wilayani Nachingwea na Liwale hivyo kupelekea kuchelewa kutoa taarifa yangu hii.
Napenda kuufahamisha umma...
5 years ago
BBCSwahili05 Mar
Makazi duni Nigeria: Makazi duni Lagos yako juu ya maji
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Tuboreshe makazi kwa vitendo
MAADHIMISHO ya siku ya makazi duniani yamefanyika jana duniani kote na kubeba kauli mbiu ya sauti kutoka makazi duni. Maadhimisho hayo yanatukumbusha kutumia fursa zitokanazo na ukuaji wa miji kwa...
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Mwandishi Ukraine auawa kwa risasi
9 years ago
Mwananchi30 Sep
CCM yamtimua mwandishi wa Mwananchi kwa Magufuli
9 years ago
Raia Tanzania21 Aug
Bheki Makhubu: Mwandishi anayesifika kwa ujasiri Swaziland
JUNI 30, mwaka huu Mahakama Kuu ya Swaziland ilimwachia huru mwandishi wa habari, Bheki Makhubu aliyekuwa anatumikia kifungo gerezani baada ya upande wa mashitaka kuamua kutokupinga uamuzi wake wa kukata rufani dhidi ya kifungo chake.
Makhubu, ambaye ni mhariri wa jarida la kila wiki la The Nation, alikamatwa na kufunguliwa mashitaka ya kuidharau mahakama na kuukashifu mfumo mzima wa mahakama nchini humo.
Mashitaka dhidi ya mwandishi wa habari huyo yalihusiana na makala aliyokuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FqkiRUfegCgYt3WP*Y1Fieh26zlBa4HOBMpflr0BUr4d8EhKk35JIH08*WhPYJ5IgG6Il5v3SQFXa9muF4NSSVTfR7KpIELu/CHEKA.jpg)
CHEKA AKIMBIA SHULE