Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwandishi akimbia makazi kwa hofu

MWANDISHI wa habari  za Haki za Binadamu na Jarida la Kiingereza la ‘Africa Tomorrow’, Christopher Kidanka, amelazimika kukimbia makazi na familia yake baada ya kuwepo  watu wanaotishia maisha yake. Hali...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mke auawa kwa mapanga, mume akimbia

Mwanamke kazi wa Kijiji cha Mgunga, wilayani Igunga, Gama Jilala ameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana.

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Mwandishi aelezea kwa nini ilikuwa vigumu kwa yeye kutazama video ya mauaji.

Wamarekani weusi nchini Marekani wameeleza namna ilivyo vigumu kutazama picha ya video ya mauaji ya Floyd.

 

9 years ago

Michuzi

Taarifa kwa Umma kutoka kwa Angellah Kairuki, Naibu Waziri wa Ardhi, nyumba na Maendeleo ya Makazi

Angellah Jasmine Kairuki
Tarehe 14 Septemba 2015 ulisambazwa ujumbe kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii ukidai kuonyesha mawasiliano ya Makada wa Chama cha Mapinduzi nikiwamo mimi (Angellah Kairuki), Nd. January Makamba, Nd.Mwigu Nchemba na Nd.Livingstone Lusinde.  Wakati ujumbe huo umeanza kusambazwa nilikuwa kwenye mikutano ya Kampeni ya Mgombea Mwenza wa CCM Mhe.Samia Suluhu Hassan Wilayani Nachingwea na Liwale hivyo kupelekea kuchelewa kutoa taarifa yangu hii.
Napenda kuufahamisha umma...

 

5 years ago

BBCSwahili

Makazi duni Nigeria: Makazi duni Lagos yako juu ya maji

Mamilioni ya raia wa Nigeria wanaishi katika maisha duni kupita kiasi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tuboreshe makazi kwa vitendo

MAADHIMISHO ya siku ya makazi duniani yamefanyika jana duniani kote na kubeba kauli mbiu ya sauti kutoka makazi duni. Maadhimisho hayo yanatukumbusha kutumia fursa zitokanazo na ukuaji wa miji kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwandishi Ukraine auawa kwa risasi

Mwandishi mmoja maarufu nchini Ukraine ameuawa na watu wasiojulikana kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kuiunga mkono Urusi

 

9 years ago

Mwananchi

CCM yamtimua mwandishi wa Mwananchi kwa Magufuli

Mwandishi wa gazeti la Mwananchi, Peter Elias ameondolewa kwenye kikosi cha waandishi wa habari wanaoandika habari za kampeni za uchaguzi za mgombea wa CCM, Dk John Magufuli kwa madai kuwa aliandika habari isiyostahili.

 

9 years ago

Raia Tanzania

Bheki Makhubu: Mwandishi anayesifika kwa ujasiri Swaziland

JUNI 30, mwaka huu Mahakama Kuu ya Swaziland  ilimwachia huru mwandishi wa habari, Bheki Makhubu aliyekuwa anatumikia kifungo gerezani baada ya upande wa mashitaka kuamua kutokupinga uamuzi wake wa kukata rufani dhidi ya kifungo chake.

Makhubu, ambaye ni mhariri wa jarida la kila wiki la The Nation, alikamatwa na kufunguliwa mashitaka ya kuidharau mahakama na kuukashifu mfumo mzima wa mahakama nchini humo.

Mashitaka dhidi ya mwandishi wa habari huyo yalihusiana na makala aliyokuwa...

 

11 years ago

GPL

CHEKA AKIMBIA SHULE

Bondia Francis Cheka akitoka shule. BONDIA Francis Cheka anadaiwa kukacha masomo katika Shule ya St. Joseph mjini Morogoro alipokuwa anasomeshwa kwa madai ya ugumu wa maisha. Cheka alikuwa anasoma kidato cha kwanza katika shule hiyo ikiwa ni ofa baada ya kumtwanga Mmarekani Phill Williams. Mmoja wa walimu wa shule hiyo, James Mkisi amedai Cheka alihudhuria masomo shuleni hapo mara mbili tu! Cheka amesema kuwa majukumu ya familia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani