Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bheki Makhubu: Mwandishi anayesifika kwa ujasiri Swaziland

JUNI 30, mwaka huu Mahakama Kuu ya Swaziland  ilimwachia huru mwandishi wa habari, Bheki Makhubu aliyekuwa anatumikia kifungo gerezani baada ya upande wa mashitaka kuamua kutokupinga uamuzi wake wa kukata rufani dhidi ya kifungo chake.

Makhubu, ambaye ni mhariri wa jarida la kila wiki la The Nation, alikamatwa na kufunguliwa mashitaka ya kuidharau mahakama na kuukashifu mfumo mzima wa mahakama nchini humo.

Mashitaka dhidi ya mwandishi wa habari huyo yalihusiana na makala aliyokuwa...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sri Mulyani: Mkurugenzi wa Benki ya Dunia anayesifika kwa kupinga rushwa

Alipoteuliwa kwa mara ya kwanza kuwa Waziri wa Fedha wa Indonesia mwaka 2005, mwanamama Sri Mulyani Indrawati alikuwa na ujumbe mmoja tu kwa wafanyakazi wake.

 

10 years ago

Dewji Blog

Ujasiri ulivyotengeneza maisha ya ushindi kwa mama wa nyumbani

sere5

Meneja Mauzo  wa Serengeti Breweries Ltd  Mkoa  wa Morogoro Bw.Moses Bartazary (mwenye kofia) akikabidhi Funguo ya Bajaj Limo yenye uwezo wa kubeba abiria saba kwa  mshindi  wa kwanza wa shindano  la Tutoke  na  Serengeti  Bi Rukia Almas ambaye ni mkazi wa Kihonda na mfanyakazi  katika Bar ya  Kambarage iliyopo manispaa  ya  Morogoro.

Kwa miaka kadhaa, Rukia Almasi, mkazi wa Morogoro amekuwa akizongwa na uvumi kwamba kushiriki promosheni za bahati nasibu ni kupoteza muda, na kwamba ushindi...

 

10 years ago

Mwananchi

Stars vitani kusaka heshima kwa Swaziland leo

Taifa Stars inashuka uwanjani leo kuikabili Swaziland katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki utakaofanyika kwenye Uwanja wa Samhololo, Mbabane nchini humo.

 

10 years ago

Michuzi

POLISI WAJIFUA TAYARI KWA MICHUANO YA MAJESHI NCHINI SWAZILAND

Baadhi ya Wanamichezo wa Polisi walioshiriki Michezo ya Wakuu wa Majeshi ya Polisi kusini mwa Afrika mwaka 2013 nchini Namibia. 
Picha na Maktaba ya Polisi.

Na Frank Geofray wa Jeshi la Polisi.Timu za Jeshi la Polisi Tanzania zitakazoshiriki michezo ya Umoja wa Wakuu wa Majeshi ya Polisi kwa nchi za kusini mwa Afrika (SARPCCO),  mwishoni mwa mwezi julai nchini Swaziland zinaendelea kujifua vyema katika  kambi yao inayoendelea katika chuo cha Taaluma ya  Polisi Dar es Salaam (DPA). Akizungumza...

 

10 years ago

Michuzi

Taifa Stars yaendelea kujifua tayari kwa kuwakabili Swaziland

Kocha mkuu wa Timu ya Taifa (Taifa Stars), Mart Nooij akiendelea kuwafua vijana wake ikiwa ni muendelezo wa mazoezi katika uwanja wa Royal Bafokeng kujiandaa na mchezo wa fungua dimba dhidi ya timu ya Taifa ya Swaziland, utakaopigwa jioni ya leo Mei 18,2015.Wachezaji wa timu ya Taifa (Taifa Stars) wakiendelea kujifua katika uwanja wa Royal Bafokeng kujiandaa na mchezo wa fungua dimba dhidi ya timu ya Taifa ya Swaziland, utakaopigwa jioni ya leo Mei 18,2015.

 

9 years ago

Bongo5

Morali ya biashara na ujasiri wa kufanya miradi mipya kwa wasanii wetu ifufuliwe!

50 Cent amesaini mkataba mpya wa miaka miwili na kituo cha runinga cha Starz kubuni miradi mipya na wakati huo huo akiendelea kuwa producer wa tamthilia ya Power. Jay Z anasherehekea mtandao wake wa kusikiliza muziki, Tidal kufikisha watumiaji milioni moja na mwezi huu atapiga show kali jijini New York ambayo mapato yake yataenda kwenye […]

 

10 years ago

TheCitizen

Makhubu is a big media hero meriting praise deserving prais

 Many times we have to write letters of good wishes and congratulation on various occasions. Sometimes we write issues that touch the soft heart of recipient.

 

11 years ago

Michuzi

MALKIA NOMSA MATSEBULA WA SWAZILAND AZURU TANZANIA KWA MWALIKO WA MKE WA RAIS MAMA SALMA KIKWETE.

 Malkia wa Swaziland Mheshimwa Nomsa Matsebula akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Ndugu Nurdin Babu mara baada ya helikopta iliyomchukua kutua kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari ya Nyamisati huko wilayani Rufiji ambako alikwenda kutembelea Shule ya Wamanakayama inayomilikiwa na Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA. Tarehe 2.7.2014. Kulia ni Mke wa Rais na Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete.
 Mke wa Mfalme Mswati III wa Swaziland Malkia Nomsa Matsebula akisalimiana na Mwenyekiti wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Mwandishi aelezea kwa nini ilikuwa vigumu kwa yeye kutazama video ya mauaji.

Wamarekani weusi nchini Marekani wameeleza namna ilivyo vigumu kutazama picha ya video ya mauaji ya Floyd.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani