Dk. Shein aendelea na Ziara Nchini India
![](http://4.bp.blogspot.com/-vPnd6LGGlJU/Uu6C6UMdB3I/AAAAAAAFKYc/0wJ3iPe7jwQ/s72-c/TA1A1657.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) na akipata maelezo kutoka kwa Bunker Roy(katikati) Mwanzilishi wa Chuo kinachofundisha mambo ya ufundi wa aina mbali mbali ikiwemo vifaa vya umeme wa jua katika kijiji cha Tilonia Wilaya ya Ajmer Jimbo la Rajistan Nchni India akiwa katika ziara rasmi na ujumbe wake katika kukuza uhusiani na mashirikiano ya Kijamii.
Wanafunzi wa kike kutoka nchi mbali mbali wakiwa na mashine ya Umeme unaotumia Jua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi01 Feb
Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Aelekea Nchini India kwa ziara Rasmi
![](https://4.bp.blogspot.com/-S4bg56bMk2A/Uuuyf8iAWzI/AAAAAAACn30/A-l6WUwblxg/s1600/TA1A1303.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-8ZWFyWTGBz4/UuuygTKuiqI/AAAAAAACn34/n1uX0Wfu698/s1600/TA1A1310.jpg)
11 years ago
Habarileo02 Feb
Dk Shein aanza ziara India
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein amewasili nchini India kuanza ziara ya kikazi ya siku tisa. Ziara hiyo ina lengo la kukuza uhusiano kati ya Tanzania na India pamoja na kuhimiza ushirikiano kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Serikali ya Jamhuri ya India katika maeneo ya kiuchumi, huduma za jamii, biashara na uwekezaji.
10 years ago
MichuziDKT. SHEIN AENDELEA NA ZIARA YA KUIMARISHA CHAMA,AKUTANA NA MABALOZI WILAYA KATI,UNGUJA
10 years ago
Dewji Blog30 Oct
Pinda aendelea na ziara nchini Oman
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya mabalozi wanaowakilisha wa nchi mbalimbali nchini Oman katika dhifa aliyoandaliwa na Naibu Waziri Mkuu wa Oman, Mhe. Sayyid Fahad Al Said (kulia) kwenye hoteli ya Al Bustan mjini Muscut Oktoba 29, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
MichuziDkt. Shein aendelea kukutana na Mabalozi na wenyeviti wa maskani katika mfululizo wa ziara zake za mikutano ya kuimarisha Chama,Zanzibar
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0uOEkMNY1qg/VEQycUfOelI/AAAAAAAGr_s/C_WTufh0gek/s72-c/IMG_20141019_112051.jpg)
Spika Makinda aendelea na ziara yake nchini Oman
![](http://3.bp.blogspot.com/-0uOEkMNY1qg/VEQycUfOelI/AAAAAAAGr_s/C_WTufh0gek/s1600/IMG_20141019_112051.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BrfqVbhZ0JY/VEQyaJP0aXI/AAAAAAAGr_g/3AJ9CVUr_nQ/s1600/IMG_20141019_110606.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ILZj2Jdhmsg/VJKHJA90CMI/AAAAAAAG4DI/_OX_G2hiSSY/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MAALIM SEIF AENDELEA NA ZIARA YA KIKAZI NCHINI UTURUKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ILZj2Jdhmsg/VJKHJA90CMI/AAAAAAAG4DI/_OX_G2hiSSY/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ILzCl1fsgiA/VJKHJGgZgkI/AAAAAAAG4DQ/yMVIen9SmN4/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cUqOy4tySjg/VJKHJd6lifI/AAAAAAAG4DM/jdwEgGINH1Q/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WyKeEU9Uykg/VJKHKpNaqXI/AAAAAAAG4Dg/VC2EweCtDAQ/s1600/unnamed%2B(55).jpg)