Dk Shein aanza ziara India
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein amewasili nchini India kuanza ziara ya kikazi ya siku tisa. Ziara hiyo ina lengo la kukuza uhusiano kati ya Tanzania na India pamoja na kuhimiza ushirikiano kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Serikali ya Jamhuri ya India katika maeneo ya kiuchumi, huduma za jamii, biashara na uwekezaji.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
Dk. Shein aendelea na Ziara Nchini India


11 years ago
Michuzi01 Feb
Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Aelekea Nchini India kwa ziara Rasmi


10 years ago
Vijimambo
KINANA AANZA ZIARA



10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Kinana aanza rasmi ziara

Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akiteremka kwenye basi kuwasalimia wanachama na wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi wa mkoa wa Morogoro akiwa njiani kuelekea mkoani Kagera.




Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwasalimia wakazi wa mkoa wa Morogoro waliojitokeza kuwasalimu wakati wa safari ya kuelekea Kagera.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi waliojitokeza kwenye kituo cha mabasi mjini Morogoro maarufu kama Msamvu ambapo aliwaambia...
10 years ago
Habarileo12 Oct
Rais wa Namibia aanza ziara
RAIS wa Namibia, Dk Hage Geingob aliwasili nchini jana kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.
10 years ago
Vijimambo
KINANA AANZA ZIARA MKOANI MTWARA



11 years ago
Dewji Blog28 May
Kinana aanza ziara ya Mkoa wa Manyara
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Katesh wilayani Hanang ambapo aliwaambia wananchi wanapaswa kushirikiana na serikali yao katika kuleta maendeleo na kuachana na mambo mengi yanayoendelea kwenye siasa.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Katesh kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika mjini hapo ambapo aliwaambia wananchi CCM imejipanga vizuri sana kiasi cha wananchi wengi kuendelea kuiamini ,alisisitiza nchi nzima ofisi za CCM...