Dk. Shein aongoza kumbukumbu ya Karume
NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk. Ali Mohamed Shein, ameongoza mamia ya wananchi kuadhimisha Siku ya Mashujaa wa Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964.
Maadhimisho hayo yalifanyika katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui, Zanzibar kisha Rais Shein aliwaongoza wananchi kutembelea kaburi la aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Hayati Abeid Karume.
Wakati wa maadhimisho hayo yaliyoanza jana saa moja asubuhi, walikuwapo mabalozi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TVe0FzaeEpA/VSOwAJ8Pg8I/AAAAAAAHPfE/NfEhW-QQ8tg/s72-c/IMG_0185.jpg)
DKT SHEIN AONGOZA KISOMO CHA HITMA YA KUMUOMBEA MZEE ABEID AMAAN KARUME ZANZIBAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q8XUDTlp8wU/XoyFypuRDxI/AAAAAAALmYA/2QAFrzlyKTkMcyR7SZkxRkq-UMgC6N4PwCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC1422AAA-768x413.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AONGOZA DUA YA KUMUOMBEA RAIS WA KWANZA WA ZANZIBAR MAREHEMU MZEE ABEID AMANI KARUME ILIOFANYIKA VIWANJA VYA AFISI KUU YA CCM ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-q8XUDTlp8wU/XoyFypuRDxI/AAAAAAALmYA/2QAFrzlyKTkMcyR7SZkxRkq-UMgC6N4PwCLcBGAsYHQ/s640/DSC1422AAA-768x413.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/DSC1428AAAA-1024x609.jpg)
10 years ago
Vijimambo07 Apr
LEO NI MIAKA 43 YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA KARUME
![](http://i.ytimg.com/vi/0shB_WGlYeU/hqdefault.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lKOVvz2JGTQ/VWNBQ8VHFSI/AAAAAAAHZvg/w1_uujV3aaI/s72-c/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
Dkt. Shein aongoza waombolezaji kwenye mazishi ya dada yake, Marehemu Fatma Shein
![](http://1.bp.blogspot.com/-lKOVvz2JGTQ/VWNBQ8VHFSI/AAAAAAAHZvg/w1_uujV3aaI/s640/unnamed%2B%252878%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Vsf68xAbpJs/VWNBRGHMgdI/AAAAAAAHZvc/LlMG9Xy7nZM/s640/unnamed%2B%252879%2529.jpg)
11 years ago
Mtanzania27 Jul
JK aongoza kumbukumbu ya mashujaa
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
Na Patricia Kimelemeta
RAIS Jakaya Kikwete, jana aliongoza mamia ya wananchi na wageni mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi katika maadhimisho ya siku ya mashujaa nchini, ambapo kitaifa yalifanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.
Maadhimisho hayo yaliyoanza saa tatu kamili asubuhi na kumalizika saa tano, yalipambwa na gwaride rasmi la maombolezo ya mashujaa hao kutoka kwa majeshi ya ulinzi na usalama.
Wakizungumza wakati wa kuomba dua ya...
9 years ago
BBCSwahili28 Aug
Obama aongoza kumbukumbu ya Katrina
9 years ago
Daily News | The National Newspaper (Press Release) (Blog)30 Sep
Karume rallies behind Magufuli, Shein
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
MAMA Fatma Karume, widow to the founding father of Zanzibar has called upon Tanzanians and particularly the electorate on the Islands to vote for Dr John Magufuli and Dr Ali Mohamed Shein because they are best candidates. 0 Comments. Addressing ...
10 years ago
GPLFLAVIANA MATATA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUMBUKUMBU YA WALIOFARIKI MV BUKOBA
10 years ago
Vijimambo22 May
FLAVIANA MATATA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUMBUKUMBU YA WALIOFARIKI MV BUKOBA
Na Johnson James, Mwanza
ALFAJIRI ya Mei 21 mwaka 1996 – siku kama ya leo -- ni tarehe ambayo Tanzania ilipatwa na msiba mzito ambapo zaidi ya watu 600 walifariki baada ya meli ya MV Bukoba iliyokuwa ikifanya safari zake kutoka mjini Bukoba kwenda jijini Mwanza kuzama katika Ziwa Victoria ambalo liko...