Karume rallies behind Magufuli, Shein
Karume rallies behind Magufuli, Shein
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
MAMA Fatma Karume, widow to the founding father of Zanzibar has called upon Tanzanians and particularly the electorate on the Islands to vote for Dr John Magufuli and Dr Ali Mohamed Shein because they are best candidates. 0 Comments. Addressing ...
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania08 Apr
Dk. Shein aongoza kumbukumbu ya Karume
NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk. Ali Mohamed Shein, ameongoza mamia ya wananchi kuadhimisha Siku ya Mashujaa wa Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964.
Maadhimisho hayo yalifanyika katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui, Zanzibar kisha Rais Shein aliwaongoza wananchi kutembelea kaburi la aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Hayati Abeid Karume.
Wakati wa maadhimisho hayo yaliyoanza jana saa moja asubuhi, walikuwapo mabalozi...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/ezyWruIUElo/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HXxm-06u9m0/VSbGvt2vFNI/AAAAAAAHP7M/ySc9fLOXTJ8/s72-c/IMG_0079.jpg)
DKT. SHEIN AFANYA ZIARA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA ABEID AMANI KARUME, ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-HXxm-06u9m0/VSbGvt2vFNI/AAAAAAAHP7M/ySc9fLOXTJ8/s1600/IMG_0079.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lscueZO_-Tk/VSbG8gH_bmI/AAAAAAAHP7s/ROCF1xo3uCU/s1600/IMG_0194.jpg)
9 years ago
MichuziMAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA KUMUOMBEA KURA DK SHEIN NA DK MAGUFULI
9 years ago
GPLMAMA MWANAMWEMA SHEIN AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT WILAYA YA MJINI UNGUJA KUMUOMBEA KURA DK SHEIN NA DK MAGUFULI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TVe0FzaeEpA/VSOwAJ8Pg8I/AAAAAAAHPfE/NfEhW-QQ8tg/s72-c/IMG_0185.jpg)
DKT SHEIN AONGOZA KISOMO CHA HITMA YA KUMUOMBEA MZEE ABEID AMAAN KARUME ZANZIBAR
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9040ejmJuF4/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9040ejmJuF4/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C0p1uBUQa2Q/XowRoqRH2SI/AAAAAAALmUw/d5suSC8vw88z5NglDNMOG74AhDcUCAQuACLcBGAsYHQ/s72-c/9edacecc-d70c-45eb-98aa-f6e2513480ef.jpg)
KARUME DAY KUMBUKIZI YA MIAKA 48 YA KIFO CHA SHEIKH ABEID AMANI KARUME.
![](https://1.bp.blogspot.com/-C0p1uBUQa2Q/XowRoqRH2SI/AAAAAAALmUw/d5suSC8vw88z5NglDNMOG74AhDcUCAQuACLcBGAsYHQ/s640/9edacecc-d70c-45eb-98aa-f6e2513480ef.jpg)
By MZEE WA ATIKALI ✍️✍️✍️
1. USULI:
Jumanne ya leo, tarehe 7.4.2020, imetimia miaka 48 toka aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar, ndugu SHEIKH ABEID AMANI KARUME, alipouawa kwa kumiminiwa risasi nane na Luteni HOMOUD MOHAMMED BARWAN katika Afisi Kuu ya Afro Shiraz Party, Kisiwandui, Zanzibar.
Kwa mujibu wa "The Public Holidays Act, Cap. 35 (RE 2002)", sikukuu za kitaifa nchini ziko 17 na mojawapo ya sikukuu hizo ni "KARUME DAY". Hivyo, leo ni siku ya mapumziko.
Je, Mwanamapinduzi huyu...