DKT. BILAL AMTUNUKU SHAHADA YA UZAMIVU, RAIS KIKWETE
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mkuu wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimtunuku shahada ya heshima ya Uzamivu (PhD) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Profesa Jakaya Mrisho Kikwete, kwa kutambua mchango wake katika Jamii, kitaifa na kimataifa pamoja na kufanikisha kuanzishwa kwa Taasisi hiyo. Dkt Jakaya alitunukiwa Shahada hiyo wakati wa Mahafali ya pili ya Taasisi hiyo yaliyofanyika leo Jijini...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, ATUNUKU VYETI NA SHAHADA WAHITIMU ESAMI LEO
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
Makamu wa Rais Dkt. Bilal amwakilisha Rais Jakaya Kikwete, azindua HALOTEL TANZANIA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (katikati) akizungumza jambo na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, wakati walipokuwa kwenye Hafla ya uzinduzi wa Mtandao mpya wa simu za Halotel Tanzania, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, jana usiku Okt 15, 2015. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9lZvB0jN1jc/XlFNROCmfNI/AAAAAAACBek/lZ2IzxIYHhEbazR2FR8njROqg-mPk6riwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200222-WA0064.jpg)
MJUMBE WA YANGA APATA SHAHADA YA UZAMIVU (PHD) YA HESHIMA
Mjumbe wa Kudumu wa Klabu ya Yanga Thobias Lingalangala ametunukiwa shahada ya uzamivu (PHD) na shirika la lead Impact la nchini Marekani.
Lingalangala amepatiwa shahada hiyo baada ya kujitoa na kuwasaidia jamii katika masuala mbalimbali ikiwemo kujenga mradi mkubwa wa maji unaohudumia wakazi wa Njombe.
Akizungumza baada ya kutunukiwa Shahada hiyo, Lingalangala amesema kuwa hakujua kama anaweza akapata shahada kutokana na kazi mbalimbali za kijamii...
10 years ago
Dewji Blog10 Jun
Dkt. Bilal amuwakilisha Rais Kikwete katika mkutano wa Utengamano wa Biashara kwa kanda za utatu za Afrika
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza katika Mkutano mkuu wa tatu wa Mkutano Mkuu wa tatu wa Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Soko la pamoja la nchi za Kusini mwa Afrika (COMESA) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), uliofanyika leo Juni 10, 2015 kwenye ukumbi wa Kimataifa wa mikutano wa Jolie Vile, Sharma El Sheikh. Agenda ya mkutano huo ni kupokea taarifa ya majadiliano ya kuanzisha eneo huru la Biashara la Utatu...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-cxEkuhwJ4C4/VEderkB5bYI/AAAAAAADKW8/6EXKRcBCrS0/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA RAIS WA MMI BINGWA WA MASUALA YA UTAWALA NA UONGOZI KUTOKA BAHAMAS, DKT. MYLES MUNROE
![](http://4.bp.blogspot.com/-cxEkuhwJ4C4/VEderkB5bYI/AAAAAAADKW8/6EXKRcBCrS0/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--d6XXkK-utU/VEderpfQFgI/AAAAAAADKW0/PFdjSNlhjE8/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7bpDet-NTD4/VY7v2fWvRjI/AAAAAAAHkoo/SLreoS5klxE/s72-c/3.jpg)
RAIS KIKWETE, MAKAMU WAKE DKT. BILAL WAWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MBUNGE WA GEITA, VIWANJA VYA KARIMJEE, DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-7bpDet-NTD4/VY7v2fWvRjI/AAAAAAAHkoo/SLreoS5klxE/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-O1h36ZZoqjY/VY7vz4M4MyI/AAAAAAAHkoY/ViNgXqGOyF8/s640/1.jpg)
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE AMTUNUKU KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI, MBARAK ABDULWAKIL NISHANI YA UTUMISHI MREFU NA MAADILI MEMA DARAJA LA (I)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wALBu4r8csU/VY5r6oigCrI/AAAAAAACeeg/1p-aYOJdkHM/s72-c/05.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE NA MAKAMU WAKE DKT. BILAL WAWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MBUNGE WA GEITA, VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-wALBu4r8csU/VY5r6oigCrI/AAAAAAACeeg/1p-aYOJdkHM/s640/05.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-C-AeUtly-s0/VY5ry9v8IvI/AAAAAAACeds/swLjd4PRln0/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PH2avRW1yxk/VY5rzKm6yhI/AAAAAAACedo/IEYeTOpvR10/s640/1.jpg)