Dkt. Chaula aipongeza TCRA kwa mafanikio udhibiti wa mawasiliano nchini

Katibu Mkuu wa Ujenzi ,Uchukuzi na Mawasiliano Sekta ya Mawasiliano Dkt.Zainabu Chaula akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa ajili ya kujifunza masuala mbalimbali katika mamlaka hiyo.
Katibu Mkuu wa Mawasiliano Dkt.Zainabu Chaula akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA Mhandisi James Kilaba kuhusiana na mtambo wa kuangalia masafa wakati alipotembea Mamlaka hiyo jijini Dar es Salaam.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
DKT ZAINAB CHAULA, KATIBU MKUU MPYA AWASILI WIZARANI MAWASILIANO
❖ Serikalini Ni Kama Nyumba, Amehamia Chumba Kingine
❖ Amewataka Wafanyakazi Wasiwe na Hofu kwa Kuwa Corona ni Mafua Tu
Na Prisca Ulomi, WUUM, Dodoma
Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Sekta ya Mawasiliano, Dkt. Zainab Chaula, amewasili rasmi leo Wizarani hapo Mji wa Serikali, Mtumba, Dodoma kwa mara ya kwanza tangu alipoteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Sekta hiyo mara baada ya kuhamishwa kutoka Wizara ya Afya,...
5 years ago
Michuzi
Dkt. Chaula aahidi kuleta mabadiliko Sekta ya Mawasiliano, asisitiza uwajibikaji na mahusiano bora kazini

Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula akizungumza na wafanyakazi wa Sekta yake katika kikao cha wafanyakazi kilichofanyika kwenye ukumbi wa TBA, Dodoma. Kushoto kwake ni Naibu Katibu Mkuu, Dkt. Jim Yonazi na kulia kwake ni Mkurugenzi wa Utumishi na Rasilimali Watu, Kitolina Kippa.

Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la Mawasiliano, Bi Laurencia Masigo, akiwasilisha hoja za wafanyakazi kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na...
10 years ago
GPL
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) YASAINI MIKATABA KUPELEKA MAWASILIANO VIJIJINI
5 years ago
Michuzi
DKT. CHAULA AWATAKA WANANCHI KUWA NA BIMA YA AFYA

Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Zainab Chaula akiongea na watumishi wa kituo cha afya kaigara(hawapo pichani)wakati wa ziara yake wilayani muleba.Kushoto ni Mganga Mkuu wa Wilaya Muleba Dkt. Modest Burchard


Katibu Mkuu Dkt.Zainab Chaula akiwasalimia wananchi waliofika kupata huduma kwenye kituo cha afya,ambapo aliwahamasisha akina mama kuwapatia chanjo zote watoto wao

5 years ago
Michuzi
WAPENI ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA WANANCHI-DKT.CHAULA

Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara kuu afya Dkt. Zainab Chaula akiongea na waganga wakuu wa mikoa(hawapo pichani) wakati wa mkutano wa kujadili utayari wa kukabiliana na tishio la mlipuko wa virus vya corona kwenye ukumbi wa mkutano wa hospitali ya taifa muhimbili-mloganzila

Baadhi wa waganga wakuu wa mikoa na maofisa kutoka wizara ya afya walioshiriki mkutano wa kujadili tishio la ugonjwa wa Corona.

Naibu Mkuu anayeshughulikia afya kutoka Ofisi ya...
5 years ago
Michuzi
DKT. CHAULA AKAGUA UJENZI WA JENGO LA UMOJA WA POSTA WA AFRIKA


Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainabu Chaula (wa pili kulia) akisisitiza jambo...
5 years ago
Michuzi
WAGANGA WA TIBA ASILI/MBADALA FUATENI SHERIA-DKT. CHAULA

Katibu Mkuu Dkt. Zainab Chaula akiongea na waandishi wa habari

Wanafunzi wa sekondari walioshiriki kongamano la wajasiriamali na upimaji wa afya

Watoto wakimsikiliza Katibu Mkuu(hayupo pichani)
……………………………………..
Na.Catherine Sungura, Chato
Waganja wa Tiba asili na tiba mbadala wote nchini, wametakiwa kufanya kazi zao kwa kufuata Sheria, kanuni, taratibu zilizowekwa na Serikali .
Hayo yamesemwa juzi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara kuu afya...
5 years ago
Michuzi
RAIS DK. MAGUFULI AIPONGEZA MKAPA FOUNDATION KWA UJENZI WA NYUMBA ZA MADAKTARI NCHINI

