Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DMK City Link Express -yapunguza bei za kwenda au kutoka Airport zote Washington (DMV)

dmk

PIA TUNATOA HUDUMA ZA USAFIRI WA KAWAIDA NDANI YA WASHINGTON DMV

MAGARI MAGODO(4 DOORS) // SUV NA MINI VAN (6-8 PASSENGERS)

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAMBO YOTE JUMAPILI HII TAMASHA LA KISWAHILI JUMAPILI HII-(WASHINGTON DMV) -MABALOZI WA NA NCHI ZOTE ZA MASHARIKI WATHIBITISHA KUWEPO.


MAYOR WA MJI WA BLADENSBURG KUHUTUBIA, MABALOZI WA NCHI ZA AFRICA MASHARIKI WATAKUWEPO,FREE BOAT RIDE KUZUNGUKA MTO, MICHEZO YA WATOTO, UTAMADUNI WA AFRIKA MASHARIKI,VENDORS,CHAKULA CHA AFRIKA MASHARIKI KUTOKA SAFARI RESTAURANT DC, VINYWAJI BARIDI VYOTE VINAPATIKANA:                                               HAKUNA KIINGILIO NI BUREEE!

 

9 years ago

Dewji Blog

Comedian maarufu kutoka Uganda “Kansiime” kuwavunja mbavu Washington DMV ” Thanks Giving Friday ” Nov 27 !

HIVI KWANZA UNAANZAJE KUKOSA,HII ITAKUWA SOLD OUT  NUNUA TICKET ZAKO ONLINE BADO MAPEMA AU PIGA SIMU NAMBA 3016616207

 

10 years ago

Vijimambo

MSAADA WA USAFIRISHAJI WA VIFAA VYA KIJAMII KUTOKA WASHINGTON, SEATTLE MAREKANI KWENDA ZANZIBAR

Ndugu Zangu
Napenda kuchukua nafasi hii adhimu mbele yenu kuandika mada yangu tukufu kama ilivyotanjwa hapo juu.

Kwa niaba yangu binafsi, Wazanzibari na Watanzania wote kwa ujumla waliopo hapa Washington State na Nchini Marekani napenda kutumia nafasi ya kutoa maelezo ya vifaa vilivyopo hivi sasa katika Storage zetu kwa hatua kuvisafirisha kutoka Bandari ya Seattle hadi Zanzibar.

Vifaa hivi vimekusanywa na mimi kwa mashirikiano wafadhili mbali mbali waliojitolea kwa ajili ya kusaidia juhudi za...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND PLATNUMZ LIVE NDANI YA WASHINGTON DMV / SHEREHE ZA UHURU DEC6 / NUNUA TICKET KABLA YA NOV 10 KWA $ 75 TU BAADA YA NOV 10 BEI ITAKUWA $ 100.

   
                                                  3 COURSE DINNER  &  LIVE SHOW
                                                                 FREE PARKING
                            TICKET  ZINAUZWA ONLINE TU.....BOFYA  HAPO CHINI
                                   WWW.DIAMONDUSATOUR.COM


                                 ...

 

10 years ago

Vijimambo

Madaktari kutoka Washington Diaspora Walioletwa na Jumuiya ya Watanzania DMV Watoa Hudua ya Afya Hospitali ya Mnazi Mmoja

Dr Nofali akizungumza na Ujumbe wa Madaktari kutoka Washington Diaspora walipofika katika Hospitali ya Mnazi Mmoja kutoa huduma ya Maradhi ya Saratani ya Matiti, Kisukari na Tiba ya Meno ukiwa na Ujumbe wa Watu 17, Wamefika Ofisi hapo kujitambulisha kwa Uongozi wa hospital Dr Nofali akizungumza na Madaktari hao walipofika Ofisini kujitambulisha wakiwa na wenyeji wao Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa wa Diaspora Zanzibar Ukiongozwa na Mkurugezi wa Idara hiyo Ndg Adila Ujumbe wa Madaktari...

 

9 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA SBS YAPUNGUZA BEI ZA VINYWAJI BARIDI

KAMPUNI ya SBC Tanzania Limited, watengenezaji na wasambazaji wa vinywaji baridi imepunguza bei ya vinywaji vyake kutoka shillingi mia sita (600) hadi mia tano (500) kwa chupa yenye ujazo wa Mililita 350 na 300.
Hayo yamesemwa na Meneja Mafunzo na Uwezeshaji Bw.Rashid Chenja (Pichani)alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam na kuongeza kuwa lengo la kupunguza bei ni kutokana na hali ngumu ya uchumi iliyopo.
“Imekuwa vigumu kwa mnywaji kuweza kudumu bei ya kinywaji...

 

9 years ago

Dewji Blog

Global Education Link (GEL) yasafirisha wanafunzi kwenda kusoma nchini India

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Education Link (GEL) ambao ni wakala wa vyuo vya nje ya nchi, Abdulmalik Mollel akiwa ameambatana na wafanyakazi wa kampuni hiyo kuwasindikiza wanafunzi 30 wanaokwenda kusoma nchini India Agosti 21, 2015 katika Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Education Link (GEL) ambao ni wakala wa vyuo vya nje ya nchi, Abdulmalik Mollel akiwaita majina wanafunzi waliokuwa...

 

9 years ago

Michuzi

GLOBAL EDUCATION LINK (GEL) YASAFILISHA WANAFUNZI KWENDA KUSOMA NCHINI INDIA

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Education Link (GEL) ambao ni wakala wa vyuo vya nje ya nchi, Abdulmalik Mollel akiwa ameambatana na wafanyakazi wa kampuni hiyo kuwasindikiza wanafunzi 30 wanaokwenda kusoma nchini India jana Agosti 21, 2015 katika Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaam.  Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Education Link (GEL) ambao ni wakala wa vyuo vya nje ya nchi, Abdulmalik Mollel akiwaita majina wanafunzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani