Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DMV na New York watambiana kuwa kila timu wako gado

Timu kabambe ya DMV
Mazoezi yanaendelea kesho Alhamisi  May 15, 2014 kwa maandalizi ya mechi na New York itakayofanyika Jumamosi May 24, 2014 kwenye Memorial Weekend ukipata taarifa hii mtaarifu na mwenzio.
Kikosi cha kwanza  cha  New York Team
Hiki ndicho kikosi  kitakachoanza tarehe 24 jumamosi Memorial weekend.  DC hawachomoki siku hiyo team itaingia DC mapema na kuwa mafichoni hili kupata fursa ya kupata massage maalum kwa kutumia mafuta ya karafuu mambo ya nakish nakish za kipwani...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

JUMUIYA TA WATANZANIA DMV INAOMBA USHIRIKIANO WAKO KATIKA JUHUDI ZA KUPAMBANA NA EBOLA




   JUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAOMBA USHIRIKANO WAKO KATIKA JUHUDI  ZA KUPAMBANA NA EBOLA




 

10 years ago

Michuzi

MSIBA NEW YORK NA TANZANIA. MAZIKO YANATARAJIWA KUWA JUMAPILI JUNE 28,NEW JERSEY,TUTAUAGA MWILI BRONX,NEW YORK. RATIBA HII ITATEGEMEA NA UKAMILIFU WA MICHANGO YETU TAFADHALI CHANGIA ILI TUKAMILISHE JUKUMU HILI KWA PAMOJA.

MAREHEMU MZEE ALFRED MAGEGE.
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inaungana na Familia ya Magege kwa masikitiko kutangaza kifo cha marehemu Mzee Alfred Magege kilichotokea jumamosi June 13,2015. Marehemu Alfred Magege alisumbuliwa na Saratani ya mifupa kwa zaidi ya miaka kumi.Marehemu ameacha Mke na watoto watatu. Kama kawaida yetu tunaombwa watanzania tujitokeze ili kuwafariji wafiwa.Ili tukamilishe Msiba huu kiasi cha $10,000 kinahitajika.Watanzania...

 

11 years ago

Michuzi

NEW YORK YAPATA KIPIGO CHA MBWA MWIZI, YAPACHIKWA 5-0 NA DMV, PBZ WADHAMINI MECHI HIYO

Timu ya New York Timu ya DMV  Mwakilishi wa mgeni rasmi Afisa Suleiman Saleh akisalimiana na refa Mohammed.
Timua New York siku ya Jumamosi ilizima fegi mbele ya timu ya DMV kwenye mtanange uliokuwa ukisubiliwa kwa hamu na mashabiki wa DMV wakiongozwa na wachezaji wa timu zote mbili kwa kutambiana kwenye mitandao ya kijamii kabla ya mtanange huo kuhitimishwa hapo jana siku ya Jumamosi May 24, 2014 katika uwanja wa Walker Mills Park uliopo Capitol Heights.
Mbali na mechi hiyo kuwa nzuri...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Dogo D — Siwezi Kuwa wako

Rapper mdogo kutoka Mwanza anaitwa Dogo D ametoa wimbo mpya unaitwa “Siwezi Kuwa wako”

 

11 years ago

Michuzi

PATA VIKOSI VYA KILA TIMU KATIKA KOMBE LA DUNIA 2014







KUNDI A Brazil
Makipa: Julio Cesar (Toronto FC, Mkopo toka QPR), Jefferson (Botafogo), Victor (Atletico Mineiro). Mabeki: Dani Alves (Barcelona), Maicon (Roma), David Luiz (Chelsea), Thiago Silva (PSG), Dante (Bayern Munich), Marcelo (Real Madrid), Henrique (Napoli), Maxwell (PSG). Viungo: Oscar (Chelsea), Fernandinho (Man City), Willian (Chelsea), Paulinho (Spurs), Ramires (Chelsea), Luis Gustavo (Wolfsburg), Hernanes (Inter Milan). Mafowadi: Bernard (Shakhtar Donetsk),...

 

11 years ago

Mwananchi

Fainali za Kombe la Dunia 2014: Udhaifu, wasiwasi wa kila timu itakayoshiriki

>Fainali za Kombe la Dunia 2014 zitaanza Juni 12 hadi Julai 13 huko Brazil.Hivi sasa zimebaki siku 73 kabla ya fainali hizo kuanza, ambapo ukibaki mwezi mmoja kabla ya kuanza.

 

9 years ago

GPL

VODACOM YAZITAKIA KILA LA HERI TIMU ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU TANZANIA BARA

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Ian Ferrao, akizungumza jijini Dar es Salaam jana. WADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Ian Ferrao, alisema kuwa ni...

 

10 years ago

Mwananchi

Unafahamu kuwa ‘high heels’ inaweza kuongeza mvuto wako

Kinadada wengi wanavaa viatu virefu kwa mazoea au wakati mwingine kwa kuona mwenzake amevaa na amependeza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani