Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dogo Jembe azungumzia mikakati wa rasilimali na afya

Untitled 1

Yule mgombea mwenye umri mdogo zaidi ambaye siku za karibuni amejizolea umaarufu mkubwa kwenye mitandao ya kijamii tangu achukue fomu ameanza kumwaga sera zake ambapo leo anazungumzia kuhusu ambavyo Watanzania wanatakiwa wafaidike na rasimali pia mipango ya kuboresha huduma za afya.

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Hatimaye Dogo Jembe achukua fomu ya Urais

Untitled

Mgombea mwenye umri mdogo zaidi amejitokeza kuchukua fomu za kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ameahidi kuelezea sera zake katika mkutano na waandishi wa habari utakaofanyika leo.

 

10 years ago

Michuzi

DOGO JEMBE AHOJI NANI ANAFAA KUWA RAIS

TANGU  mgombea mwenye umri mdogo zaidi kutangaza nia ya kutaka kuwa rais wa Tanzania, Dogo Jembe amejikuta akipambana na upinzani mkali toka kwa wananchi wengi hasa watumiaji wa mitandao ya kijamii ambao wengi wamekuwa wakimtaka arudi shule huku wengine wakimshambulia kuwa anatumiwa na mmoja ya wanasiasa.
Mara baada ya kuzongwa na waandishi wa habari waliomuuliza anachukuliaje maoni ya wananchi kuhusu nia yake ya kuutaka urais amelazimika kuitisha mkutano na waandishi wa habari ambapo...

 

11 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA KAMATI ZA AFYA ZA SHEHIYA WAPATIWA MAFUNZO JUU YA MIKAKATI YA AFYA YA JAMII ZANZIBAR

MKUU wa Wilaya wa Magharibi, Hassan Mussa Takrima amewataka watendaji wa wizara ya afya kushirikiana na masheha katika kuelimisha wananchi juu ya utekelezaji wa mpango wa afya kwa jamii ili uweze kutatua changamoto za kifya nchini.
Amesema kuwa endapo mpango huo ukihamasishwa kwa jamii utaweza kuwasaidia wananchi katika kujikwamua na matatizo ya kujikinga na maradhi mbalimbali yanayojitokeza katika maeneo yao .
Akizungungumza katika ufunguzi wa mafunzo juu ya mkakati wa afya ya jamii...

 

11 years ago

Bongo5

Video: Madee azungumzia sababu iliyofanya amsamehe Dogo Janja

Hivi karibuni, Tip Top Connection iliamua kumrejesha tena kundini mwana mpotevu, Dogo Janja aliyeondoka mwaka 2012 baada ya kushindwa kuelewana na Madee. Dogo Janja aliongea maneno mengi yaliyomfanya Madee aonekane mtu mbaya jambo ambalo lilimchukua muda mrefu Madee kurudisha tena moyo wake kwa rapper huyo wa Arusha. Madee ameiambia Bongo5 kuwa kabla ya kukubali arejee […]

 

11 years ago

GPL

DOGO LILA NA DOGO HILAL WAKIFANYA YAO NDANI YA DAR LIVE

Dogo Lila na Dogo Hilal wakifanya makamuzi ya nguvu ndani ya Dar Live.

 

10 years ago

Bongo5

Lady Jaydee ajibu habari ya gazeti la udaku kuwa na uhusiano na ‘Dogo Dogo’

Lady Jaydee ameamua kujibu habari iliyoandikwa kwenye gazeti la udaku la Risasi kuhusu kuwa na uhusiano na aliyewahi kuwa mtuma salamu maarufu kwenye redio, Meddy Ahmed aka ‘Mtoto wa Vitoto’. Kwenye habari hiyo, Risasi wanadai kuwa Jaydee ambaye anadaiwa kuachana na mume wake Gadner G Habash ameonekana mara kadhaa na Mtoto wa Vitoto na kwamba […]

 

10 years ago

GPL

SHOO YA JOH MAKINI NDANI YA JEMBE NI JEMBE, MWANZA YAACHA HISTORIA

Mwana Hip hop, Joh Makini akisema na mashabiki wake waliofurika katika Ukumbi wa Jembe ni Jemba jijini Mwanza usiku wa kuamkia leo. Mashabiki wakiwa wamechizika na burudani kutoka kwa Joh Makini.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani