DONDOO KUELEKEA MPAMBANO WA KIHISTORIA KATI YA MONEY NA PACMAN
![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLae4OHZYtkPd3*6cLI4TpjxcFvhg7Uw4i3j6x*z0DjInOHYJRkex9IdP4AsR-NSNkniZhHNsd0IXKYZoGHO1tZ9w/mkanda.jpg)
Floyd Mayweather (kushoto) na Manny Pacquiao wakipozi na mkanda wa WBC jana wakati wa mkutano na wanahabari. SIKU mbili tu zimebaki kuelekea mpambano wa kihistoria wa ngumi za kulipwa utakaowakutanisha mabondia Floyd Mayweather (Money) na Manny Pacquiao (Pacman) ndani ya Ukumbi wa MGM Grand jijini Las Vegas, Marekani. Muonekano wa sasa wa Hoteli ya MGM Grand iliyopo jijini Las Vegas, Marekani. Mpambano huo umekuwa gumzo kote...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sJLx6kt8kQ8/VQrm15W_U9I/AAAAAAAHLgo/WUWdgUSI2v8/s72-c/540px-Boxing_OP_(3)-page-001.png)
Kuelekea Mpambano Ndondi kati ya Mohamed Matumla na Wang Xin Hua wa China
![](http://2.bp.blogspot.com/-sJLx6kt8kQ8/VQrm15W_U9I/AAAAAAAHLgo/WUWdgUSI2v8/s1600/540px-Boxing_OP_(3)-page-001.png)
Wakati bondia Mohamed Matumla Jr akiwa katika mazoezi ya mwisho mwisho kumkabili Wang Xin Hua wa China, wenzake Thomas Mashali na Karama Nyilawila wametoleana uvivu huku kila mmoja akijigamba kutwaa ubingwa watakapozichapa Machi 27 kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam.
Matumla Jr atazichapa na Hua pambano la super bantam la ubingwa wa dunia wa (WBF World Eliminate) pambano maalumu kwa mabondia hao la kutafuta tiketi ya kucheza pambano la utangulizi kwenye lile...
9 years ago
Raia Mwema23 Sep
Ni mpambano kati ya Shitambala na Mbilinyi
ZIKIWA zimebaki siku takribani 35 kupiga kura, ushindani katika Jimbo la Mbeya Mjini umebaki kati
Felix Mwakyembe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XP1HwsPGdbfoVQEI5u2-*TQOXYPu4SOvIs73FSnwptrxKMb1it10Jm4U*WvZezBqN8twR20LnZWmqHEHZjIHPGKoH5rxJuUc/1.jpg?width=650)
MASTAA WALIOHUDHURIA MPAMBANO WA KARNE KATI YA MAYWEATHER NA PACQUIAO
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/n0N8TBO37f0/default.jpg)
10 years ago
VijimamboKUJIANDA NA MPAMBANO WA JUMAPILI KATI YA YANGA NA SIMBA PLUIJM ATIRIRIKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI0NvnsB5MjQkU10It0XV85Cbxq*Nq**X2R4XkaYyDpDMNhBmkXF5O8z5R3N9-LiCVPGY85niZjIMKGjbCKD4UtM/bayless.jpg)
KENNY BAYLESS NDIYE MWAMUZI WA MPAMBANO KATI YA MAYWEATHER NA PACQUIAO
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/UJ9-Ss9xSng/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yxJqf0gmiGM/VRJ8I0GhFTI/AAAAAAAHNDg/8uqgZQ6ICok/s72-c/unnamed%2B(26).jpg)
Bondia wa zamani Francois Botha azungumzia mpambano kati ya Mohamed Matumla na Mchina Wang Xin Hua
![](http://3.bp.blogspot.com/-yxJqf0gmiGM/VRJ8I0GhFTI/AAAAAAAHNDg/8uqgZQ6ICok/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_SXpdnyaI4/VRJ8KMOxiiI/AAAAAAAHNDo/6uBALhp_SHA/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
9 years ago
MichuziRAIS DK. JAKAYA KIKWETE KUONGOZA KONGAMANO LA KUELEKEA UCHUMI WA KATI IFIKAPO 2025
Na Emmanuel Massaka ,Globu ya JamiiRAIS Dk. Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika...