Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dondoo za uvaaji kwa wenye maumbo makubwa

Kuwa na umbo kubwa ni miongoni mwa sifa za mwanamke wa Kiafrika. Pamoja na kuwa na asili hiyo mara nyingi wanawake wenye maumbo ya aina hii wamekuwa wakipata wakati mgumu sana katika kutafuta mavazi yanayoendana na maumbo yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Dondoo za uvaaji majira ya joto

Kwa kawaida uvaaji wa mavazi hutegemea hali ya hewa au majira ya husika ya mwaka. Ni muhimu kuzingatia majira ili kuepuka shida au kukosa raha kwa kuchagua vazi lisilo sahihi.

 

9 years ago

MillardAyo

Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio)

Kumekuwepo na fununu zikienea kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu Wanawake wenye maumbile makubwa au Hips  wana nafasi kubwa ya kuzaa watoto wenye uwezo wa kiakili. Hapa nakukutanisha na Dr. Isaac Maro akiuelezea ukweli wa mambo. Bonyeza Play hapa chini kuipata hii yote. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line […]

The post Ni kweli wanawake wenye maumbile makubwa huzaa watoto wenye akili..?(+Audio) appeared first on...

 

5 years ago

CCM Blog

MADHARA YA UVAAJI VIATU VIREFU KWA WANAWAKE

NI wazi kuwa viatu virefu huvutia sana vinapo kuwa vimevaliwa.Tulio wengi hasa mabinti au wanawake tunaokwenda na wakati hupenda kuvaa viatu virefu ilikuongeza muonekano wa umbile lako nikiwa na maana kuwa miguu huonekana yenye kuvutia zaidi unapo kuwa umevaa viatu virefu.

Kutokana na utafiti wa kitaalamu, mwanamke ana uwezo wa kutembea wastani wa hatua 10,000 kwa siku.Visigino virefu hufanya nguvu inayotumika kutembea hatua moja kuwa kubwa kuliko kawaida, huku vikikunyima raha ya kutembea...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wenye mashamba makubwa hawalipi kodi’

WAKATI migogoro ya ardhi ikizidi kufukuta nchini, imebainika kuwa asilimia 79 ya wamiliki wa mashamba makubwa hawalipi kodi ya ardhi. Ulipaji wa kodi ya ardhi kila mwaka ni lazima kwa...

 

5 years ago

Michuzi

NBC WAMPONGEZA KOPLO TWAIBU KWA KUTOA ELIMU YA UVAAJI BARAKOA KATIKA DALADALA

BENKI ya Kibiashara ya  NBC imetambua juhudi mahususi za Jeshi la Polisi Tanzania na maofisa wake katika  kipindi chote cha mlipuko wa homa kali inayosababishwa na virusi vya Covid-19 maarufu kama corona. 
Katika matukio mbali mbali ya kipekee, maofisa kwa Jeshi la Polisi Tanzania wameonyesha  hekima ya hali ya juu na dhamira ya kuwatumikia, kuwalinda na kuhakikisha Watanzania  wanatekeleza maelekezo ya wataalam ya jinsi ya kupambana na ugonjwa wa corona. 
Aidha, benki hiyo ikishirikiana na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Utafiti:Wanaume wanapenda wanawake wenye makalio makubwa

Utafiti unaonesha kuwa ni kweli wanaume wanapendelea wanawake wenye makalio makubwa

 

11 years ago

Mwananchi

Kwa wenye sarafu, noma, na wenye masurufu, neema

Juzi, hatimaye, waishiwa tuliweza kukusanyika sebuleni mwetu kutathmini hali iliyopo. Usituone hivi. Kutokana na hali halisi, hata uwezo wetu wa kupata bakuli ya supu umepungua hivyo inabidi watu wajipigepige kweli hadi wengine kidogo walazwe kwa majeraha ya kujipiga.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS OBAMA ASIFU UVAAJI WA FULANA YA I CAN'T BREATHE ALIYOVAA MCHEZAJI WA KIKAKPU LEBRON JAMES

LeBron ObamaRais wa Marekani Mhe. Barack Obama amesifia uvaaji wa fulana wa mchezaji wa mpira wa kikapu Lebron James wakati alipokua akifanyiwa mahojiano na gazeti la the people magazine. Rais Barack Obama alipouliwa swali hilo nini mtizamo wake alisema nadhani ni jambo zuri kwa mchezaji huyo na wengine waliopaza sauti zao kuwakilisha mawazo yao kwa mambo yaliyotokea ya kuuwawa kwa Wamarekani weusi na polisi huko Ferguson jimbo la Missouri na Brooklyn New York na baadae mahakama kuwaachia huru polisi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Matokeo makubwa sasa bila maandalizi makubwa

ILI kupata matokeo yoyote makubwa na mazuri katika jambo lolote, lazima uwe umefanya maandalizi makubwa kabla. Hii ndiyo hali halisi ukiachilia mbali miujiza ya Mwenyezi Mungu anayeweza kufanya chochote. Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani