Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DOWNLOAD: INANIUMA SANA rmx - JUMA NATURE ft. MSAGA SUMU

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Music: Juma Nature Ft Msaga Sumu — Inaniuma Sana Remix

Juma Nature amerudia tena wimbo wake wa “Inaiuma Sana Remix” akimshirikisha Msaga Sumu Studio Mazuu Rec

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: YOUNG KILLER "MSODOKI" - POPOTE KAMBI ft. JUMA NATURE (Download)




Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

10 years ago

Bongo5

Juma Nature: Wanawake wengi waongo, bado nipo nipo sana

Juma Nature amesema tabia ya uongo kwa wanawake wengi inamfanya asifikirie kuoa awe mgumu kuoa. Nature ambaye ni baba wa mtoto mmoja aitwaye Furaha, ameiambia Bongo5 kuwa anashidwa kufanya uchaguzi sahihi wa mwanamke kutokana na wanawake kuwa matapeli. “Suala la kuoa ni suala la kitaifa, siku mimi nikioa hata rais atajua Juma Nature anaoa, nikiwa […]

 

10 years ago

CloudsFM

WAKATI FELA ANA MPANGO WA KUMALIZA BIFU NA JUMA NATURE, NATURE ACHOMOA MCHONGO

Mkurugenzi wa kituo cha kukuza vipaji vya wasanii “Mkubwa na Wanae”, Saidi Fela ambaye pia ni kiongozi wa kundi la TMK Wanaume Family, kundi ambalo lilianzishwa mwanzoni mwa miaka ya 2000 baadaye likaja kuvunjika vipande viwili likazaliwa kundi la TMK Halisi chini ya Juma Nature, hiyo ilikuwa mwaka 2006.Hivi karibuni Said Fela amefunguka kuwa ana mpango wa kumfuata Juma Nature ili wakae chini na kushirikiana kikazi kama zamani. Lakini alipoulizwa Juma Nature kama yuko tayari kufanya kazi na...

 

10 years ago

Mtanzania

Jokha Kassim, Msaga Sumu jukwaa moja

NA MWALI IBRAHIM
WAIMBAJI wa taarabu, Jokha Kassim na Msaga Sumu, wanatarajiwa kunogesha onyesho maalumu la kundi la taarabu la Wakali wao Modern Taradansa, litakalofanyika Ijumaa hii katika ukumbi wa JM Hotel, Manzese, jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa kundi la Wakali wao, Thabit Abdul, alisema usiku huo ni maalumu kwa ajili ya kuukaribisha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, unaotarajiwa kuanza Juni 19.
“Tumewaandalia mashabiki wetu zawadi ya wimbo mpya ambao tutauzindua siku hiyo...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Baba Kash Ft Msaga Sumu — Kidoti

Hii video mpya kutoka kwa msanii Baba Kash akimshirikisha Msaga Sumu wimbo unaitwa “Kidoti” video imeongozwa na Msafiri kutoka kwetu Studio

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kopa, Msaga Sumu kupamba Miss Mbagala

WASANII wa muziki nchini, Khadija Kopa na Msaga Sumu, wanatarajia kupamba shindano la  Miss Mbagala litakalofanyika Mei 30, katika Ukumbi wa Dar Live, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani