Kopa, Msaga Sumu kupamba Miss Mbagala
WASANII wa muziki nchini, Khadija Kopa na Msaga Sumu, wanatarajia kupamba shindano la Miss Mbagala litakalofanyika Mei 30, katika Ukumbi wa Dar Live, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Dulayo, Josline kupamba Miss Mbagala
WAKALI wa muziki wa kizazi kipya, Abrahaman Kassembe ‘Dullayo‘ na Josline, wanatarajiwa kupamba uzinduzi wa Miss Mbagala utakaofanyika ukumbi wa Dar live Mbagala jijini Dar es Salaam, Mei 9. Miss...
11 years ago
Dewji Blog04 Jun
Mama Balozi Seif Idd na Khadija Kopa kupamba Miss Singida 2014
Muandaaji wa shindano la Miss Singida 2014 Anti Bora Lemmy, akizungumza na wadhamnini mbalimbali mkoani singida wakati akiwatambulisha Mamiss kwa waandishi wa habari.
Na Hillary Shoo, Singida.
MKE wa Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, mama Assi Balozi seif Idd anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika shindano la kumsaka Miss Redds Singida 2014.
Akizungumza na waandisi wa habari muandaaji wa shindano hilo mkoani Singida, Bora Lemmy alisema mbali na mama Assi , pia...
10 years ago
Bongo529 Dec
New Video: Baba Kash Ft Msaga Sumu — Kidoti
10 years ago
Mtanzania10 Jun
Jokha Kassim, Msaga Sumu jukwaa moja
NA MWALI IBRAHIM
WAIMBAJI wa taarabu, Jokha Kassim na Msaga Sumu, wanatarajiwa kunogesha onyesho maalumu la kundi la taarabu la Wakali wao Modern Taradansa, litakalofanyika Ijumaa hii katika ukumbi wa JM Hotel, Manzese, jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa kundi la Wakali wao, Thabit Abdul, alisema usiku huo ni maalumu kwa ajili ya kuukaribisha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, unaotarajiwa kuanza Juni 19.
“Tumewaandalia mashabiki wetu zawadi ya wimbo mpya ambao tutauzindua siku hiyo...
10 years ago
Michuzi10 years ago
GPLMSAGA SUMU AIPAMBA SHOO YA MWANA DAR LIVE
10 years ago
GPLMSAGA SUMU AIPAMBA SHOO YA IDD MOSI DAR LIVE
9 years ago
Global Publishers26 Dec
Msaga Sumu afunga mwaka Dar Live kwa kishindo
Bingwa wa muziki wa Singeli, Msaga Sumu akifanya yake Sikukuu ya Krismasi ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala- Zakhem jijini Dar .
Mashabiki wakimshangilia Msaga Sumu (hayupo katika picha).
Mashabiki akiendelea na shoo yake.
Akiendelea na Makamuzi yake mida ya Saa 5: 50 usiku wa kuamkia leo kwenye Ukumbi wa Dar Live, Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.
(PICHA: MUSA MATEJA NA RICHARD BUKOS/GPL)
10 years ago
Africanjam.Com