Dulayo, Josline kupamba Miss Mbagala
WAKALI wa muziki wa kizazi kipya, Abrahaman Kassembe ‘Dullayo‘ na Josline, wanatarajiwa kupamba uzinduzi wa Miss Mbagala utakaofanyika ukumbi wa Dar live Mbagala jijini Dar es Salaam, Mei 9. Miss...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Kopa, Msaga Sumu kupamba Miss Mbagala
WASANII wa muziki nchini, Khadija Kopa na Msaga Sumu, wanatarajia kupamba shindano la Miss Mbagala litakalofanyika Mei 30, katika Ukumbi wa Dar Live, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa...
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Mapacha Watatu kupamba Miss Bagamoyo
BENDI ya muziki wa dansi ya Mapacha Watatu, inatarajiwa kunogesha shindano la kumsaka mrembo wa Wilaya ya Bagamoyo ‘Miss Bagamoyo’ mkoani Pwani. Shindano hilo limepangwa kufanyika katika Ukumbi wa Palm...
11 years ago
Michuzi
EXTRA BONGO KUPAMBA REDD'S MISS PWANI

Mbali ya Choki ambaye atakuwa na kikosi chake kikali cha wacheza shoo kinachoongozwa na Mussa Hassan Nyamwela pamoja na wanenguaji wa kike kama Maria Soloma , Asha Said ‘Sharapova’ , Otilia na wengineo watanogesha na kuacha historia siku hiyo .
Hayo...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Twanga kupamba utambulisho Miss Tabata Pasaka
BENDI ya African Stars ‘Twanga Pepeta’ inatarajiwa kusindikiza uzinduzi wa Redd’s Miss Tabata utakaofanyika Ukumbi wa Da’ West Park, Tabata jijini Dar es Salaam, Jumapili ya Pasaka. Mratibu wa shindano...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Twanga Pepeta kupamba utambulisho Miss Tabata SIKU YA Pasaka
.jpg)
11 years ago
Dewji Blog04 Jun
Mama Balozi Seif Idd na Khadija Kopa kupamba Miss Singida 2014
Muandaaji wa shindano la Miss Singida 2014 Anti Bora Lemmy, akizungumza na wadhamnini mbalimbali mkoani singida wakati akiwatambulisha Mamiss kwa waandishi wa habari.
Na Hillary Shoo, Singida.
MKE wa Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, mama Assi Balozi seif Idd anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika shindano la kumsaka Miss Redds Singida 2014.
Akizungumza na waandisi wa habari muandaaji wa shindano hilo mkoani Singida, Bora Lemmy alisema mbali na mama Assi , pia...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Redd’s Miss Mbagala hapatoshi leo
SHINDANO la kumsaka mnyange wa Redd’s Miss Mbagala, linatarajiwa kufanyika leo katika Ukumbi wa Dar Live, jijini Dar es Salaam. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mratibu wa shindano hilo,...
11 years ago
GPLWASHIRIKI MISS MBAGALA 2014 WATINGA GLOBAL
11 years ago
GPL
USIKU WA MISS MBAGALA 2014 NDANI YA DAR LIVE