Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DPP pushes for Mgonja


DPP pushes for Mgonja- Mramba-Yona case review
Daily News
THE Director of Public Prosecutions (DPP) has asked the High Court to convict Gray Mgonja of abuse of office and occasioning loss charges and order Basil Mramba and Daniel Yona to pay compensation of over 11.7bn/- to the government. In his written ...

Mramba

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Sikuwahi kuiona barua ya msamaha-Mgonja

mgonjaNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam
ALIYEKUWA Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Gray Mgonja, amedai mahakamani kwamba akiwa madarakani hakuwahi kuziona barua zilizotoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) zikizuia Kampuni ya Alex Stewart kusamehewa kodi.
Mgonja alidai hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya jopo la mahakimu linaloongozwa na John Utamwa, Saul Kinemela na Sam Rumanyika.
Katibu Mkuu huyo wa zamani alikana kuziona barua hizo, alipoulizwa swali na Wakili wake, Profesa Leonard...

 

9 years ago

Habarileo

Mgonja asisitiza uadilifu Tanesco Saccos

KAIMU Naibu Mkurugenzi na Usambazaji wa Shirikia la Ugavi wa Umeme nchini (TANESCO), Sophia Mgonja amewaomaba viongozi wa chama cha kuweka na kukopa (SACCOS) cha shirika hilo kuwa waadilifu katika uendeshaji wa Saccos hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kesi ya Yona, Mramba, Mgonja kuendelea leo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo itaendelea kusikiliza kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara inayomkabili Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa zamani Nishati na Madini, Daniel Yona

 

10 years ago

GPL

HUKUMU YA MRAMBA, MGONJA NA YONA YAPIGWA KALENDA

  Baadhi ya wasikilizaji wa kesi hiyo wakiwa kwenye chumba maalum kabla ya kuingia mahakamani. Ndugu wa Mgonja wakiteta jambo. Mgonja akiwafuatiwa na Mramba kwa nyuma wakitoka mahakamani muda mfupi baada ya kesi hiyo kuahirishwa.…

 

10 years ago

GPL

HUKUMU YA MRAMBA, YONA NA MGONJA YAAHIRISHWA HADI JULAI 3, 2015

Basir Mramba (kulia), Gray Mgonja (kushoto) na Daniel Yona wakiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar. Habari: Denis Mtima na Brighton Masalu / GPL HUKUMU ya aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basir Mramba, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Gray Mgonja na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona imeahirishwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam hadi Julai 3, mwaka huu. Vigogo hao wanakabiliwa na...

 

10 years ago

GPL

HUKUMU YA YONA, MRAMBA NA MGONJA KUSIKILIZWA MUDA MFUPI UJAO

Gray Mgonja (mbele) akiwa na Basil Mramba (wa pili kushoto) wakiwa eneo la mahakama. HUKUMU ya aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Gray Mgonja na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona, itaanza kusikilizwa muda mfupi ujao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Watuhumiwa wote watatu tayari wamewasili mahakamani wakisubiri hukumu yao kuanza kusomwa...

 

10 years ago

Daily News

Mramba, Yona jailed three years for office abuse; Mgonja set free


MINING.com
Mramba, Yona jailed three years for office abuse; Mgonja set free
Daily News
TEARS and disbelief reigned at the Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam on Monday morning, as two former cabinet ministers bid goodbye to their family members whom they will hardly interact with - at least for the next three years.
Tanzania jails former finance, mining ministers over gold dealNews24
Tanzania jails two former finance ministers for graftThe Standard Digital News (satire) (press...

 

10 years ago

Daily News

Dar pushes for better education


Dar pushes for better education
Daily News
THE government, in collaboration with various education stakeholders, will continue to improve teaching and learning environment to ensure availability of better education that prepares graduands to compete in job market and self employment.

 

9 years ago

Linked Investment Plan

EALA Pushes for Inter


EALA Pushes for Inter-Linked Investment Plan
AllAfrica.com
Kampala — The East African Legislative Assembly (EALA) wants the region to prioritise harmonisation of investment initiatives and incentives if the bloc is to be promoted as a single investment area. To this end, EALA is calling for the formulation of ...
TIME FOR REGION TO ENHANCE INVESTMENTS AS EALA MULLS OVER REGIONAL INVESTMENT ...StarAfrica.com

all 2

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani