Mgonja asisitiza uadilifu Tanesco Saccos
KAIMU Naibu Mkurugenzi na Usambazaji wa Shirikia la Ugavi wa Umeme nchini (TANESCO), Sophia Mgonja amewaomaba viongozi wa chama cha kuweka na kukopa (SACCOS) cha shirika hilo kuwa waadilifu katika uendeshaji wa Saccos hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo03 Sep
Kiongozi wa dini asisitiza uadilifu
KIONGOZI wa Kanisa la Gospel Light Ministries International, Mchungaji Julius Nyange amewataka Watanzania kutokuwa mashabiki wa wagombea, badala yake wawe mstari wa mbele kupiga kura na kuchagua kiongozi anayefaa.
9 years ago
MichuziWAZIRI PROF. MBARAWA ASISITIZA UWAZI NA UADILIFU TAZARA
10 years ago
MichuziWaziri wa Nishati na Madini azindua rasmi Bodi ya Tanesco Asisitiza siku za kuunganisha umeme kupungua
9 years ago
Mramba18 Aug
DPP pushes for Mgonja
Daily News
THE Director of Public Prosecutions (DPP) has asked the High Court to convict Gray Mgonja of abuse of office and occasioning loss charges and order Basil Mramba and Daniel Yona to pay compensation of over 11.7bn/- to the government. In his written ...
10 years ago
Mtanzania20 May
Sikuwahi kuiona barua ya msamaha-Mgonja
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
ALIYEKUWA Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Gray Mgonja, amedai mahakamani kwamba akiwa madarakani hakuwahi kuziona barua zilizotoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) zikizuia Kampuni ya Alex Stewart kusamehewa kodi.
Mgonja alidai hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya jopo la mahakimu linaloongozwa na John Utamwa, Saul Kinemela na Sam Rumanyika.
Katibu Mkuu huyo wa zamani alikana kuziona barua hizo, alipoulizwa swali na Wakili wake, Profesa Leonard...
10 years ago
GPLHUKUMU YA MRAMBA, MGONJA NA YONA YAPIGWA KALENDA
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Kesi ya Yona, Mramba, Mgonja kuendelea leo
10 years ago
GPLHUKUMU YA YONA, MRAMBA NA MGONJA KUSIKILIZWA MUDA MFUPI UJAO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmPi6NOT7I13YG*7EeL1N7K3DLQ21wLd3I6vjjM1SqJvl7wdJ72wyxL3081v0hrSnqeDraxT5wR3xPnEes0uKI-M/BREAKING.gif)
HUKUMU YA MRAMBA, YONA NA MGONJA YAAHIRISHWA HADI JULAI 3, 2015