Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgonja asisitiza uadilifu Tanesco Saccos

KAIMU Naibu Mkurugenzi na Usambazaji wa Shirikia la Ugavi wa Umeme nchini (TANESCO), Sophia Mgonja amewaomaba viongozi wa chama cha kuweka na kukopa (SACCOS) cha shirika hilo kuwa waadilifu katika uendeshaji wa Saccos hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Kiongozi wa dini asisitiza uadilifu

KIONGOZI wa Kanisa la Gospel Light Ministries International, Mchungaji Julius Nyange amewataka Watanzania kutokuwa mashabiki wa wagombea, badala yake wawe mstari wa mbele kupiga kura na kuchagua kiongozi anayefaa.

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI PROF. MBARAWA ASISITIZA UWAZI NA UADILIFU TAZARA

Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Mhe.Profesa Makame Mbarawa akitoa maelezezo ya utendaji kwa Naibu Mkurugenzi wa TAZARA Bw. Betram Kiswaga alipotembelea Ofisi za Shirika hilo leo jijini Dar es salaam. Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe.Profesa Makame Mbarawa akiongea na Viongozi pamoja na Wafanyakazi wa TAZARA alipotembelea ili kutoa muongozo wa utendaji kazi katika Shirika hilo. Wafanyakazi wa Shirika la TAZARA Wakimsikiliza Waziri Profesa Mbarawa (Hayupo pichani)...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Nishati na Madini azindua rasmi Bodi ya Tanesco Asisitiza siku za kuunganisha umeme kupungua

Na Teresia Mhagama Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amezindua rasmi Bodi mpya ya Wakurugenzi wa Shirika la Umeme nchini (TANESCO) na kuipa vipaumbele vya utekelezaji wa majukumu vitakavyotekelezwa na Bodi hiyo kabla ya kufikia ukomo wake mnamo mwaka 2017. Uzinduzi wa Bodi hiyo ulifanyika jijini Dar es Salaam katika Makao Makuu ya Wizara ya Nishati na Madini Ulihudhuriwa na viongozi wa Wizara ya Nishati na Madini akiwemo Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele,...

 

9 years ago

Mramba

DPP pushes for Mgonja


DPP pushes for Mgonja- Mramba-Yona case review
Daily News
THE Director of Public Prosecutions (DPP) has asked the High Court to convict Gray Mgonja of abuse of office and occasioning loss charges and order Basil Mramba and Daniel Yona to pay compensation of over 11.7bn/- to the government. In his written ...

 

10 years ago

Mtanzania

Sikuwahi kuiona barua ya msamaha-Mgonja

mgonjaNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam
ALIYEKUWA Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Gray Mgonja, amedai mahakamani kwamba akiwa madarakani hakuwahi kuziona barua zilizotoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) zikizuia Kampuni ya Alex Stewart kusamehewa kodi.
Mgonja alidai hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya jopo la mahakimu linaloongozwa na John Utamwa, Saul Kinemela na Sam Rumanyika.
Katibu Mkuu huyo wa zamani alikana kuziona barua hizo, alipoulizwa swali na Wakili wake, Profesa Leonard...

 

10 years ago

GPL

HUKUMU YA MRAMBA, MGONJA NA YONA YAPIGWA KALENDA

  Baadhi ya wasikilizaji wa kesi hiyo wakiwa kwenye chumba maalum kabla ya kuingia mahakamani. Ndugu wa Mgonja wakiteta jambo. Mgonja akiwafuatiwa na Mramba kwa nyuma wakitoka mahakamani muda mfupi baada ya kesi hiyo kuahirishwa.…

 

11 years ago

Mwananchi

Kesi ya Yona, Mramba, Mgonja kuendelea leo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo itaendelea kusikiliza kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara inayomkabili Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa zamani Nishati na Madini, Daniel Yona

 

10 years ago

GPL

HUKUMU YA YONA, MRAMBA NA MGONJA KUSIKILIZWA MUDA MFUPI UJAO

Gray Mgonja (mbele) akiwa na Basil Mramba (wa pili kushoto) wakiwa eneo la mahakama. HUKUMU ya aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Gray Mgonja na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona, itaanza kusikilizwa muda mfupi ujao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Watuhumiwa wote watatu tayari wamewasili mahakamani wakisubiri hukumu yao kuanza kusomwa...

 

10 years ago

GPL

HUKUMU YA MRAMBA, YONA NA MGONJA YAAHIRISHWA HADI JULAI 3, 2015

Basir Mramba (kulia), Gray Mgonja (kushoto) na Daniel Yona wakiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar. Habari: Denis Mtima na Brighton Masalu / GPL HUKUMU ya aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basir Mramba, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Gray Mgonja na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona imeahirishwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam hadi Julai 3, mwaka huu. Vigogo hao wanakabiliwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani