Sikuwahi kuiona barua ya msamaha-Mgonja
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
ALIYEKUWA Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Gray Mgonja, amedai mahakamani kwamba akiwa madarakani hakuwahi kuziona barua zilizotoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) zikizuia Kampuni ya Alex Stewart kusamehewa kodi.
Mgonja alidai hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya jopo la mahakimu linaloongozwa na John Utamwa, Saul Kinemela na Sam Rumanyika.
Katibu Mkuu huyo wa zamani alikana kuziona barua hizo, alipoulizwa swali na Wakili wake, Profesa Leonard...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania03 Sep
Nia Guzman: Sikuwahi kutoka na King Ba
LOS ANGELES MAREKANI
MAMA mtoto wa Chris Brown, Nia Guzman, ameweka wazi kwamba hakuwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na raia wa Brazil, King Ba ambaye alidai kuwa mtoto aliyezaa na mwanamuziki, Chriss Brown ni wake.
Awali msanii huyo alichafua hali ya hewa baada ya kutangaza kuwa ndiye baba wa mtoto huyo, Royalty ambaye ni mtoto wa Chris Brown.
“Sikuwa na uhusiano wowote na King Ba zaidi ya urafiki tu, habari zote ni uhongo, ukweli ni kwamba Chris ni baba sahihi wa mtoto huyo japokuwa nina...
9 years ago
Mramba18 Aug
DPP pushes for Mgonja
Daily News
THE Director of Public Prosecutions (DPP) has asked the High Court to convict Gray Mgonja of abuse of office and occasioning loss charges and order Basil Mramba and Daniel Yona to pay compensation of over 11.7bn/- to the government. In his written ...
10 years ago
Mtanzania16 Jun
Mzee Yusuf: Sikuwahi kumkimbia Khadija Kopa
NA RHOBI CHACHA
MFALME wa muziki wa taarabu, Mzee Yusuf, ameibuka na kuweka wazi kwamba hakuwahi kumkimbia Malkia wa muziki huo, Khadija Kopa, anayedai kwamba amekataa kushirikiana naye katika wimbo aliotaka.
Mzee Yusuf aliongeza kwamba ameshafanya nyimbo mbili na Kopa za kushirikiana, lakini Kopa anadai nyimbo hizo walikutanishwa na mashirika yaliyotaka kazi hizo zifanywe nao na si vinginevyo.
“Unajua mie nashangaa sana hizi habari, Khadija hajawahi kuniambia tufanye wimbo wa pamoja na...
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Mengi: Sikuwahi kuomba upendeleo vitalu vya gesi
9 years ago
Habarileo06 Dec
Mgonja asisitiza uadilifu Tanesco Saccos
KAIMU Naibu Mkurugenzi na Usambazaji wa Shirikia la Ugavi wa Umeme nchini (TANESCO), Sophia Mgonja amewaomaba viongozi wa chama cha kuweka na kukopa (SACCOS) cha shirika hilo kuwa waadilifu katika uendeshaji wa Saccos hiyo.
9 years ago
Mtanzania12 Nov
Magufuli kuiona Stars, Algeria
*Mecky Sadiki amwalika Kikwete
*Algeria yapata pigo jingine
THERESIA GASPER NA BADI MCHOMOLO, DAR ES SALAAM
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, anatarajia kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia mwaka 2018 nchini Urusi kati ya timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ dhidi ya Algeria ‘The Desert Foxes’, unaotarajiwa kuchezwa Jumamosi hii katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mchezo huo utakuwa wa kwanza kuhudhuriwa na Rais huyo mpya tangu...
10 years ago
Bongo Movies22 Dec
Wolper: Sikuwahi Kuvaa Nguo Fupi...Lakini Leo Beach..!!!!
Mrembo na mwigizaji wa kike wa filamu hapa nchini, Jackline Masawe “Wolper” amekuwa akisifiwa kwa kuvaa nguo za heshima ukilinganisha na mavazi wanayovaa baadhi ya mastaa wengine hapa Bongo wakiwa mitaani au kwenye burudani.Sasa jana mrembo huyu akatupia picha hizi akiwa beach amevalia ka-pensi keupe huku juu amavalia brauzi nyeusi na kofia nyeupe kichwanina huku akicheza na ka-"DOG" ..Kisha akawaandikia hivi mashabiki wake;
"Sikuwahi kuvaa nguo fupi wakati naenda kanisani au sokoni nawakati...
10 years ago
GPLHUKUMU YA MRAMBA, MGONJA NA YONA YAPIGWA KALENDA
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Kesi ya Yona, Mramba, Mgonja kuendelea leo