Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nia Guzman: Sikuwahi kutoka na King Ba

Nia GuzmanLOS ANGELES MAREKANI

MAMA mtoto wa Chris Brown, Nia Guzman, ameweka wazi kwamba hakuwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na raia wa Brazil, King Ba ambaye alidai kuwa mtoto aliyezaa na mwanamuziki, Chriss Brown ni wake.

Awali msanii huyo alichafua hali ya hewa baada ya kutangaza kuwa ndiye baba wa mtoto huyo, Royalty ambaye ni mtoto wa Chris Brown.

“Sikuwa na uhusiano wowote na King Ba zaidi ya urafiki tu, habari zote ni uhongo, ukweli ni kwamba Chris ni baba sahihi wa mtoto huyo japokuwa nina...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

JB Ashangazwa na Wanaowaponda Watangaza Nia Kutoka Bongo Movies

Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ anawashaanga baadhi ya watu wanaowashambulia na kuwanaoponda kwa maneno wasanii wa bongo movies waliojitokeza kutangaza nia ya kugombea nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa instagram, JB aliandika; Nashangaa sana watu wanao toa matusi na maneno ya kejeli kwa wasanii waliotia nia.nasema mnatukosea.sio haki...kama unaona humkubali ni vyema ukanyamaza waachie wapiga kura wa jimbo...

 

10 years ago

BBCSwahili

El Chapo Guzman atoroka jela Mexico

Aliyekuwa kiongozi wa kundi linaloendesha biashara ya madawa ya kulevya nchini Mexico El Chapo Guzman ametoroka jela

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakamatwa baada ya Guzman kutoroka jela

Mexico imewakamata watu 13 ambao wamehusishwa na kutoroka jela kwa mlanguzi mkubwa wa madawa ya kulevya Joachim Guzman

 

10 years ago

Raia Tanzania

Rushwa ya uchaguzi, Guzman na hatima yetu

UCHAGUZI wa mwaka huu umehusisha na unaendelea kuhusisha matumizi makubwa ya fedha ambazo nyingi hazina maelezo, hali inayowatia shaka watu makini kiasi cha kushindwa kuelewa kama kweli pesa hizi zinazotumika ovyo namna hii, zinaweza kuwa zinatoka kwenye vyanzo halali.

Lakini hoja si tu kwamba pesa hizi zinatokana na vyanzo gani lakini vipi pesa hizi zikiweza kuwaweka viongozi madarakani ambao ni mazao ya pesa hizi haramu, ni nini utakuwa mustakabali wa taifa letu?

Wananchi nao...

 

9 years ago

BBCSwahili

Ndege 11 zanaswa katika operesheni ya kumsaka Guzman

Waendesha mashtaka nchini Mexico, wametwaa ndege 11, silaha mbalimbali na mihadarati, wakati wa operesheni kali ya kumsaka Guzman

 

10 years ago

Vijimambo

SAUDI ARABIA WAMZIKA KING WAO ''KING ADBULLAH''


Obama Receives Gold Necklace From Saudi King AbdullahThe late Saudi king - pictured here with President Obama in 2010 - had been in hospital since December''Saudi King Abdullah was buried in an unmarked grave in Riyadh following his funeral this afternoon, less than a day after he died''The body of King Abdullah has been buried in an unmarked grave in Riyadh less than 24 hours after his death plunged Saudi Arabia into mourning.Family, friends and dignitaries from the Arab world crowded...

 

10 years ago

Mtanzania

Sikuwahi kuiona barua ya msamaha-Mgonja

mgonjaNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam
ALIYEKUWA Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Gray Mgonja, amedai mahakamani kwamba akiwa madarakani hakuwahi kuziona barua zilizotoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) zikizuia Kampuni ya Alex Stewart kusamehewa kodi.
Mgonja alidai hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya jopo la mahakimu linaloongozwa na John Utamwa, Saul Kinemela na Sam Rumanyika.
Katibu Mkuu huyo wa zamani alikana kuziona barua hizo, alipoulizwa swali na Wakili wake, Profesa Leonard...

 

9 years ago

Bongo5

Music: King Poza Ft Sultan King — Nampenda

Msanii King Pozza toka Zanzibar ameachia wimbo mpya unaitwa “Nampenda” amemshirikisha Sultan King Producer Aloneym. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Mtanzania

Mzee Yusuf: Sikuwahi kumkimbia Khadija Kopa

Mzee Yusuf new.jpg 2NA RHOBI CHACHA
MFALME wa muziki wa taarabu, Mzee Yusuf, ameibuka na kuweka wazi kwamba hakuwahi kumkimbia Malkia wa muziki huo, Khadija Kopa, anayedai kwamba amekataa kushirikiana naye katika wimbo aliotaka.
Mzee Yusuf aliongeza kwamba ameshafanya nyimbo mbili na Kopa za kushirikiana, lakini Kopa anadai nyimbo hizo walikutanishwa na mashirika yaliyotaka kazi hizo zifanywe nao na si vinginevyo.
“Unajua mie nashangaa sana hizi habari, Khadija hajawahi kuniambia tufanye wimbo wa pamoja na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani