Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dr Shein umeshindwa kuongoza nyoyo zetu

Na Rashid Abdallah Nguli wa fasihi ya Kiswahili, almarhuum bwana Shaaban Robert, aliwahi kusema hivi; “Ukitaka kuongoza watu basi ongoza nyoyo zao”. Tafsiri ya maneno haya iko wazi, lakini niongezee kwa urefu kuwa huwezi kumuongoza binaadamu […]

The post Dr Shein umeshindwa kuongoza nyoyo zetu appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

HESHIMA NA TABIA NJEMA HUJENGEKA KWENYE NYOYO ZA WATU- DR.SHEIN

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif, Waziri wa Habari,utamaduni, Utalii na Michezo Mh. Said Ali Mbarouk pamoja na washabiki wa Tamasha wakimshangiria Kiongozi wa Ngoma ya Utamaduni ya Lelemama akifanya vitu vyake wakati wa uzinduzi wa Tamasha la Utamaduni wa Mzanibari.  Vazi lenye asili ya watu wa Kitumbatu walilokuwa wakilitumia wakati wakielekea mashambani huku mwana Mama anatembea akisuka ukili kuashiria ufundi wa utamaduni wa asili.  Muimbaji mahiri wa Visiwa vya Comoro al...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uandikishaji kwa Elektroniki umeshindwa?

Upinzani umeitaka Serikali ya Tanzania kuachana na mpango wa uandikishaji kwa njia ya Elektroniki, BVR

 

9 years ago

Habarileo

Ziara ya kushtukiza yakonga nyoyo

WAKAZI wa jiji la Mwanza wamempongeza Rais Dk John Magufuli kwa namna alivyoanza kazi kwa kufanya ziara ya kushtukiza juzi Wizara ya Fedha na kusifu aina hiyo ya utendaji kazi .

 

11 years ago

Habarileo

JK akonga nyoyo za wasomi, wanasiasa

WASOMI, wanasiasa pamoja na viongozi mbalimbali vya dini wamepongeza hotuba iliyotolewa juzi na Rais Jakaya Kikwete wakati akizindua Bunge Maalum la Katiba huku wajumbe wa bunge hilo wakitakiwa kuzingatia maoni ya Rais wanapojadili Rasimu ya pili ya Katiba hiyo.

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA JANETH MAGUFULI AKONGA NYOYO ZA WATANZANIA

 Mke wa Mgombea Urais wa CCM,Mama Janeth John Magufuli akiwasalimia wananchi wa Chato na kuwaomba ridhaa ya kumchagua mumewe Dkt John Pombe Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika awamu ya tano,kwenye  uchaguzi mkuu unaotarajiwa wa Oktoba 25 mwaka huu. Mara bada ya kuhutubia chumba chetu cha habari kilihemewa na simu za wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi kuelezea furaha yao sio tu kwa kumuona jukwaani bali pia kwa kuongea kwa kujiamini. Mama Magufuli amekuwa...

 

10 years ago

Michuzi

Uzinduzi wa Video mbili za Professa J ulivyokonga nyoyo za mashabiki


Nguli wa Muziki wa Kizazi kipya, Joseph Haule a.k.a Professa J jana aliweza kufanya vyema katika uzinduzi wa video zake mbili, 'Kipi Sijakisikia' na 'Tatu Chafu' uliofanyika jijini Dar es Salaam. Uzinduzi huo uliweza kuhudhuriwa na wasanii mbali mbali ambao walikuja kumpa support. PICHA ZOTE NA CATHBERT KAJUNA WA KAJUNASON BLOG.Msanii Professa J akitoa burudani.Msanii Professa J akizindua video zake.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

GPL

2O PERCENT AIBUKIA MORO, AKONGA NYOYO ZA MASHABIKI WAKE!

Mkali wa Bongo Fleva, Abbas Kinzasa a.k.a 20 Percent akitoa burudani. Mkali wa Bongo Fleva, Abbas Kinzasa a.k.a 20 Percent akiwa na bendi yake ya Mwakaulwi Sound.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Tamasha la Nyama Choma lakonga nyoyo za wana Dar

Fans posing for Heineken

Fans posing for Heineken.

The Nyama Choma Festival ended in style last Saturday with thousands of consumers being treated to a variety of sumptuous flame grilled meats. Held at the Leaders Grounds  in Dar es Salaam the event, organised by Carol Ndosi, brought together meat lovers for an afternoon of fun, music and relaxation.

Revellars started flowing in their hundreds from around 3pm while the event lasted till late. There two different stages set up, one for FM Academia music fans, on...

 

10 years ago

GPL

DC MAKONDA AKONGA NYOYO ZA MAMIA KATIKA SEMINA YA GWT

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akijiandaa kwa mahojiano. Makonda (wa kwanza kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo na mkewe Bi. Veneranda Ephraimu Kavishe wakimfutailia MC Pilipili. Shigongo akizungumza na wahudhuriaji.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani