Uandikishaji kwa Elektroniki umeshindwa?
Upinzani umeitaka Serikali ya Tanzania kuachana na mpango wa uandikishaji kwa njia ya Elektroniki, BVR
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Tiketi za elektroniki ni ishara nzuri kwa soka
9 years ago
Mzalendo Zanzibar21 Sep
Dr Shein umeshindwa kuongoza nyoyo zetu
Na Rashid Abdallah Nguli wa fasihi ya Kiswahili, almarhuum bwana Shaaban Robert, aliwahi kusema hivi; “Ukitaka kuongoza watu basi ongoza nyoyo zao”. Tafsiri ya maneno haya iko wazi, lakini niongezee kwa urefu kuwa huwezi kumuongoza binaadamu […]
The post Dr Shein umeshindwa kuongoza nyoyo zetu appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9vlo4bVhdHw/VSzH-zCXbRI/AAAAAAAHRC8/Lebko5qFOyE/s72-c/stock-photo-computer-mobility-internet-communication-and-cloud-computing-concept-white-laptop-with-cloud-of-133005893.jpg)
Umuhimu wa kudhibiti matumizi ya vyombo vya elektroniki kwa watoto na vijana
![](http://3.bp.blogspot.com/-9vlo4bVhdHw/VSzH-zCXbRI/AAAAAAAHRC8/Lebko5qFOyE/s1600/stock-photo-computer-mobility-internet-communication-and-cloud-computing-concept-white-laptop-with-cloud-of-133005893.jpg)
Zaidi ya asilimia 60 ya watoto wenye umri wa miaka 13 hadi 17 wanatumia zaidi ya masaa mawili kila siku kuangalia mitandao ya kijamii pamoja na vipindi mbalimbali vya Televisheni. Hii inaweza kuwa njia kubwa ya kuunganisha, lakini pia kuna hatari zinazohusiana na kutumia muda mwingi sana kwenye vyombo vya habari kijamii.
Leo hii ni nadra kukuta familia ambazo watoto na vijana wake hawajaathirika na vyombo vya habari na elektroniki kama vile televisheni, intaneti na michezo mingine tofauti...
11 years ago
MichuziOEF yaendelea na mpango wa kuwawezesha wanafunzi kusoma kwa njia ya elektroniki
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Uandikishaji BVR waisha kwa changamoto
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Zoezi la Uandikishaji kwa BVR lisitishwe
10 years ago
Tanzania Daima24 Nov
Uandikishaji serikali za mitaa waanza kwa kusua
JANA ikiwa ni siku ya kwanza ya uandikishaji wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 14 mwaka huu, Tanzania Daima imebaini mwitikio wa wananchi...
10 years ago
Habarileo25 Feb
Uandikishaji kwa mfumo wa BVR wavuka lengo
UANDIKISHAJI katika Daftari la Kudumu la Wapiga kwa kutumia mfumo mpya wa Biometric Voters Registration (BVR) umezinduliwa rasmi na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ukitajwa kuanza kwa mafanikio makubwa kutokana na idadi iliyojitokeza kuanzia juzi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jElYEBM0WyM/VTiacgiltUI/AAAAAAAHSuE/ZmOP_O6jrJ4/s72-c/unnamed%2B(2)%2B(1).jpg)
Habari njema kwa WanaBlogu waTanzaniania juu Uandikishaji Wanachama TBN
![](http://4.bp.blogspot.com/-jElYEBM0WyM/VTiacgiltUI/AAAAAAAHSuE/ZmOP_O6jrJ4/s1600/unnamed%2B(2)%2B(1).jpg)
Sifa kuu kwa mwanachama ni kuwa na blog ambayo ina umri wa miezi sita tangu ianze kuendeshwa mfululizo. Kwa wa kazi wa Dar es Salaam wenye sifa ambao wanataka kujiunga...