Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dr Willibroad Slaa resigns

Finally Chadema Secretary General Dr Willibroad Slaa has publicly announced he has quitted politics but promised to serve Tanzanians independently without joining any political party.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Mjue DK Willibroad Slaa: Katibu Mkuu wa Chadema

Historia yakeDk Willibrod Slaa ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Slaa alizaliwa Oktoba 29, 1948 kijijini Kwermusi, Wilaya ya Mbulu (Oktoba atafikisha umri wa miaka 67). Slaa alisoma Shule ya Msingi Kwermusi iliyoko wilayani Mbulu mwaka 1958-1961 na baadaye Shule ya Kati (Middle School) ya Karatu kati ya mwaka 1962-1965.Baada ya darasa la nne, Dk Slaa alijiunga na Seminari ya Dung’unyi mkoani Singida mwaka 1966-1969 na kusoma sekondari, kisha akaendelea na masomo...

 

10 years ago

Michuzi

Dk. Willibroad Slaa atua mwanza kuwatambulisha lembeli na bulaya leo

 Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk. Willibroad Slaa akiwa kwenye gari katika msafara wa mapokezi kwa ajili ya mkutano wa hadhara wa kuwatambulisha Mbunge wa Kahama, James Lembeli na Mbunge wa Viti Maalumu, Ester Bulaya waliohamia Chadema wakitokea CCM jana jijini Mwanza. Msafara ukiendelea kuelekea uwanjani sasaMbunge wa Jimbo la Kahama, mkoani Shinyanga, James Lembeli (kushoto) na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Taifa, John Mnyika, wakiwapungia wananchi mikono...

 

10 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI URAIS: DK Willibroad Slaa: Katibu Mkuu wa Chadema

Historia yake Dk Willibrod Slaa ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Slaa alizaliwa Oktoba 29, 1948 kijijini Kwermusi, Wilaya ya Mbulu (Oktoba atafikisha umri wa miaka 67). Slaa alisoma Shule ya Msingi Kwermusi iliyoko wilayani Mbulu mwaka 1958-1961 na baadaye Shule ya Kati (Middle School) ya Karatu kati ya mwaka 1962-1965.

 

9 years ago

Vijimambo

MKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA


Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...

 

11 years ago

BBC

SA MP resigns over fake degree

Top South African politician and anti-apartheid activist Pallo Jordan resigns an MP after it was revealed his academic qualifications were fake.

 

10 years ago

BBC

Burkina Faso's president resigns

Burkina Faso's President Blaise Compaore resigns following violent protests, with army chief Honore Traore taking over as head of state.

 

11 years ago

BBC

Gorowa resigns as Zimbabwe coach

Ian Gorowa quits as Zimbabwe coach over differences with the country's football association and non-payment of his salary.

 

11 years ago

BBC

Ally of Nigeria's president resigns

A close ally of Nigeria's President Goodluck Jonathan, Bamanga Tukur, resigns as chairman of the governing People's Democratic Party (PDP).

 

10 years ago

Daily News

Lipumba resigns from CUF leadership


IPPmedia
Lipumba resigns from CUF leadership
Daily News
THE coalition of main opposition parties (UKAWA) yesterday suffered a big blow, after Civic United Front (CUF) National Chairman, Professor Ibrahim Lipumba, resigned from the leadership of his party. Prof Lipumba accused the co-leaders of the coalition ...
Tanzania's opposition leaders step down to protest candidate choiceReuters Africa
Music and Politics Forever IntertwinedAllAfrica.com
Tanzania's October election offers choice of improved...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani