Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Drama za wake zangu zimeniharibia birthday yangu – Mzee Yusuf

c550a130-7ce7-4016-921c-39cc68928eb0-1

Muimbaji wa muziki wa Taarab nchini, Mzee Yusuf amesema Jumanne hii ameshindwa kuifurahia siku yake ya kuzaliwa kutokana na wake zake Chiku na Leila kutupiana maneno ya kashfa katika mitandao ya kijamii.

c550a130-7ce7-4016-921c-39cc68928eb0-1

Akizungumza katika kipindi cha Leo Tena cha Clouds, Mzee Yusuf alisema hajafurahishwa na tabia hiyo na endapo itaendelea atachukua hatua kali dhidi yao.

“Kwa ufupi mimi furaha sina katika siku yangu ya kuzaliwa, sina raha hata kidogo,”alisema.

“Sio vitu vizuri sifurahii huwa najaribu...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Kutokana na Malumbano Yao Mitandaoni, Mzee Yusuf Asema Haya Kwa Wake Zake

MZEE YUSUPH-1

Jana ilikuwa siku ya kuzaliwa Mzee Yusuf,kumekuwa na malumbano ya mara kwa mara kwenye mitandao ya kijamii kati ya wake zake wawili Leila na Chiku,Mzee Yusuf amesema hafurahishi na malumbano hayo…

‘’Sio vitu vizuri sifurahii huwa najaribu kuwaaambia sijui hawa wake zangu wananionaje ,pengine hawajui kuwa mimi ni mume wao hawanipi heshima yangu na hasa huyo anayetaka kufanya mambo ya vituko,binafsi sipendi na huwa sifurahii na najaribu kuwaasa tena kwenye Instagram huwa nawaambia waangalie...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mzee Yusuf kutikisa na filamu

MFALME wa Muziki wa taarabu Nchini, Mzee Yusuf, anatarajia kuachia filamu yake ya kwanza mwezi huu itakayokwenda kwa jina la ‘Nitadumu naye’ ikiwa ni nyimbo iliyowahi kutamba  nayo mwaka 2006....

 

11 years ago

GPL

TUZO ZA MZEE YUSUF ZATEKWA

Shabiki aliyeteka tuzo za Mzee Yusuf akibishana na watu wa karibu wa Mzee Yusuf. Stori: Shakoor Jongo
KITUKO! Shabiki mmoja ambaye jina lake halikupatikana mara moja, alifanya jaribio la kuteka moja ya tuzo za Mfalme wa Muziki wa Taarab Bongo, Mzee Yusuf katika ukumbi wa Mlimani City, Dar ambapo shughuli za utolewaji wa tuzo hizo kwa wasanii zilifanyika wikiendi iliyopita. Mzee aliye Mkurugenzi wa Bendi ya Jahazi Modern...

 

11 years ago

TheCitizen

Diamond is No. 1, ‘seconded’ by Mzee Yusuf

We start with taking a look at the way scribblers misdirect themselves by using inappropriate or even wrong words. It exposes our limitedness in vocabulary.

 

9 years ago

GPL

BAUNSA WA MZEE YUSUF ALIVYOPIGWA RISASI

Mayasa Mariwata na Gabriel Ng’osha
HATARI! Jamaa maarufu kwa jina la Hassan Baunsa ambaye ni baunsa wa mwanamuziki wa Taarab Bongo, Mzee Yusuf ‘Mfalme’, amenusurika baada ya kupigwa risasi na shabiki aliyefahamika kwa jina mmoja la Kev, Ijumaa Wikienda lina mkanda kamili.  Hassan Baunsa akiwa hospitali. Tukio hilo la kutisha lilijiri juzikati kwenye Ukumbi wa Hugos uliopo mjini Moshi mkoani Kilimanjaro...

 

10 years ago

Mtanzania

Mzee Yusuf: Sikuwahi kumkimbia Khadija Kopa

Mzee Yusuf new.jpg 2NA RHOBI CHACHA
MFALME wa muziki wa taarabu, Mzee Yusuf, ameibuka na kuweka wazi kwamba hakuwahi kumkimbia Malkia wa muziki huo, Khadija Kopa, anayedai kwamba amekataa kushirikiana naye katika wimbo aliotaka.
Mzee Yusuf aliongeza kwamba ameshafanya nyimbo mbili na Kopa za kushirikiana, lakini Kopa anadai nyimbo hizo walikutanishwa na mashirika yaliyotaka kazi hizo zifanywe nao na si vinginevyo.
“Unajua mie nashangaa sana hizi habari, Khadija hajawahi kuniambia tufanye wimbo wa pamoja na...

 

10 years ago

GPL

MZEE YUSUF KUACHIA MPYA DAR LIVE

Mfalme wa muziki wa taarab Mzee Yusuf. MFALME Mzee Yusuf amerudi tena ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar ambapo Aprili 25, mwaka huu anatarajia kuachia ngoma mpya. Akizungumza na Over The Weekend, Mzee Yusuf anayebamba kunako miondoko ya Taarab alisema kuwa anawashukuru mashabiki kwa kuweza kumudu kwenye muziki kwa muda mrefu na zawadi kubwa atakayoitoa siku hiyo ni wimbo mpya uitwao...

 

10 years ago

Mwananchi

Diamond na Mzee Yusuf kuumana Dar Live

 Wapenzi wa burudani ya muziki wa kizazi kipya na muziki wa taarabu watapata burudani ya funga mwaka kutoka kwa gwiji wa muziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz na mfalme wa muziki wa taarabu, Mzee Yusuf watapanda jukwaa moja katika ‘Tamasha Wafalme’ litakalofanyika katika Ukumbi wa Dar Live, Mbagala.

 

10 years ago

Bongo5

Mzee Yusuf kumshirikisha Diamond kwenye ngoma mpya

Tangu atoe wimbo wake ‘Nasema Nawe’, Diamond Platnumz anaonekana kukubalika sana kwenye jumuiya ya wanamuziki wa Taarab na Mduara nchini. Baada ya kumshirikisha Malkia wa Mipasho, Khadija Kopa, huenda Diamond akasikika tena kwenye wimbo wa Mzee Yusuf. Akiongea kwenye kipindi cha Ng’ari Ng’ari cha Clouds TV, Mzee Yusuf alisema huenda akamshirikisha Diamond kwenye wimbo uitwao […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani