Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kutokana na Malumbano Yao Mitandaoni, Mzee Yusuf Asema Haya Kwa Wake Zake

MZEE YUSUPH-1

Jana ilikuwa siku ya kuzaliwa Mzee Yusuf,kumekuwa na malumbano ya mara kwa mara kwenye mitandao ya kijamii kati ya wake zake wawili Leila na Chiku,Mzee Yusuf amesema hafurahishi na malumbano hayo…

‘’Sio vitu vizuri sifurahii huwa najaribu kuwaaambia sijui hawa wake zangu wananionaje ,pengine hawajui kuwa mimi ni mume wao hawanipi heshima yangu na hasa huyo anayetaka kufanya mambo ya vituko,binafsi sipendi na huwa sifurahii na najaribu kuwaasa tena kwenye Instagram huwa nawaambia waangalie...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Dully awakusanya Diamond, Christian Bella na Mzee Yusuf kwenye ngoma zake mbili mpya

Dully

Baada ya kuachia kolabo yake akiwa na vijana wa Yamoto Band, Dully Sykes anatarajia kuachia kolabo zake nyingine mbili ambapo moja akiwa na Diamond na nyingine akiwa na Christian Bella na Mzee Yusuf.

Dully

Akizungumza na kipindi cha Siz Kitaa kinachoruka kupitia Clouds TV, Dully alisema tayari ameshafanya nyimbo nyingi akiwa peke yake na wakati huu ni wa kolabo.

“Mimi nimefanya nyimbo nyingi sana mwenyewe na nyingi zimefanya vizuri. Kwahiyo sasa hivi mimi natoa nyimbo ambazo nimeshirikiana. Baada...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kutokana na Ushiriki Hafifu wa Wasanii Kwenye Msiba Wa Diffender, Sumaku Asema Haya

Mwenyekiti wa Chama cha Wachekeshaji (Tanzanian Comedian Association) Habib Mkamba ‘Sumaku’ amewapongeza wasanii hao kwa kujitolea katika kumuuguza msanii mwenzao hadi kifo chake Fadhil Said almaarufu kama Diffender, amedai kuwa pamoja na kutengwa na wasanii wengine lakini walijitoa.

Nawashukru na kuwapongeza kwa wale wasanii wa Komedi ambao tumejitoa kupigania afya ya marehemu Difenda, niliwahi kusema kila anapofariki mwenzetu kuna mwingine yupo njiani tusiposhirikiana ni...

 

10 years ago

Bongo Movies

Leo Ikiwa ni Siku ya Kuzaliwa kwa Meneja Wake, Wema Asema Haya...

Meneja wa staa na mrembo  Wema Sepetu, Martin Kadinda leo anasherekea siku yake ya kuzaliwa na hiki ndicho Wema alichotoboa mara baada ya kubandika picha hiyo akiwa na Kadinda.

“I think da picture speaks for itself... My kaka Manager.....!!! I thank the good Lord for you cause only he knows wat i would’ve bin without you.... My very own Shadow... I dont call you The Man behind Wema Sepetu for nothing but because you truly are that One person standing behind me and Iam The luckiest girl to...

 

10 years ago

Bongo Movies

Leo Ikuwa ni Siku ya Kuzaliwa kwa Meneja Wake, Wema Asema Haya...

Meneja wa staa na mrembo  Wema Sepetu, Martin Kadinda leo anasherekea siku yake ya kuzaliwa na hiki ndicho Wema alichotoboa mara baada ya kubandika picha hiyo akiwa na Kadinda.

“I think da picture speaks for itself... My kaka Manager.....!!! I thank the good Lord for you cause only he knows wat i would’ve bin without you.... My very own Shadow... I dont call you The Man behind Wema Sepetu for nothing but because you truly are that One person standing behind me and Iam The luckiest girl to...

 

9 years ago

Bongo5

Drama za wake zangu zimeniharibia birthday yangu – Mzee Yusuf

c550a130-7ce7-4016-921c-39cc68928eb0-1

Muimbaji wa muziki wa Taarab nchini, Mzee Yusuf amesema Jumanne hii ameshindwa kuifurahia siku yake ya kuzaliwa kutokana na wake zake Chiku na Leila kutupiana maneno ya kashfa katika mitandao ya kijamii.

c550a130-7ce7-4016-921c-39cc68928eb0-1

Akizungumza katika kipindi cha Leo Tena cha Clouds, Mzee Yusuf alisema hajafurahishwa na tabia hiyo na endapo itaendelea atachukua hatua kali dhidi yao.

“Kwa ufupi mimi furaha sina katika siku yangu ya kuzaliwa, sina raha hata kidogo,”alisema.

“Sio vitu vizuri sifurahii huwa najaribu...

 

10 years ago

Vijimambo

LINAH SANGA ATOA KALI.. ATOA MAKAVU LIVE, ASEMA WEZI WA MABWANA ZAKE WAJIPANGE NA KWA MNIGERIA WAKE...


LINAH SANGA ATOA KALI.. ATOA MAKAVU LIVE, ASEMA WEZI WA MABWANA ZAKE WAJIPANGE NA KWA MNIGERIA WAKE...Linah amesema anatarajia kumtangaza rasmimpenzi wake mpya ambaye amedai ni msaniimkubwa wa nchini Nigeria.LinahAkizungumza na kipindi cha Planet Bongo chaEast Africa Radio, Linah alisema anampendampenzi wake huyo mpya na kwamba siku ikifika,ataamua kumweka wazi ili mashabikiwamtambue.“Uhusiano wangu mpya ni wa msanii mkubwasana, yaani huyo nampenda na hii sio project iporeal, mtamuona tu...

 

11 years ago

Mwananchi

Malumbano haya Mchakato wa Katiba hayatusaidii

Zikiwa zimebaki siku chache kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kukabidhi rasimu ya pili ya katiba hiyo ambayo itakwenda kujadiliwa na Bunge la Katiba, baadhi ya wakongwe wanaendelea kutoa maoni yao kuhusu mchakato huo.

 

11 years ago

GPL

MZEE SMALL ASEMA RAIS KIKWETE NI MTU WAKE WA POWER - 4

*Amuomba akipata nafasi siku moja, akamtupie jicho pale Tabata
Na Saleh Ally
JUZI Jumatano, Mzee Small alieleza namna alivyoshindwa kuvumilia na kumtimua mganga aliyekuwa akimtibu tena kwa kumshikia panga, hali hiyo ilitokana na wao kutoelewana. Nini kilifuata baada ya hapo? Endelea na Mzee Small… Rais Jakaya Kikwete. HATA hivyo haikuwa kazi rahisi Mzee Small kumfukuza mganga huyo kwa kuwa mkewe Mama Said alijaribu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani