Malumbano haya Mchakato wa Katiba hayatusaidii
Zikiwa zimebaki siku chache kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kukabidhi rasimu ya pili ya katiba hiyo ambayo itakwenda kujadiliwa na Bunge la Katiba, baadhi ya wakongwe wanaendelea kutoa maoni yao kuhusu mchakato huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Tulitarajia haya kwenye Mchakato wa Katiba
10 years ago
Mwananchi12 May
Malumbano haya ya Maalim Seif na ZEC yanaitia doa Z’bar
9 years ago
Bongo Movies06 Jan
Kutokana na Malumbano Yao Mitandaoni, Mzee Yusuf Asema Haya Kwa Wake Zake
Jana ilikuwa siku ya kuzaliwa Mzee Yusuf,kumekuwa na malumbano ya mara kwa mara kwenye mitandao ya kijamii kati ya wake zake wawili Leila na Chiku,Mzee Yusuf amesema hafurahishi na malumbano hayo…
‘’Sio vitu vizuri sifurahii huwa najaribu kuwaaambia sijui hawa wake zangu wananionaje ,pengine hawajui kuwa mimi ni mume wao hawanipi heshima yangu na hasa huyo anayetaka kufanya mambo ya vituko,binafsi sipendi na huwa sifurahii na najaribu kuwaasa tena kwenye Instagram huwa nawaambia waangalie...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-71Zz7f_raxc/U-R3H6lyEJI/AAAAAAAF90Q/0QBAX0LOi14/s72-c/unnamed+(5).jpg)
KATIBA HAITAPATIKANA KWA MALUMBANO,MABISHANO WALA MAANDAMANO - KISABYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-71Zz7f_raxc/U-R3H6lyEJI/AAAAAAAF90Q/0QBAX0LOi14/s1600/unnamed+(5).jpg)
Mhe Kisabya alisema, "mpaka sasa wajumbe wa bunge wanasiasa wamekuwa wakijadili nafasi za kisiasa za utawala na kusahau kuwa kuna mambo mazuri muhimu yanayohusu wananchi"Akitoa mfano kuwa suala la idadi ya SERIKALI ni jambo la kuamua lakini masuala...
11 years ago
Michuzi28 Jul
SHEIKH OMARY AMPONGEZA JK KWA MCHAKATO WA KATIBA AONYA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA
Sheikh wa msikiti wa Hidaya katika manispaa ya ...
10 years ago
Mwananchi22 Feb
MCHAKATO KATIBA MPYA: Hamad: Kwa nini Wazanzibari wanapaswa kupitisha Katiba
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0362.jpg?width=650)
MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA WAZUNGUMZIA MCHAKATO KATIBA MPYA
10 years ago
Vijimambo18 Oct
MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA KURA YA MAONI KUHUSU KATIBA INAYOPENDEKEZWA
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/7/78/Chadema_bendera.jpg)
UTANGULIZI
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imekutana katika kikao chake cha kawaida na kujadili, pamoja na mambo mengine, mchakato wa Katiba Mpya. Kamati Kuu imepata taarifa ya kina juu ya mchakato ulivyoendeshwa katika hatua mbali mbali wakati wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na marekebisho yake na, baadaye, Sheria ya Kura ya Maoni.
Aidha, Kamati Kuu imepata taarifa ya mchakato ulivyokuwa katika hatua ya kuundwa kwa Tume...
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Tathmini:Mchakato wa katiba ya TZ