DRC yatangazwa kuudhiditi kabisa ugonjwa wa Ebola eneo la Mashariki
Zaidi ya watu 200 wamepoteza maisha katika eneo ambalo kumekuwa na mzozo ambao umesababisha kuwepo kwa hali ya kutoaminiana.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili07 Jun
30 wauawa Mashariki mwa DRC
Takriban watu 30 wakiwemo watoto na wanawake wameuawa katika mapigano Mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo.
11 years ago
BBCSwahili26 Dec
Watu 40 wauawa Mashariki mwa DRC
Ripoti kutoka Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo zinasema kuwa raia 40 wameuawa kwenye mapigano mjini Kamango
10 years ago
Vijimambo14 Nov
JWTZ YAFAFANUA KILICHOTOKEA BENI, MASHARIKI MWA DRC
![](https://3.bp.blogspot.com/-puWaxTe_WrA/VGSyTPTj0pI/AAAAAAAANDc/0dfj2Vbh6gg/s320/masanja-JWTZ.jpg)
10 years ago
Michuzi23 Aug
MKUTANO KATI YA WIZARA NA WANAFUNZI WANAOSOMA MASHARIKI MWA UKRAINE HUSUSANI ENEO LA LUGANSK
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inawatangazia wanafunzi wote wa Tanzania wanaosoma katika vyuo vya Lugansk, Ukraine na maeneo mengine Chini ya Ufadhili wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ambao hivi sasa wako likizo hapa nchini kuwa kutakuwepo na mkutano kujadili, pamoja na mambo mengine, hali ya usalama na hatua za kuchukua kabla ya kurudi Lugansk kuendelea na masomo, mwezi Septembea, 2014.
Mkutano huo utafanyika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, siku ya Jumatano, tarehe 3...
Mkutano huo utafanyika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, siku ya Jumatano, tarehe 3...
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Hofu ya Ebola DRC
Watu wanne wamefariki dunia wakiwa na dalili za ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
9 years ago
Bongo510 Sep
Nacheka lakini sina furaha ila najua kabisa mpango wao kwangu ni kuniua kabisa nipotee — Ray C
Sio mara ya kwanza kwa Rehema Chalamila a.k.a Ray C kulalamika kuhusu kunyimwa dawa ya Methadone ambayo amekuwa akiitumia ili kumsaidia kuondokana na addiction ya dawa za kulevya, lakini safari hii ametumia ukurasa wake wa Instagram kulalamika kuwa ameonewa tena japo hakuweka wazi alichofanyiwa. Ray C alianza kupost picha akiwa kwenye gari na kuadika; “NIKIWA […]
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Ebola yazua kasheshe DRC
Licha ya kuzuka homa ya Ebola Afrika Magharibi, baadhi nchini (DRC) wanafikiri maradhi hayo ni uongo mtupu.
10 years ago
Habarileo26 Aug
Ebola yapiga hodi DRC
SERIKALI ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), imebaini kuwepo kwa mlipuko wa maradhi ya homa kali maeneo ya Kaskazini mwa nchi hiyo, ambayo sasa imethibitika kuwa ni ugonjwa wa ebola.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania