Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DStv Bomba Yazinduliwa Tanzania

MultiChoice Africa ina furaha kuwatangazia kuwa imezindua kifurushi kipya maalumu    kwa watanzania. Kifurushi hiki kimetengenezwa mahususi kwa watanzania kikiwa na      chaneli zaidi 65 za kitaifa na kimataifa zitakazotoa burudani  pekee kwa familia za  kitanzania.
Kifurushi hiki kipya cha Bomba kina chaneli nyingi nzuri ikiwemo chaneli iliyozinduliwa   hivi karibuni ya Maisha Magic Swahili inayoonyesha filamu za kitanzania; chaneli ya  Telemundo inayojulikana kwa michezo ya kuigiza ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MULTICHOICE YAZINDUA ‘DSTV BOMBA’

Kambogi akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakisikiliza kwa makini huduma mpya za DStv Bomba. Mhariri wa gazeti la Championi, John Joseph (kulia) akiuliza swali.…

 

9 years ago

GPL

MULTICHOICE YAJA NA DSTV BOMBA, DIAMOND ALA SHAVU

Meneja Mipango wa DStv, Baraka Shelukindo, akifafanua jinsi huduma ya Dstv Bomba inavyofanya kazi. Balozi wa DStv Bomba, Diamond Platnumz akisistiza jambo wakati akiwataka wananchi kujanjaruka na kutumia huduma za DStv na kutozihofia kama zamani kwa kuhisi ni huduma za watu wa kipato cha juu. Mapaparazi na wadau wengine wakisikiliza maelezo yaliyokuwa yakitolewa… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

DSTV Tanzania yazindua kifurushi kipya

3

Meneja uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo (kulia), akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa kifurushi kipya cha  DSTV Bomba.(katikati), Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Multichoice Tanzania Barbara Kambogi, na kushoto ni Meneja Masoko wa Multichoice, Furaha Samalu.

Na Mwandishi wetu

KAMPUNI ya Multichoice Tanzania  kupitia huduma ya DSTV imewataka wasanii kupeleka kazi zao ili waweze kutambulika nje na ndani ya nchi.

Kauli hiyo imetolewa  Dar es Salaam leo na Meneja Masoko...

 

10 years ago

Dewji Blog

DStv Tanzania yafuturisha Watoto Yatima wa kituo cha Al- Madina

Mkuu wa kituo cha Kulelea Watoto yatima cha Al-Madina, Bi. Kulthum Juma akizungumzia kuhusu kituo hicho pamoja na kutoa shukrani kwa kampuni ya Multichoice Tanzania kwa kuendelea kukisaidia kituo cha hicho ambacho kina takribani watoto 68 na pia kituo hicho kipo eneo la Tandale kwa Tumbo jijini Dar.

Ustadhi Mashaka Salim akitoa neno.

Mkurugenzi wa Multichoice Tanzania, Peter Fauel akichukua chakula wakati wa kuwafuturisha  watoto yatima wanaolelewa katika kituo cha Al-Madina kilichopo...

 

10 years ago

GPL

DSTV TANZANIA YAFUTURISHA WATOTO YATIMA WA KITUO CHA AL- MADINA‏

Mkuu wa kituo cha Kulelea Watoto yatima cha Al-Madina, Bi. Kulthum Juma akizungumzia kuhusu kituo hicho pamoja na kutoa shukrani kwa kampuni ya Multichoice Tanzania kwa kuendelea kukisaidia kituo cha hicho ambacho kina takribani watoto 68 na pia kituo hicho kipo eneo la Tandale kwa Tumbo jijini Dar. Ustadhi Mashaka Salim akitoa neno. Mkurugenzi wa Multichoice… ...

 

10 years ago

Vijimambo

DSTV TANZANIA YAZINDUA RASMI HUDUMA KUKODISHA FILAMU YA BOX OFFICE

Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Multichoice Tanzania Barbara Kambogi  akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu uzinduzi wa huduma mpya ya DStv ya kukodisha filamu yaani Box Office iliyofanyika leo kwenye hotel ya New Afrika jijini Dar, kushoto ni Meneja uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo.Meneja uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya kukodisha filamu Box Office  leo jijini...

 

10 years ago

GPL

DSTV TANZANIA YAFUTURISHA WATOTO YATIMA WA KITUO CHA AL- MADINA DAR ES SWALAAM

 Meneja wa Fedha wa Multichoice Tanzania, Francis Senguji, miongoni mwa wafanyakazi wa kampuni hiyo wakipata futari   ....Akitoa huduma ya chakula kwa watoto yatima hii ikiwa ni njia mojawapo ya kuwasaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu.  Vinywaji mbalimbali vikiwa katika meza kwakila mmoja kujihudumia…

 

9 years ago

Dewji Blog

MultiChoice Tanzania wamtangaza rasmi Diamond Platnumz kuwa ‘Official DSTV Brand Ambassador’

DSC_0168

Mwanamuiki nyota nchini Tanzania, Nassib Abdul ama Diamond Platnumz akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani). (Picha na Andrew Chale, Modewjiblog).

Na Adndrew Chale, Modewji

[DAR ES SALAAM-TANZANIA] 

KAMPUNI ya MultiChoice Tanzania mapema jana  imezindua ofa kabambe za msimu wa siku kuu huku ikimtambulisha rasmi Mwanamuziki Diamond Platnumz kuwa balozi maalum wa bidhaa za kampuni hiyo  ikiwemo kifurushi cha DSTV BOMBA  chenye chaneli zaidi ya 65 ikiwemo huduma ya vituo kadhaa vya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani